×

Kitaifa

Mchina Anaswa Akichepusha Maji Mto Ruvu

SIKU MOJA baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwatangazia vita wanaoharibu vyanzo vya maji, mkulima mkubwa raia wa China amenaswa...

READ MORE

Inasikitisha: Mtoto wa Miaka Sita Aingiliwa Kimwili na ‘Baba Mdogo’

KATIKA hali ya kustaajabisha, mtoto wa miaka sita (jina linahifadhiwa) katika Kata ya Nyombo, Manispaa ya Njombe amebainika kuingiliwa kimwili...

READ MORE

Kesi ya Mke wa Bilionea Msuya Yaanza kwa Pingamizi

Upande wa utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili mke wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita na mfanyabiashara Revocatus Muyella...

READ MORE

Buchosa: Shigongo Awatahadharisha Watakaotafuna Fedha za Uviko 19

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amewatahadharisha watendaji wa Serikali kutothubutu kula fedha za Uviko 19 zinazojenga vyumba...

READ MORE

Diwani Ataka Wauza Chipsi Watozwe Ushuru

Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Morogoro imetupilia mbali hoja ambayo imewasilishwa na mmoja wa madiwani hao kuwa wauza chipsi...

READ MORE

Serikali Kuipatia Bugando Bilioni 4 ya Vifaatiba – Video

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Kanda ya Bugando, Dk Fabian Massaga amesema hospitali hiyo inatarajia kupokea Sh4.2 bilioni kwa ajili...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Tafiti za Saratani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameagiza kufanyika kwa utafiti wa kina kuhusu ongezeko la...

READ MORE

Rais Samia Avunja Ukimya Sakata la Mgao wa Maji Dar – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa ufafanuzi wa adha inayoikumba taifa jumla kwa sasa...

READ MORE

Rais Samia Azindua Mashine ya MRI Bugando

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezindua mashine ya kupima magonjwa mbalimbali (MRI) katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya...

READ MORE

NBC Yazindua Bima ya Kilimo kwa Wakulima, Wafugaji na Wavuvi

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Jubilee Insurance wamezindua huduma ya bima maalum...

READ MORE

Rufaa ya Sabaya Kuunguruma Desemba 13

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Butamo Philip anatarajiwa kuanza kusikiliza rufaa ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai...

READ MORE

Bayport Yakabidhi Bodaboda kwa Mtumishi wa Muhimbili

  TAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services, imekabidhi bodaboda mpya aina ya Hunter kwa mtumishi wa Hospital ya Taifa...

READ MORE

Watatu Wafariki kwa Kufukiwa na Kifusi Sikonge

WATU watatu wamefariki dunia wakiwemo watoto wawili na mwanafunzi mmoja wa shule ya msingi majengo wilaya ya sikonge mkoani Tabora...

READ MORE

Pingamizi la Sabaya Lakataliwa, Ushahidi wa Benki Wapokelewa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imepokea vielelezo vya shahidi wa tisa wa upande wa Jamhuri, Marry Mayoka Kimasa chini ya...

READ MORE

Mmoja Akwama Ardhini Mwanza

Mtu mmoja amekwama ardhini kwa zaidi ya siku tano baada ya kifusi cha mabaki ya machimbo ya dhahabu kushuka na...

READ MORE

Pingamizi la Mbowe Kuhusu Diary ya Shahidi Lapigwa Chini

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imetupilia mbali pingamizi lililowekwa na mawakili wa utetezi kumkataa shahidi...

READ MORE

Kati ya Umeme na Maji Bora Nini?

  Msanii Jay Moe aliwahi kuwauliza mashabiki wake katika moja ya ngoma yake “Kati ya mvua na Jua Bora Nini?”...

READ MORE

Rais Samia Kufanya Ziara Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya siku moja ya kikazi Novemba...

READ MORE

Shahidi Kesi ya Ole Sabaya Aanika Alivyoidhinisha Tsh mil 90

SHAHIDI wa tisa katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya (34) na...

READ MORE

Ajali ya Basi Yaua Abiria wa Bodaboda Kibaha

AJALI mbaya imetokea usiku huu katika eneo la Kwa Mathias wilayani Kibaha, mkoani Pwani wakati basi lenye namba za usajili...

READ MORE

Eti, Madalali Siyo Watu Wazuri?

  WAZIRI wa Ardhi, William Lukuvi amewashukia madalali kote nchini na kuwaambia ni marufuku kuchukua kodi ya mwezi kwa wapangaji....

READ MORE

Nguruwe Abakwa Akisubiri Kuchinjwa

MKAZI wa Kijiji cha Mavanga kilichopo katika kata ya Mavanga wilayani Ludewa mkoani Njombe ambaye jina lake halijafahamika anashikiliwa na Jeshi...

READ MORE

TECNO Camon 18 Kuja na Gimbal Kamera

Kuelekea mwisho wa mwaka 2021 kampuni ya simu za mkononi TECNO yenye mashabiki wengi hasa upande wa simu janja inatarajiwa...

READ MORE

Breaking: Maduka 43 Yateketea kwa Moto Tunduma

MADUKA 43 yameteketea alfajiri ya leo Jumanne, Novemba 16, 2021 baada ya jengo moja ndani ya Soko la Manzese, wilayani...

READ MORE

Simbachawene Aipongeza LSF Kuzindua Mpango Mkakati Mpya 2022/2026

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Mpango wa Miaka mitano wa Shirika la Huduma za Msaada...

READ MORE

Dalali Kuchukua Kodi ya Mwezi ni Ujambazi

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, amewapiga marufuku madalali wa nyumba wanaochukua kodi ya mwezi mmoja...

READ MORE

Vijana Mwanza Watakiwa Kujiajiri

Wanachama wa Kikundi cha Wafanyabiashara na Watumishi wa Umma  Marafiki kutoka jijini  Mwanza maarufu ‘Mwanza Friends Association’ wanaofanya shughuli zao kwenye mikoa...

READ MORE

Rais Samia Akutana Na Mkurugenzi Mtendaji Benki Ya Dunia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 15, 2021 amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi...

READ MORE

Polisi Yanasa Genge la Wahalifu Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawasikilia watuhumiwa nane kwa tuhuma za kijihusisha na vitendo vya kihalifu...

READ MORE

Silaha Zaidi ya 50 Zasalimishwa Arusha

WAZIRI wa mambo ya ndani ya nchi George Simbachawene ameendelea kusisitiza wananchi wanaomiliki silaha kinyume na sheria kuzisalimisha kabla muda...

READ MORE

Mwanafunzi Aliyefanya Mtihani Gerezani Ahukumiwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Shinyanga imemhukumu kutumikia adhabu ya kifungo cha nje miezi sita mwanafunzi Kunde Gambija (16) ambaye alifanya...

READ MORE

Mwanafunzi Auawa Kisa Buku 3

Mwanafunzi wa kidato cha tatu shule ya Sekondari Suye jijini Arusha, Evance Florian (17) ameuawa kwa kipigo ikielezwa kuwa chanzo...

READ MORE

Morogoro: Mwanafunzi Darasa la Sita Ajinyonga

Mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Lukobe Edmond Petro kata ya Lukobe Manispaa ya Morogoro, Igidius Edmond (13)...

READ MORE

Pingamizi Jingine la Mbowe ‘Lauma Chuma’

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Joachim Tiganga ametoa uamuzi kuhusu Shahidi aliyejitambulisha kama askari H4323 DC Msemwa wa kituo...

READ MORE

Rais Samia: Tunaendelea Kujenga Nafasi za Ajira

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewatakia kheri wanafunzi wote wanaoanza mitihani yao ya kumaliza kidato...

READ MORE

Rais Samia: Sina Shaka na JWTZ – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu hassan amesema amani tuliyonayo...

READ MORE

Live: Rais Samia Aongonza Ufunguzi wa Mkutano wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, Novemba 15 amekuwa Mgeni kwenye Ufunguzi wa...

READ MORE

NMB Yapata Tuzo Kutoka Mastercard International

  Benki ya NMB imepokea tuzo kubwa kutoka  kwa Mastercard International inayoitambua benki hiyo kwa juhudi zake za kukuza matumizi...

READ MORE

Buchosa Wafurahishwa na Kauli ya Bashe

Buchosa. Wananchi wa Jimbo la Buchosa wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza wamefurahishwa na kauli ya Naibu Waziri wa Kilimo,...

READ MORE

Mikoa 11 Kukosa Umeme kwa Saa 12

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawafahamisha wateja wake kuwa, Jumatatu Novemba 15, 2021 kutakuwa na matengenezo ya njia ya kusafirisha...

READ MORE