×

Kitaifa

Chopa Yatunguliwa Simiyu

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe akitembelea eneo la tukio.Hali ilivyokuwa eneo la tukio. Watu wanaodaiwa kuwa ni...

READ MORE

Meneja Global Apata Pigo

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (wapili kulia) akimpa mkono wa pole Meneja wa Global, Abdallah Mrisho (mwenye shati...

READ MORE

Madiwani Bukoba, Wawasimamisha kazi Watendaji 6

Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera limewasimamisha kazi Watendaji sita wa Halmashauri kupisha uchunguzi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Mbio za Half Marathon

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza mbio za Wabunge za Hapa Kazi Tu Dodoma Half Marathon zilizoanzia Bungeni hadi uwanja wa...

READ MORE

Rais Magufuli Awaapisha Mnadhimu JWTZ, Balozi na Makatibu Tawala

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Dkt. Mahadhi Juma Maalim kuwa Balozi wa Tanzania  Ikulu jijini...

READ MORE

Nchi 12 Ulaya na Marekani Zalaani ZEC Kurudia Uchaguzi

Mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salum Jecha Mabalozi wa nchi zinazounda Umoja wa Ulaya (EU) wameeleza kusikitishwa na kitendo cha Tume...

READ MORE

Stoo ya mfanyabiashara yateketea kwa moto usiku

Moto ulivyoonekana ndani ya stoo hiyo iliyoungua. Geti la kuingilia katika stoo hiyo lilivyoonekana. Kikosi cha Zimamoto kilivyoonekana kupambana na...

READ MORE

Rose Ndauka Azindua Jarida Lake

Msanii wa filamu hapa nchini, Rose Ndauka (kushoto) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani)katika hafla hiyo.Kulia kwake ni Meneja wake,Ramadhan Mwanana....

READ MORE

Rais Magufuli ateua Makatibu Tawala 2 wa Mikoa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

READ MORE

Shinda nyumba yatikisa wakazi wa Dar

Afisa Masoko wa Global Publishers, Jimmy Haroub pamoja na Venda wa Kampuni hiyo, Theresia Julian wakiwaelekeza wasomaji wa Magazeti Pendwa...

READ MORE

Samatta ajiunga na KRC Genk ya Ubelgiji

Mbwana Samatta akiwa kwenye ndege kuelekea nchini Ubelgiji kujiunga na KRC Genk. Sakata ya usajili wa nahodha wa timu ya...

READ MORE

Chadema Kumshtaki Nape kwa Wananchi Kuhusu TBC

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrosia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Salum Mwalimu akitoa taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani)....

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Naibu Gavana wa Benki Kuu

Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, amemteua Ndugu Julian Banzi Raphael, kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania. Kabla...

READ MORE

RPC Mbeya afafanua kuhusu video ya NMB Tawi la Mbalizi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi ametoa ufafanuzi kuhusu kipande cha video kinachosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kikionyesha...

READ MORE

Jeshi la Polisi: Kesi 23 za Ufisadi Zipo kwa DPP

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Kamishna Diwani Athumani, akisoma taarifa. Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Biswalo Mganga (katikati) akitoa...

READ MORE

CUF Kutoshiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar

Viongozi wa Balaza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama cha Wananchi (CUF). AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA...

READ MORE

Waziri Mkuu- Serikali Imeafiki Bunge Kutorushwa Live

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majiliwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwamba matangazo ya bunge...

READ MORE

Wabunge wa upinzani watoka tena bungeni leo

Wabunge wa upinzani wakitoka nje. Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika vikao vya bunge vinavyoendelea mjini Dodoma baada ya wabunge wote...

READ MORE

Waziri Mkuu asisitiza TBC hawatarusha live Matangazo ya Bunge

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwamba matangazo ya bunge hayatarushwa yote live kama serikali ilivyosema jana...

READ MORE

CUF Kutoa tamko kuhusu kurudiwa uchaguzi Zanzibar

Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad. Baraza Kuu la Chama Cha Wananchi (CUF), leo linatarajia kutangaza uamuzi mzito kutokana...

READ MORE

Kivuko cha Mto Kilombero chapinduka

WATU wapatao 30 wameokolewa mpaka sasa baada ya kivuko cha Mto Kilombero kushindwa kuhimili upepo mkali ulioambatana na mvua ya...

READ MORE

Jovago kutoa ofa ya Valentine kwa wapendanao

Mkurugenzi Mtendaji wa Jovago Afrika Mashariki, Estelle Verdier-Watine (aliyesimama) akiongea na wanahabari kuhusu faida za kutumia mitandao ya kijamii. Meneja...

READ MORE

Watuhumiwa 7 wa Makontena Waliotoroka Wakamatwa

Wafanyakazi saba kati ya wanane wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) waliotuhumiwa kuhusika kutorosha makontena 11,019 na magari 2,019...

READ MORE

Mvua Kubwa Yasababisha Foleni Dar

  Magari yakiwa katika foleni eneo la Bamaga-Mwenge.Foleni  katika makutano ya barabara za Shekilango na Ali Hassan Mwinyi. Taswira nyingine...

READ MORE

Kanumba Feki Adaiwa Kuwa Mhamiaji Haramu

Mkali wa filamu Bongo, Rammy Gallis ‘Kanumba Feki’. Mayasa Mariwata Mkali wa filamu Bongo, Rammy Gallis ‘Kanumba Feki’ anadaiwa kuishi...

READ MORE

Belle 9: Kolabo na Chris, Alsina inawezekana!

Staa wa Ngoma ya Shauri Zao, Abednego Damian ‘ Belle 9’ Suzan Kayogela Staa wa Ngoma ya Shauri Zao, Abednego...

READ MORE

Bunge kutorushwa live kwazua kizaazaa

Mwenyekiti wa kikao cha Bunge Andrew Chenge. Chenge amefikia uamuzi huo kutokana na kuibuka kwa mjadala mkali kutoka kwa Mbunge...

READ MORE

Yaliyojili Bungeni Dodoma Leo January 27

Waziri Mkuu, Kassim Majalliwa akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama Buneni mjini Dodoma Januari 27,...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa Dar afungua semina ya mafuta na gesi

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, James P. Mataragio, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sadick Meck Said...

READ MORE

Modem ya “Airtel Wingle” Yenye WiFi‏ Yazinduliwa

Mwandishi wa habari wa EATV, Alex Lazaro akikabithiwa modemu yake ya Airtel Wingle mara ya kuibuka mshindi katika ofa iliyoendeshwa wakati...

READ MORE

Ukawa Sasa Kutoa Msimamo Wao Juu ya Suala la Zanzibar

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akihojiwa na wanahabari (picha na maktaba). UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)...

READ MORE

Amuua Mwenzake Baada ya Kumkuta Akimtongoza Dada Yake

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahri Kidavashari. Mkazi wa kijiji cha Kalovya – Inyonga wilayani Mlele, Ramadhani Ally (20)...

READ MORE

Mc pilipili asaidia wenye njaa

MC Pilipili akiongea na mtoto mwenye ulemavu wa ngozi. Na Mwandishi Wetu MCHEKESHAJI maarufu, MC Pilipili ameamua kujitoa na kuwasaidia...

READ MORE

Kisa kutoalikwa, Wema asusia keki

Staaasiyeishiwa vituko Bongo, Wema Sepetu. NaMusa Mateja, Risasi Mchanganyiko STAA asiyeishiwa vituko Bongo, Wema Sepetu juzikati aligonga tena vichwa vya...

READ MORE

Nisha awekewa baunsa

Salma Jabu ‘Nisha. GLADNESS MALLYA Ili kuhakikisha hasalitiwi katika penzi lake jipya, mkali wa Bongo Fleva Baraka Da Prince, ameajiri...

READ MORE

Chenge: Escrow Ikirudi Bungeni, Nitakaa Pembeni

Mbunge wa Bariadi, Andrew Chenge. MBUNGE wa Bariadi, Andrew Chenge na wabunge wawili wa Viti Maalumu, Dk Mary Mwanjelwa na...

READ MORE

Meya Dar Amkaribisha Bernald Membe Chadema

Waziri wa zamani wa Mamboya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Waziri wa zamani wa Mamboya Nje na Ushirikiano...

READ MORE

Wasomaji Kisarawe Wachangamkia Droo Ya Pili Shinda Nyumba

Mkazi wa Kisalawe Mjini (kulia) akijaza kuponi ili kushiriki droo ya pili ya Shinda Nyumba.Msomaji wa Gazeti la Uwazi (katikati)...

READ MORE

Kampuni ya UDA yakanusha kufilisika

Kumekuwepo na taarifa za uwongo kwenye vyombo vya habari, hasa kijarida cha Dira ya Mtanzania, na mitandao ya kijamii kuhusu...

READ MORE

Simbachawene Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Manispaa ya Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. George Simbachawene. Waziri wa Nchi...

READ MORE