×

Kitaifa

Breaking News: Rais Magufuli amfuta kazi Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Bw. Shabani Mwinjaka akiongea na wanahabari (Picha na Maktaba). Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bandari...

READ MORE

Magufuli Ateka Kampeni za Urais Uganda…

Rais Dkt John Pombe Magufuli. KASI ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli katika kubana matumizi...

READ MORE

Ubunge wa Saed Kubenea wapingwa mahakamani

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea. Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Massaburi, amefungua...

READ MORE

Shinda Nyumba ya Global kuzinduliwa wiki hii jijini Dar

Bango la Shinda Nyumba ya Global Publishers (katikati) likiwa eneo la Karume Jijini Dar. Bango likiwa eneo la Ubungo. Bango...

READ MORE

Tanesco yawafukuza kazi wafanyakazi 7 kwa ubadhilifu

Uongozi wa shirika la umeme nchini Tanesco umewafukuza kazi wafanyakazi saba waandamizi wa shirika hilo wakiwemo mameneja kutokana na makosa...

READ MORE

Airtel fursa yawataka vijana Bukoba kutoogopa vikwazo

Mjasiliamali wa mjini Bukoba Adamu Hemed akipokea cheti kutoka kwa meneja biashara wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel...

READ MORE

Akutwa amefariki Daraja la Selander

Kikosi cha uokoaji kikielekea eneo ulipokuwa mwili. Wananchi wakishuhudia tukio hilo. Mwili wa mwanaume huyo baada ya kutolewa kwenye maji....

READ MORE

Vijana wapata mafunzo ya kujiajiri katika kongamano lililofanyika UDSM

Aliyekuwa nahodha wa timu ya Taifa ya wanawake 2002-2003 na kuchezea mpira timu hiyo kwa Miaka 15 mpaka anastaafu mwaka...

READ MORE

Daraja la Jangwani Dar laanza kusafishwa

Daraja la Jangwani, Dar kama linavyoonekana na maji ya Mto Msimbazi yakipita kwa shida kutokana na kuzingirwa na takataka.Tingatinga lililokuwa...

READ MORE

Watorosha kontena bandarini hawa hapa

  Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) imetaja majina ya kampuni 43 na wamiliki wa makontena 329 ambayo yalipitishwa bandarini bila...

READ MORE

Wanakijitonyama Dar hapa ni usafi Tu!

WAKAZI wa eneo la Kijitonyama Mpakani ‘A’ jijini Dar es Salaam, wamefanya usafi leo katika mitaa inayozunguka maeneo yao hadi...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Tetesi…. TRA Kuifungia Serena Hotel

HOTELI ya Kimataifa ya Serena jana ilikumbwa na msukosuko wa kuandamwa na waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa tetesi...

READ MORE

PSPF wapeleka huduma mpya ya Bima ya Afya Majira, Mwananchi

Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji wa PSPF, Bw. Gabriel Silayo (wa nne kushoto) akisisitiza jambo katika kikao kazi kilichowakutanisha watendaji ...

READ MORE

Gigy Money atembelea Global

Binti anayekuja kwa kasi kwenye ulimwengu wa muziki, Giggy Money (kulia) akiwa katika pozi na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa...

READ MORE

Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu huduma za ziada za kielektroniki.

Kutoka kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Mawasiliano, Samson Mwela, Msemaji wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prisca...

READ MORE

Upotevu wa Makontena 329, Maofisa Wanne TRA wapandizwa kizimbani

 Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, Tiagi Masamaki (katikati) na washitakiwa wenzake wakitoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Mkutano wa 10 wa nchi za SADC Kuhamia Digitali wahitimishwa Dar

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka...

READ MORE

Tahadhari Kuhusu Kuingilia au Kufuatilia Mawasiliano ya Watu

TAARIFA KWA UMMA TAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU *** Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za...

READ MORE

Breaking News: Watuhumiwa wa Makontena 349 Wapandishwa Kizimbani, Kisutu

WATUHUMIWA nane wa upotevu wa makontena 349 yaliyovushwa Bandarini ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi, miongoni mwao akiwemo Kamishna...

READ MORE

Msikilize January Makamba akitoa ufafanuzi wa picha

Mbunge wa Bumbuli, January Makamba. January Makamba ameamua kutoa ufafanuzi wa picha mbalimbali zilizowekwa katika akaunti yake ya Instagram ambazo...

READ MORE

Wakazi wa Kijitonyama Dar waanza usafi maeneo yao

Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Kijitonyama Mpakani ‘B’ wakifanya usafi kwenye maeneo yao. Zoezi la kukusanya uchafu likiendelea. “Hapa...

READ MORE

Gari la Mwananchi lapata ajali mbaya Kitonga

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Gari iliyokuwa imebeba Magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti kwenda mkoani Mbeya imepata...

READ MORE

Wanafunzi wa Enaboishu kuanzisha umoja

Kutoka kushoto ni Afisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari (Maelezo), Zawadi Msalla, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Renald Shirima na...

READ MORE

Marekani kutoa Mil.17 kunufaisha wavuvi wa Ukanda wa Bahari

Fatma Sobo (katikati) akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani). Baadhi ya wafanyakazi wa wizara hiyo wakiwa kwenye mkutano huo....

READ MORE

Afisa Ardhi Morogoro Kapewa Siku 14 Za Kujieleza Kwa Nini Asifukuzwe Kazi

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Jumanne Sagini Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Jumanne Sagini ametoa siku...

READ MORE

Breaking News: Waziri Mkuu abaini upotevu wa makontena mengine 2,431

Waziri Mkuu, Kassim M. Majaliwa. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim M. Majaliwa leo amefanya tena ziara...

READ MORE

Rais Magufuli atoa siku 7 kwa wafanyabiashara wakwepa kodi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiongea na wadau wa sekta binafsi leo, Ikulu jijini Dar. Mwenyekiti...

READ MORE

‘African Women And Beyond’  Kuwawezesha Wanawake Wa Tanzania

Baadhi ya akina mama waliojiunga na taasisi hiyo pamoja na waanzilishi wa taasisi husika wakishiriki katika uzinduzi huo.Mapaparazi wakichukua matukio katika...

READ MORE

Lipumba na wafuasi wake 30 waachiwa huru

Profesa Ibrahim Lipumba akiongea jambo mahakama ya Kisutu. Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi 30 wa CUF leo wameachiwa huru na...

READ MORE

Kortini kwa kutaka kumuua Lubuva

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva. WATU wawili wakiwemo Mwanasheria na Mwalimu, wamepandishwa kizimbani...

READ MORE

Kasongo Mpinda ‘Clayton’ afariki dunia

King Kiki (kulia) akiimba sambamba na Aboubakar Kasongo Mpinda ‘Clayton’ enzi za uhai wake. Aboubakar Kasongo Mpinda ‘Clayton’ akiwa na...

READ MORE