×

Kitaifa

Waliotupwa lupango na DC Makonda ‘sasa kazi tu’!

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wakazi wa eneo la Wazo kijiji cha Nyakasangwe hii leo. Wananchi...

READ MORE

Tamasha kubwa la instagram kufanyika Escape One keshokutwa

Mkurugenzi wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) juu ya kukamilika kwa maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa...

READ MORE

Serikali yapiga marufuku uchapishaji wa Kadi za Xmass na Mwaka Mpya

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amepiga marufuku utengenezaji na uchapishaji wa kadi za Christmas na Mwaka Mpya kwa gharama...

READ MORE

Rais Magufuli afuta siku ya Ukimwi, aagiza pesa ya bajeti inunue ARV

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk John Magufuli. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk...

READ MORE

Barua ya wazi kwa Rais wetu Dk. John Pombe Magufuli

Rais John Pombe Magufuli. TUNACHUKUA fursa hii ya kipekee kukupongeza Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa fursa aliyokupa Mwenyezi Mungu...

READ MORE

Taswira ya Papa Francis akiwa katika Ikulu ya Kenya jana

Kiongozi wa Wakatoliki duniani, Papa Francis akihutubia Taifa la Kenya jana Ikulu. ….Akiendelea kuongea na wananchi wa Kenya. …Akisalimiana na...

READ MORE

Gavana nchini Kenya matatani kwa kumfuata Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. GAVANA wa Jimbo la Siaya, nchini Kenya, Cornel...

READ MORE

Rais Magufuli afuta sherehe za maadhimisho ya Ukimwi

Rais Dk. John Pombe Magufuli. Rais John Magufuli amesitisha maadhimisho ya siku ya Ukimwi kitaifa ambayo yalikuwa yafunguliwe mkoani Singida...

READ MORE

Papa Francis awasili Kenya

Kiongozi wa Wakatoliki duniani, Papa Francis wa Kwanza akiwasili leo Kenya. Akiwasiliana na kiongozi wa Wakatoliki nchini Kenya. Papa Francis...

READ MORE

Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi jioni leo

Papa Franci akipanda ndege yake uwanja wa ndege wa Fiumicino, Roma kuelekea Nairobi Kenya. Hii itakuwa ziara yake ya 11...

READ MORE

Waziri Mkuu ataka kila mkurugenzi asome hotuba ya rais, aifanyie kazi

 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za...

READ MORE

Mbunge kingu aeleza sababu ya kukataa posho za bunge

Elibariki Kingu akitoa ufafanuzi wa jambo mara baada ya kuulizwa maswali kutoka kwa wanahabari.Kutoka kushoto ni Hamisi Ngila, aliyekuwa mpinzani...

READ MORE

Breaking News: Kesi ya Mazishi ya Mawazo yaahirishwa

Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, imeahirisha kesi iliyofunguliwa na familia ya marehemu Alphonce Mawazo kupinga amri ya Jeshi la Polisi...

READ MORE

Makonda awahimiza wakuu wa idara yake kufanya kazi kwa kujituma

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizungumza mbele ya wakuu wa Idara za sekta mbalimbali (hawapo pichani). Kutoka...

READ MORE

Airtel yazindua ‘Airtel Care’ programu kwa wateja

Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw Jackson Mmbando pamoja na Afisa Masoko Intaneti wa Airtel , Eric Daniel wakionyesha huduma mpya ya...

READ MORE

Rais Magufuli gumzo mitandaoni, Wakenya wasifia uchapakazi wake

Rais JohnPombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame. SIFA kubwa aliyonayo Rais Dk John Pombe Magufuli ya uchapakazi...

READ MORE

Mgogoro wa kuaga mwili wa Mawazo, hali ilivyo jijini Mwanza

Mmoja wa viongozi wa Chadema akiwatuliza wafuasi wa chama hicho waliokusanyika kwenye hoteli ya Gold Crest. Kundi la wafuasi wa...

READ MORE

Mgogoro wa Zanzibar watinga Ikulu ya Marekani

Wanachama wa ZADIA kutoka majimbo tafauti nchini Marekani wakionyesha mabango yao.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazanzibari Waishio nchni Marekani (ZADIA), Bw....

READ MORE

Hatma ya mwili wa Mawazo kuagwa Mwanza, kuamuliwa leo

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akitoa taarifa kwa wananchi baada ya Chadema Kufungua Kesi Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, jana...

READ MORE

Mbunge wa Singida Magharibi awasilisha barua ya kukataa posho

Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Immanuel Kingu.

READ MORE

Balozi sefue akagua Muhimbili

Balozi Ombeni Sefue alipowasili katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akisalimiana na wafanyakazi wa hospitali hiyo. Balozi Sefue (kushoto) akiendelea...

READ MORE

Nyumba yateketea kwa moto, Ilala – Dar

Kikosi cha Zima Moto kikiwa katikaharakati za kuuzima moto huo, huku nyumba ikionekana kuteketea.Nyumba hiyo baada ya moto kuzimwa.Wakazi wa...

READ MORE

Rais Magufuli atuma salam za rambirambi kufuatia kifo Mwenyekiti wa Chama Cha Madereva Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anamtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa Chama Cha Madereva...

READ MORE

Rais Magufuli afuta sherehe za uhuru

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametoa taarifa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Mazishi ya Mawazo Bado Kizungumkuti… Chadema Kutinga Mahakamani

Na George Binagi Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimesitisha shughuli za mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani...

READ MORE

Wazanzibari wa Marekani waandamana kulaani ZEC kufuta matokeo

WAZANZIBARI waishio Marekani wameandamana mpaka nje ya Ikulu ya Marekani wakipinga maamuzi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta matokeo...

READ MORE

Msaada wahitajika kwa mapacha walioungana‏

Mapacha wakiwa wameungana. Hawa watoto Zahra na Zarina wamezaliwa pacha walioungana tarehe 16/11/15 mama yao Bi Tausi Hageze akiwa njiani...

READ MORE

Kifo cha katibu wa chama cha madereva, Makonda atoa neno

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambaye ni mlezi wa Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania (TADU), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji...

READ MORE

NSSF yaendesha kongamano la waajiri wa taasisi mbalimbali mkoani Tanga

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati akifungua kongamano la waajiri wa Taasisi...

READ MORE

Airtel Fursa Dodoma yawafikia wajasiriamali wadogo wadogo

Meneja uhusiano wa Airtel Jackosn Mmbando akielezea kwa wajasiriamali wadogo wadogo jinsi vijana wanavyoweza kufanya ili kufaidika na mradi wa...

READ MORE

Picha za kumbukumbu baada ya rais Magufuli kuzindua bunge Dodoma‏

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Spika Mstaafu Mhe Pius Msekwa huku...

READ MORE

Ukawa waeleza sababu za wao kuzomea Bungeni jana

Wabunge wa Ukawa wakitoka bungeni hapo jana. WABUNGE wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wameelezea sababu zilizowafanya wao...

READ MORE

Bomoabomoa Mbezi Beach Acha Kabisa!

Wakazi wa maeneo ya Mbezi Beach wakishudia zoezi la bomoabomoa. Mwonekano wa nyumba ya gorofa moja kabla halijabomolewa. Tingatinga likianza...

READ MORE

Eric Shigongo James: Barua Kwa waheshimiwa wabunge

Bunge la Jamhuri ya Muungano. Nawasalimu nyote katika jina la nchi yetu Tanzania, Mimi ndugu yenu sijambo, naendelea kusukuma mbele...

READ MORE

Watu wenye silaha wavamia hoteli na kuteka watu Mali

Wanajeshi wakijaribu kuingia katika Hoteli ya Radisson Blu mjini Bamako. Hoteli ya Radisson Blu iliyovamiwa leo. Wanajeshi wenye silaha nchini Mali...

READ MORE

Mahafali ya 10 ya chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere yafana

 Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi na Ufundi Stadi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Thomas Katebalilwe akihutubia kwa niaba...

READ MORE

Bunge latikisika, wapinzani watimuliwa

Na Elvan Stambuli BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo alasiri limetikisika baada ya wabunge wa upinzani kuwazomea viongozi...

READ MORE

Mtangazaji Prince Baina Kamkuru afariki dunia

Prince Baina Kamkuru enzi za uhai wake. Mtangazaji wa zamani wa Radio Free Afria (RFA), Clouds FM na Star TV,...

READ MORE