×

Kitaifa

Kasi ya Magufuli ya kupunguza matumizi yawakuna wengi Afrika

Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Kutokana na kasi ya Rais...

READ MORE

Bodi ya Filamu Nchini Yazungumzia Ukuaji Wake

Kutoka kushoto ni Ofisa Habari wa Idara ya Habari (Maelezo), Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu, Joyce Fisso akifuatiwa na...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa Dar atembelea Maonyesho ya Wajasiriamali  Mnazimmoja

Mkuu wa Mkoa, Sadick Mecky Said (kushoto) akiwasili katika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar kutembelea maadhimisho ya wajasiriamali.…Akisaini kwenye kitabu...

READ MORE

Taarifa kuhusu majina sahihi ya Waziri Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa (Pichani) anatumia majina matatu kama ifuatavyo: Kassim...

READ MORE

Afrika Kusini yaongoza kwa ufisadi Afrika

Waafrika wengi wanasema kuwa ufisadi umeongezeka katika kipindi cha miezi 12 na serikali nyingi za bara hilo zikionekana kushindwa kukomesha...

READ MORE

Etihad Lazindua Safari za Ndege kati ya Dar na Abu Dhabi

Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana na Balozi wa Umoja...

READ MORE

Basi lagongana na lori na kuua watu Singida

WATU 12 wamekufa papo hapo na wengine 18 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Taqbir kugongana na lori la...

READ MORE

Mgomo wa mabasi Mwanza abiria wateseka saa 10 stendi

Baadhi ya abiria wakisubiri usafiri bila mafanikio. Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Mwanza, Juma Kasendako akiongea na madereva wa...

READ MORE

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi ashtukiza Shirika la Reli

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka akitazama majengo ya kiwanda cha kutengeneza breki za treni. Dk. Mwinjaka...

READ MORE

Mshindi wa Airtel Trace apata ujuzi mpya toka kwa Akon

Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Malya akiongea na mshindi wa Airtel Trace Music Stars Nalimi Mayunga wakati...

READ MORE

Mizengo Pinda akabidhi rasmi Ofisi kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa akipokea taarifa ya makabidhiano ya Ofisi ya Waziri Mkuu kutoka kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo...

READ MORE

Hapa kazi tu!

Katapila likitindua mchanga katika harakati za upanuzi huo. … likimwaga kifusi katika lori la mchanga. …likiendelea kupiga mzigo. Kufuatia agizo...

READ MORE

Breaking News: Makontena tisa yakamatwa Dar

Mfano wa makontena ytaliyokamatwa. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania...

READ MORE

TRA yakomaa na mabasi ya UDA kwa kukwepa kulipa kodi

Agizo  la Rais Dk. John Magufuli kuwabana wafanyabiashara wanaokwepa kodi nchini, limeanza kuwa mwiba baada ya mabasi ya Kampuni ya...

READ MORE

Posho za Kamati za Bunge zafutwa

Rais Dk. John Pombe Magufuli. MPANGO wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Dk. John Magufuli, kupunguza matumizi yasiyo...

READ MORE

Hatimaye mwili wa Mawazo wazikwa Geita

Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwa majonzi makubwa akiweka udongo kwanye kaburi la kamanda wake Alphonce Mawazo. Katikati ni waziri mkuu...

READ MORE

Zitto Kabwe aibua Kashfa Nzito ya Ufisadi wa trioni 1.2 Serikali ya JK

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo. SERIKALI ya Uingereza kupitia shirika lake la kuchunguza makosa ya jinai (AFO), imeibua kashfa...

READ MORE

Rungu la Magufuli, sasa kupunguza wafanyakazi mizigo Mashirika ya Umma

Msajili wa  Hazina,  Laurence Mafuru. MAMIA ya wafanyakazi katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma zinazoendeshwa kwa hasara likiwemo Shirika...

READ MORE

Magufuli: Bilioni 4 za uhuru zijenge barabara ya Mwenge – Morocco

Barabara ya Mwenge hadi Morocco jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli,...

READ MORE

Wachimbaji wadogo wa madini watengewa eneo maalum

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud, (kushoto) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).  Kulia kwake...

READ MORE

Serikali Yasema  Desemba 9  Siyo Siku ya Kazi kwa Watumishi wa Umma

Mkurungezi wa Idara ya Habari (Maelezo), Assah Mwambene (kushoto) akizungumza mbele ya wanahabari.  Kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wake, Vincent...

READ MORE

Shigongo: Bila Maarifa Hakuna Mafanikio

Mchungaji Muabuzi akitoa neno kwa waumini (hawapo pichani).Mgeni rasmi, Eric Shigongo akitoa neno wakati wa uzinduzi wa kitabu kipya cha Njia...

READ MORE

Picha za Rais Magufuli alipokutana na Prof. Lipumba, Ikulu Dar, leo

Rais Dk John Pombe Magufuli akisalimiana na aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, Ikulu jijini Dar, mapema leo. Rais...

READ MORE

Sheikh Ponda aachiwa huru

Sheikh Issa Ponda. Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya jinai...

READ MORE

MSD yakarabati jengo la duka la dawa hospitali ya taifa Muhimbili

Mafundi wakikarabati jengo ambalo Bohari ya Dawa (MSD), itafungua duka la dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MSD) Dar...

READ MORE

Pop Up Shop yanogesha Swahili Fashion Week chini ya Vodacom

Francisca Mawala (kushoto) akipatiwa maelekezo na Mwanamitindo wa kampuni ya Manyatta inayojishughulisha na masuala ya mitindo, Anthonia Kilame( kulia) wakati...

READ MORE

Vijana wa Iringa wawezeshwa na Airtel FURSA‏

Mshiriki wa mafunzo ya Airtel Fursa mkoani Iringa Bi Fatuma Mkini (kushoto ) akipokea cheti cha ushiriki wa mafonzo hayo...

READ MORE

Maelfu wauaga mwili wa Mawazo Mwanza

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Mhe. Freeman Mbowe akiaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoa...

READ MORE

Waziri Mkuu awatimua watumishi wengine watatu TRA

Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Majaliwa Kassim Majaliwa, amewasimamisha kazi watumishi wengine...

READ MORE

Mawazo kuagwa leo jijini Mwanza, kuzikwa kesho Geita

Naibu Katibu Mkuu Chadema, Salum Mwalimu akionyesha kibali kilichotolewa na Manispaa ya Ilemela ili kuruhusu ibada ya kumuaga Marehemu Mawazo...

READ MORE

Rais Magufuli amsimamisha kazi kamishna wa TRA

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ndugu Rished Bade. Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Mh. Dkt...

READ MORE

Waziri Mkuu afanya ziara ya ghafla bandarini

Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa leo amefanya ziara ya...

READ MORE

Dereva bodaboda anusurika kichapo mikocheni Dar

Baadhi ya wananchi wakishudia bodaboada hizo zikiwa chini baada ya tukio husika. Bodaboda iliyo mbele ni ambayo ilikuwa ikiendeshwa na...

READ MORE

Barua kwa kwa watumishi wa umma

Nawasalimuni nyote katika jina la nchi yetu nzuri Tanzania, Jina ambalo huko nyuma sote tuliliimba “Tazama ramani utaona nchi nzuri,...

READ MORE

CUF yakanusha kurudia Uchaguzi wa Zanzibar

KWA VYOMBO VYA HABARI Tumepokea taarifa kwamba Balozi Seif Ali Iddi amehojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Radio France International...

READ MORE

Breaking News: Chadema washinda kesi ya Mawazo

Alphonce Mawazo enzi za uhai wake. HATIMAYE Mahakama Kuu jijini Mwanza imetoa hukumu ambapo Chadema na familia ya Mwenyekiti wa...

READ MORE