×

Kitaifa

Mahakama Yaonyeshwa Video za Sabaya Alivyopewa Mil 90 Benki

SHAHIDI wa upande wa Jamuhuri wa kesi inayomkabili aliyekua Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita,...

READ MORE

Vigogo TAKUKURU, UVCCM Watajwa Kesi ya Sabaya

SHAHIDI wa 10 katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita, Francis Mrosso...

READ MORE

RC Makalla: Hali ya Maji Tumuachie Mungu

Mkuu wa mkoa Dar es Salaam , Amos Makalla amekiri kwamba hali bado si shwari na kilichopo ni kuomba kudra...

READ MORE

Mwili wa Baba Yake Bashe Wawasili na Kuzikwa Usiku Nzega

MWILI wa Marehemu Sheikh Mohamed Bashe umepumzishwa usiku wa kuamkia leo katika Makuburi ya Waislamu Kitongo Mjini Nzega Mkoani Tabora....

READ MORE

Benki ya Exim Yatangaza Washindi wa Droo ya Kwanza ya ‘Weka Mkwanja Tukutoe!’

Dar es Salaam: Novemba 24, 2021: Benki ya Exim imetangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya ‘Weka Mkwanja...

READ MORE

UNESCO Yatangaza Julai 7 Siku ya Kiswahili Duniani

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeitangaza rasmi tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa...

READ MORE

Malawi Yamuomba Tyson Kuwa Balozi Wake wa Bangi

WIZARA ya Kilimo ya Malawi imemwandikia barua bingwa wa zamani wa ndondi duniani, Mike Tyson ikimuomba kuwa balozi wa bangi...

READ MORE

Wezi Wavamia Kanisa, Waiba na Kujisaidia Kwenye Ofisi ya Mchungaji

WAKAZI wa kaunti ya Vihiga nchini Kenya wameingiwa taharuki baada ya watu wasiojulikana kuvamia Kanisa la Mumbita Church of God...

READ MORE

Kesi ya Kina Mbowe, Inspekta Maulid Aeleza Ushahidi Wake

SHAHIDI wa nne wa upande wa mashtaka katika kesi ndogo ndani ya kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman...

READ MORE

Mapingamizi Yaghubika Kesi ya Kina Mbowe

MAHAKAMA Kuu (Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi) imetupilia mbali mapingamizi manane kati ya tisa yaliyoibuliwa na mawakili...

READ MORE

Shahidi Aeleza Walivyowakamata Watuhumiwa Kesi ya Mbowe

Shahidi wa tatu wa upande wa mashtaka katika kesi ndogo ndani ya kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman...

READ MORE

Sehena ya Dozi 499,590 za Pfizer Yatua Tanzania

Serikali ya Tanzania imesema leo Novemba 23, 2021 Tamzania imepokea Dozi 499,590 za Pfizer kutoka nchini Marekani ambazo zitakinga Watanzania...

READ MORE

Benki ya Exim Yakabidhi Msaada wa Madawati 100 Mwanza

Benki ya Exim Tanzania (Exim Bank) imekabidhi madawati 100 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20, kwa ajili ya...

READ MORE

Maagizo kwa Ujenzi wa Madarasa, Pesa za Uviko-19

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI David Silinde amezitaka halmashauri zote nchini ambazo zinatekeleza ujenzi wa vyumba vya madarasa vinavyojulikana...

READ MORE

Makamba: TANESCO Msikodi Mitambo

Waziri wa Nishati, January Makamba amelielekeza Shirika la Umeme (TANESCO) kuhakikisha kwamba pamoja na kadhia ya umeme inayoendelea, Shirika hilo...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumbaka Mjamzito – Video

Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia mtu mmoja mwenye umri wa miaka 25 (jina limehifadhiwa) mkazi wa mtaa wa Ilazo...

READ MORE

Rais Samia Awatunuku Kamisheni Maofisa 118 wa JWTZ

  Rais Samia Suluhu Hassan amewatunuku vyeo vya luteni usu maofisa 118 wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) katika Chuo cha...

READ MORE

Akamatwa kwa Tuhuma za Mauaji, Mwingine Asakwa

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Mbagala Wilaya ya Mbeya, Shizya Juma (32) maarufu Rais kwa...

READ MORE

Biashara ya Ngono Sh 3000 Yawamaliza Wavuvi

MHITIMU wa Shahada ya Uzamivu kutoka Chuo cha Afya KCMC katika taaluma ya Huduma ya Afya ya Jamii, Maseke Mgalo...

READ MORE

Sakata la Mgao wa Umeme, Makamba Aanza Doria

WAZIRI wa Nishati, January Makamba, ameanza doria katika mito inayoingiza maji katika mabwawa ya vituo vyote vya kuzalisha umeme kwa...

READ MORE

Mfanyakazi Muhimbili Afariki Akivuta Kamba Uwanjani

Mfanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Ally Lidengi amefariki uwanjani wakati akicheza mchezo wa kuvuta kamba kwenye mashindano ya...

READ MORE

Wakulima wa Korosho Lindi, Mtwara Washauriwa Kujiwekea Akiba NBC

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Bw Shaibu Ndemanga amewashauri wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Lindi na Mtwara...

READ MORE

GGML Yamwaga Mil 248 Kuwezesha Watumishi Wake Kuhitimu Shahada ya Uzamili

JUMLA ya watumishi waandamizi 18 wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wamehitimu Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa...

READ MORE

Rais Samia Aomboleza Kifo cha Jaji Mwaikugile

Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Hamis Juma kufuatia kifo cha jaji mstaafu...

READ MORE

Sakata la Maji! Aweso Apita Mtaa kwa Mtaa

BAADA ya kazi kubwa usiku na mchana kuhakikisha maji ya mto Ruvu yanafika mitamboni na kuepusha Shughuli za binadamu tenki...

READ MORE

Rubani Aliyepotea, Spidertracks Yaonekana

WAKATI Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) ikitoa taarifa ya kusitisha shughuli za utafutaji wa rubani Samweli Gibuyi, familia yake...

READ MORE

Unyama! Baba wa Kambo Aua Watoto Wawili wa Mkewe

WATOTO wawili wa familia moja wameuawa na baba yao wa kambo kwa kuwaziba midomo na kukosa pumzi baada ya kutokea...

READ MORE

Mchina Anaswa Akichepusha Maji Mto Ruvu

SIKU MOJA baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwatangazia vita wanaoharibu vyanzo vya maji, mkulima mkubwa raia wa China amenaswa...

READ MORE

Inasikitisha: Mtoto wa Miaka Sita Aingiliwa Kimwili na ‘Baba Mdogo’

KATIKA hali ya kustaajabisha, mtoto wa miaka sita (jina linahifadhiwa) katika Kata ya Nyombo, Manispaa ya Njombe amebainika kuingiliwa kimwili...

READ MORE

Kesi ya Mke wa Bilionea Msuya Yaanza kwa Pingamizi

Upande wa utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili mke wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita na mfanyabiashara Revocatus Muyella...

READ MORE

Buchosa: Shigongo Awatahadharisha Watakaotafuna Fedha za Uviko 19

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amewatahadharisha watendaji wa Serikali kutothubutu kula fedha za Uviko 19 zinazojenga vyumba...

READ MORE

Diwani Ataka Wauza Chipsi Watozwe Ushuru

Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Morogoro imetupilia mbali hoja ambayo imewasilishwa na mmoja wa madiwani hao kuwa wauza chipsi...

READ MORE

Serikali Kuipatia Bugando Bilioni 4 ya Vifaatiba – Video

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Kanda ya Bugando, Dk Fabian Massaga amesema hospitali hiyo inatarajia kupokea Sh4.2 bilioni kwa ajili...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Tafiti za Saratani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameagiza kufanyika kwa utafiti wa kina kuhusu ongezeko la...

READ MORE

Rais Samia Avunja Ukimya Sakata la Mgao wa Maji Dar – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa ufafanuzi wa adha inayoikumba taifa jumla kwa sasa...

READ MORE

Rais Samia Azindua Mashine ya MRI Bugando

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezindua mashine ya kupima magonjwa mbalimbali (MRI) katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya...

READ MORE

NBC Yazindua Bima ya Kilimo kwa Wakulima, Wafugaji na Wavuvi

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Jubilee Insurance wamezindua huduma ya bima maalum...

READ MORE

Rufaa ya Sabaya Kuunguruma Desemba 13

Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Butamo Philip anatarajiwa kuanza kusikiliza rufaa ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai...

READ MORE

Bayport Yakabidhi Bodaboda kwa Mtumishi wa Muhimbili

  TAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services, imekabidhi bodaboda mpya aina ya Hunter kwa mtumishi wa Hospital ya Taifa...

READ MORE

Watatu Wafariki kwa Kufukiwa na Kifusi Sikonge

WATU watatu wamefariki dunia wakiwemo watoto wawili na mwanafunzi mmoja wa shule ya msingi majengo wilaya ya sikonge mkoani Tabora...

READ MORE