×

Kitaifa

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Benki ya Dunia

Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na mkurugenzi mkazi wa Benki ya Dunia, Mara Warwick.     Katika...

READ MORE

Wanaswa Wakiiba Simu Game ya Simba na Mwadui

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashilikilia wanaume watatu kwa tuhuma za wizi wa simu za mkononi wakati wa mechi ya...

READ MORE

Shigongo: Tusiwe na Wasiwasi, Mama Samia Yuko Vizuri – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amewaasa Watanzania kutokuwa na hofu kwani Rais tuliye naye sasa Mama Samia Suluhu ataendeleza yale...

READ MORE

Mrembo Auawa Baada ya Kumkataa Mpenzi Wake

Ukizitazama picha maridadi za mrembo mwenye miaka 25, Catherine Nyokabi ambaye ameuawa kinyama na mpenzi wake, utatambua kwamba alikuwa mja...

READ MORE

Wanaume Wawili Wapoteza Fahamu Baada ya Kuiba Nguruwe

  Kumetokea tukio la aina aina yake huko Shinyalu, Kaunti ya Kakamega nchini Kenya baada ya wanaume wawili wanaodaiwa kuiba...

READ MORE

Shigongo Amwandikia Barua Ndugai “Mtaala wa Elimu Upitiwe” – Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shigongo amewasilisha kwa njia ya barua hoja binafsi kwa Spika Job Ndugai ili kujadili...

READ MORE

Waziri Mkuu Akasirishwa na Mwenendo Mbovu Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, leo amefanya ziara katika mradi wa mwendokasi kwa kuanzia na kituo cha Gerezani, Kariakoo na kubaini...

READ MORE

Rais Samia Amwapisha Balozi Mndolwa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha aliyekuwa Balozi Mteule Yusuph Mndolwa Tindi kuwa Balozi...

READ MORE

Ndoa Iliyowagusa Wengi, Mume Mlemavu, Wafunguka Historia Yao – Video

GLOBAL TV imefunga safari hadi mkoani Tanga, kwa ajili ya kufanya mahojiano na wanandoa ambao harusi yao ime trend sana...

READ MORE

Rais Samia Aweka Aaanika Atakachokifanya kwa Miaka 5 – Video

RAIS Samia Samia Suluhu amesema uongozi wake wa Awamu ya Sita haukutokana na uchaguzi, bali umetokana na Awamu ya Tano...

READ MORE

Mama Janet Magufuli ni Mgonjwa

Joseph Magufuli ambaye ni mtoto wa aliyekuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt....

READ MORE

Benki ya Exim Yajizatiti na ‘Mteja Kwanza’ Huduma Kidigitali

Dar es Salaam: Aprili 18, 2021: Benki ya Exim imesisitiza kuhusu mkakati wake wa kuwekeza na kutanguliza zaidi maslahi ya wateja...

READ MORE

Mtoto Miaka 7 Adaiwa Kubakwa na Babu Yake, Bibi Akiwa Amelazwa

WAKATI Taifa na wanaharakati mbalimbali wakiendeleza mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto, matukio ya udhalilishaji na...

READ MORE

NMB Yazindua Bima ya simu za Mkononi

BENKI ya NMB kwa kushirikiana Kampuni ya Reliance Insuarance, wamezindua huduma mpya na ya kipekee ya bima, inayolenga kulipia gharama...

READ MORE

Wabunge Wamtibua Rais Samia – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka wabunge kuwa na mijadala inayojikita katika kupitisha bajeti za...

READ MORE

MI CASA X YouNotUs Ndani ya “CHUCKS”

  KUNDI mahiri la muziki kutoka nchini Afrika Kusini, Mi Casa kwa kushirikiana na Kundi la YouNotUs kutoka Berlin nchini...

READ MORE

Global Yagawa Nailoni Kwa Wauzaji wa Magazeti Dar

MAOFISA usambazaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd ambao ni wachapishaji wa Magazeti ya Uwazi, Championi, Amani, Risasi na Ijumaa...

READ MORE

Takukuru Yamwachia Kakoko kwa Dhamana

Mkurugenzi wa Takukuru, Brigedia Jenerali, John Mbungo amesema, imemwachia kwa dhamana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Bandari, Deusdedit Kakoko, baada ya kumaliza...

READ MORE

Wasomaji wa Championi Warudishiwa Marambili Fedha Waliyonunulia Gazeti

IKIWA sasa ni msimu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo waislam wako katika mfungo, timu ya masoko ya Kampuni ya...

READ MORE

Cuba Kutokuwa na Kiongozi Anayeitwa Castro

Baada ya miaka 62, Taifa la Cuba litaamka Jumatatu bila kuwa na Kiongozi wa Nchi anayeitwa Castro. Raúl Castro anatarajiwa...

READ MORE

Mdee Acharuka: Serikali Ilipe Deni

Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee, ameitaka Serikali kulipa deni inalodaiwa katika Mifuko ya Hifadhi za Jamii ili Wastaafu walipwe...

READ MORE

Umoja wa Mataifa Wamkumbuka Magufuli kwa Aiyoifanyia Tanzania

Baadhi ya viongozi katika kikao cha 75 cha mkutano wa 59 wa Umoja wa Mataifa (UN) uliofanyika jana Ijumaa Aprili...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya, Majina Haya Hapa

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wasaidizi wake kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo wa uchumi, siasa, sheria na...

READ MORE

Kampuni Lesotho Yaruhusiwa Kuuza Bidhaa za Bangi Ulaya

Kampuni yenye makao yake nchini Lesotho imeruhusiwa kukuuza mazao ya bangi kwa ajili ya matumizi ya dawa kwa Muungano wa...

READ MORE

Mrundi Apewa Tuzo kwa Kutengeneza Pombe Bora ya Mwaka

Raia wa Burundi aamejipatia medali ya dhahabu baada ya kushinda tuzo la mtu aliyetengezeza pombe bora na tamu zaidi ya...

READ MORE

Dkt. Abbasi: Ilikuwa Miaka Mitano ya Kutokulala Kuisemea Serikali

Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, leo amekabidhi kijiti hicho kwa Ndugu Grayson Msigwa aliyeteuliwa hivi karibuni na...

READ MORE

Dkt. Hosea Ashinda Urais wa TLS

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Dk. Edward Hosea ametangazwa mshindi wa kiti cha...

READ MORE

Majaliwa Asisitiza: Dodoma ni Makao Makuu – Video

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewatoa hofu Watanzania waliofikiri mkakati wa Dodoma kuwa Makao...

READ MORE

Serikali Yaagiza Televisheni Kufungwa Mahospitalini

Serikali imewaagiza Waganga Wakuu wote nchini kuweka Televisheni na vipeperushi katika vituo vya kutolea huduma za afya hususani majengo yanayowahuduma...

READ MORE

Dkt. Abbas Akabidhi Ofisi kwa Msigwa – Video

Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi leo Aprili 16, 2021 amekabidhi ofisi ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari...

READ MORE

Tabasamu: Hamtaki Kuajiri Walimu, Futeni Mtaala wa Ualimu

Mbunge wa Jimbo la Sengerema (CCM), Hamis Hussein Tabasamu, amesema licha ya uwepo wa upungufu wa walimu na waliosomea kuwepo...

READ MORE

Watumishi 90,000 Kupandishwa Madaraja

Serikali inatarajia kupandisha madaraja watumishi wa Umma 90,000 nchi nzima lengo likiwa ni kutimiza takwa la kisheria linalotaka watumishi waliokidhi...

READ MORE

Lugangila Alia na Ofisi ya Waziri Mkuu “Tuambieni Mtafanya Nini?”

MBUNGE wa Viti Maalumu (CCM) kupitia Kundi la Asasi za Kiraia nchini (NGOs) Mhe. Neema Lugangira ameiomba Serikali iikaribishe Sekta...

READ MORE

Marekani Yaiahidi Neema Tanzania

MAREKANI imeahidi kushirikiana na Tanzania kukuza mitaji na kuvutia uwekezaji kutoka nchini humo ili kuchochea zaidi uchumi na huduma za...

READ MORE

Upanuzi Anglo Gold Ashanti Kuimarisha Mahusiano Uchimbaji Nchini

Kwa kuzingatia mpango wa kuongeza mchango endelevu katika uchumi wa jamii inayozunguka mgodi, Kampuni ya Anglogold Ashanti imeingia ubia na...

READ MORE

Mwanafunzi Form IV Afariki kwa Kupigwa na Radi

Mwanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Kabugalo iliyopo Bukoba mkoani Kagera Gisera Oswardi (18) amefariki dunia kwa...

READ MORE

Fahamau Alichokifanya Mkaguzi Mkuu wa Migodi GGML

  Geita Gold Mining Limited (GGML) imepokea ruhusa ya mpango wa uchimbaji madini wa mwaka 2021 unaohusisha uchimbaji wa wazi...

READ MORE

Gwajima Aliamsha: Nape Umenidukua, Tunahitaji Ajenda ya Taifa – Video

Mbunge wa Kawe (CCM), Josephat Gwajima ametaka Tanzania kuweka tafsiri ya maendeleo ambayo kila rais atakayeingia madarakani atatakiwa kuitekeleza jambo...

READ MORE

Nape Acharuka: Mwacheni Mama Aandike Kitabu Chake Mwenyewe – Video

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa nyaraka za chama hicho tawala, kukosoa na kujikosoa ni silaha...

READ MORE

Mawaziri Waweka Mambo Sawa Maagizo ya Rais Samia Kuhusu Online TV

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wamefanya kikao...

READ MORE