×

Kitaifa

Wanachuo wa SUA, Wasogezewa Tawi Jipya la Nmb

Benki ya NMB imeendelea kupanua wigo wake kwa kufungua tawi ‘NMB SUA’ katika Chuo Kikuu Cha Sokoine Mkoani Morogoro. Ufunguzi...

READ MORE

Kijana Auawa Bar Kisa Mwanamke

Jeshi la Polisi mkoa wa mwanza linawashikilia watu watano kwa tuhuma za makosa mbalimbali ya kiuhalifu ikiwemo mauaji.   Tukio...

READ MORE

Simbachawene Avionya Vyombo vya Habari vya Kenya

BALOZI  wa Tanzania nchini Kenya Dkt. John Simbachawene, amevitaka vyombo vya habari vya nchini Kenya kuripoti taarifa zenye uhakika kuhusu...

READ MORE

Kilimanjaro: Nzige Wamtesa Waziri, Naibu

Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda na naibu wake, Hussein Bashe wamewasili wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro kusimamia shughuli ya...

READ MORE

Magufuli: Nimewahi Kuwa Dereva Teksi – Video

  Rais John Magufuli amesema kazi anayofanya ina changamoto zake kwa kuwa anatamani kuendesha gari lakini anazuiwa na ametoboa siri...

READ MORE

Ulikuwa Uamuzi Mgumu Kujenga Ubungo Interchange – Mkumbo

Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais (Uwekezaji) ambaye pia ni mbunge wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo amesimulia namna uamuzi mgumu...

READ MORE

Rais Afunguka Watu Walivyokufa Ubungo – Video

  RAIS John Magufuli amesema kabla ya ujenzi wa daraja la juu la Ubungo ‘Kijazi Interchange’ eneo hilo lilikuwa chanzo...

READ MORE

RC Mghwira Awatuhumu Baadhi ya Polisi Rombo

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amewashukia baadhi ya askari polisi wilayani Rombo kwa madai ya kujihusisha na kumiliki...

READ MORE

JPM Kulivunja Jiji la Dar – Video

RAIS John Magufuli amesema Serikali ina mpango wa kuvunja Jiji la Dar es Salaam na kuchagua manispaa moja katika jiji...

READ MORE

Magufuli: Machinga, Mama Ntilie Wasifukuzwe Stendi – Video

RAIS  John Magufuli amezindua Kituo Kikuu cha Kimataifa cha Mabasi cha Dar es Salaam, kilichopo Mbezi-Luis, leo Jumatano, februari 24,...

READ MORE

Dkt. Tulia: Nimeugua Corona, Kutovaa Barakoa Si Sababu – Video

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa amewahi kuugua ugonjwa wa corona...

READ MORE

Magufuli Azindua Ubungo Interchange, Dar – Video

RAIS John Magufuli amefanya uzinduzi wa daraja la juu la Ubungo lililopewa jina la aliyekuwa katibu mkuu kiongozi, Balozi John...

READ MORE

Tanzania, Sauzi, Nigeria… Marufuku Kuingia Oman

WASAFIRI wanaoingia Oman kutoka nchi 10 wamepigwa marufuku  kuingia nchini humo. Nchi zilizopigwa marufuku ni Tanzania Afrika Kusini, Lebanon, Sudan,...

READ MORE

Askofu Malekana: Matamko Yanatengeneza Taharuki

Imeelezwa kuwa matamko na nyaraka zinazotolewa na viongozi wa madhehebu mbalimbali nchini inapaswa yatolewe na wizara ya afya kwa sababu...

READ MORE

Taasisi Nne Kuchunguza Shule Ya Don Bosco – Tanga

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu amesema ataunda timu ya wataalamu...

READ MORE

Mazishi ya Mume wa Vicky Kamata – Video

  MWILI wa Mume wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM, Vicky Kamata, Dk. Servacius Likwelile,...

READ MORE

UDART Yatoa Mwongozo wa Kujikinga na Corona kwa Abiria Wake

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa Mwongozo kwa Watumiaji wa Magari ya Mwendokasi ili kujikinga...

READ MORE

Biden Aomboleza Waliokufa kwa #Covid-19

TANGU kutokea kwa janga la #CoronaVirus duniani kumekuwa na athari katika maeneo mbalimbali huku Marekani ikiwa nchi iliyoathirika zaidi.  ...

READ MORE

RC Awaita Watalaam wa Asili Kutibu Maradhi ya Kupumua

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amesema anawataka wale wote wenye tiba za asili za Pumu, Kifua, Mafua, Maumivu...

READ MORE

Dorothy Semu Kaimu Mwenyekiti Wa ACT-Wazalendo Taifa

    Chama cha ACT Wazalendo kimemteua Dorothy Semu kuwa Kaimu Mwenyekiti wa Chama hicho Kitaifa kufuatia kifo cha Mwenyekiti...

READ MORE

Wanafunzi Walivalia Njuga Sakata la Mimba za Utotoni

WANAFUNZI wa shule za sekondari Wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu wameziomba bodi, na uongozi wa shule kuwa na kikao...

READ MORE

Mtwara: Wanafunzi Wasomea Chini ya Mkorosho

WANAFUNZI  wa Shule ya Msingi Namalombe wilaya ya Nanyumbu mkoa wa Mtwara pamoja na Mwalimu mkuu wao, Bwanaheri Akili, wameiomba...

READ MORE

NMB Bonge la Mpango; Jishindie hadi Sh. Milioni 500/-

Benki ya NMB imeizindua kampeni inayojulikana kama ‘Bonge la Mpango’ ambayo itawawezesha wateja kushinda fedha taslimu, Pikipiki ya Miguu mitatu,...

READ MORE

Washindi 424 wa Kila wiki, Mwezi wazoa Zawadi za Mamilioni

KUELEKEA droo kuu ‘Grand Finale’ ya Kampeni ya NMB MastaBATA, Benki ya NMB imewataka wateja wake kuongeza kasi ya matumizi...

READ MORE

Rais JPM Kufanya Ziara ya Siku 2 Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Jijini...

READ MORE

Dk. Mollel: Wanadai Hatutoi Data za Corona ni Ujinga Mtupu – Video

  SERIKALi imesema matumizi ya data za magonjwa yote, ni kwa ajili ya kuchakata na kisha kuja na mbinu za...

READ MORE

Serikali Yatoa Kanuni 8 za Kujikinga na #COVID19

  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kusimamia na kusisitiza utekelezaji wa tahadhari ya magonjwa...

READ MORE

Holodomor Janga la Njaa, Watu Walikula Nyama za Watu

Mwaka 1932-1933 lilitokea janga la njaa hatari sana lililoikumba Ukraine, Janga ilo liliitwa Holodomor. Kukosekana kwa chakula kulipelekea watu kuanza kulana...

READ MORE

Mama Samia: JPM ni Baba wa Madini

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, leo amefungua Kongamano la kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini lenye lengo la...

READ MORE

Serikali Kutumia Ndege Kuua Nzige Simajiro, Longido

Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda amesema ndege itapuliza sumu kuua nzige katika Wilaya za Simanjiro na Longido leo. Amewataka...

READ MORE

Global Radio Yatunukiwa Tuzo ya Radio Bora Mtandaoni

HATIMAYE  ile tuzo ya Radio Namba Moja ya Mtandaoni Tanzania iliyotolewa na Tanzania Digital Awards  iliyobebwa ‘kibabe’ na +255 Global...

READ MORE

Wanne Mbaroni kwa Kuzusha Vifo vya Corona

  POLISI Mkoa wa Pwani inawashikilia watu wanne waliokamatwa ndani ya mkoa huo wakituhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kueneza uvumi...

READ MORE

RC Chalamila: Matangazo ya Vifo Mtaani, Tabia Hiyo Ife

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amepiga marufuku kufanyika kwa shughuli za mazishi kwa kutumia magari ya matangazo ya...

READ MORE

Maseneta Ufaransa Waipongeza Tanzania

WAJUMBE wa Bunge la juu la Ufaransa (Seneti) limeipongeza Tanzania kwa kuwa kinara wa masuala ya utulivu,amani,ulinzi na usalama katika...

READ MORE

Ajali: United Airlines Yasitisha Safari za Boeing 777

SHIRIKA la ndege la United Airlines la Marekani limesema linasitisha safari za ndege zake 24 aina ya Boeing 777 baada...

READ MORE

Majaliwa Akabidhi Magari ya Polisi Lindi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, amekabidhi magari mawili kwa ajili ya matumizi ya Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi yatakayowezesha askari...

READ MORE

Moto Wateketeza Mabweni Shule ya Sangiti

WANAFUNZI 180 katika shule ya sekondari ya wasichana Sangiti iliopo kata ya Kirima Kibosho wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika...

READ MORE

WHO Yaomba Takwimu za Corona Tanzania

  MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema shirika lake halijapokea taarifa kutoka #Tanzania kuhusu...

READ MORE

Breaking News: Profesa Benno Ndulu Afariki Dunia

  ALIYEWAHI kuwa Gavana Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu (71), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu,...

READ MORE

NMB Yatoa Vifaa vya Milioni 50 Morogoro, Dodoma na Singida

Benki ya NMB imetoa vifaa mbalimbali katika sekta ya elimu na Afya kwenye Wilaya za Mpwapwa mkoani Dodoma, Manyoni na...

READ MORE