×

Maisha

MAHINDI HAYACHOMWI KWA GESI

KAMA nak-uona shoga yangu ulivyobetua macho juu kama unaangalia mkungu wa ndizi mbivu, utashanga sana na mwezi dume ndiyo huo...

READ MORE

KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA , KWANINI UCHANGANYIKIWE?

MPENZI msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha.  Aliniandikia...

READ MORE

Njia 5 za kupata wazo la biashara litakalokufanikisha 2019

HABARI za wakati huu, nin­gependa kuanza na msemo kuto­ka wa Swami Vibekananda aliyenena; “Take up one idea. Make that one...

READ MORE

AMEVUNJA MOYO WAKO? SIMAMA, JITHAMINI

HABARI yako msomaji wa kona hii! Ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea na majukumu yako ya kila siku....

READ MORE

FANYENI HAYA MDUMISHE PENZI LENU

RAHA ya mapenzi ni wapendanao kupendana kwa dhati. Japo mara nyingi hutokea watu wanaoana ikiwa mmoja wao hampendi sana mwenzake...

READ MORE

CHEZEA KOKI YA MAJI, USICHEZEE PESA

BINADAMU bwana! Hata ukiogelea watasema unawatimulia vumbi, haloooo ehhhhh! Unashanga, hebu kashangae basi memori kadi ndogo lakini inailiza sabuufa! Heheiyaaaa! Haya...

READ MORE

KWA VITU KONKI VYA CHUMBANI KWENYE NDOA, KUZINGATIA HAYA!

MAISHA yana changamoto nyingi sana ambazo unatakiwa uzitatue kabla hazijayaathiri maisha yako. Huna sababu ya kuchanganyikiwa eti kwa kuwa mke...

READ MORE

UNAOMBAJE MSAMAHA KWA MPENZI WAKO ?

MARAFIKI karibuni katika safu yetu hii ya XXLove ambayo hutupa maarifa kuhusu uhusiano na mapenzi. Siku zinayoyoma, zimebaki siku chache...

READ MORE

WANAWAKE WANAVYODUMISHA NDOA ZAO KWA NJIA HATARISHI !

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii ambapo tunazungumzia mada mbalimbali zinazogusa maisha yetu ya kimapenzi.  Namshukuru Mungu kwa...

READ MORE

UKIONA DALILI HIZI, TAMBUA WEWE SIYO CHAGUO LAKE -2

NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko vizuri! Ni wiki nyingine tunapokutana jamvini, ikiwa ni wiki ya kwanza ya mwezi...

READ MORE

Sentinelese; Kabila Linaloogopwa Zaidi Duniani

Si watu wengi walio na ufahamu kuhusu jamii ya Sentinel kama T N Pandit ambaye ni mtaalamu wa masuala ya...

READ MORE

SUFURIA YA KUAZIMA HAIUNGUZI MBOGA

KAMA nakuona vile, unaringia gauni la dukani unasahau kama umevaa viatu vya mtumba, heeee heeeeiyaaa! Unalo mwaka huu shoga! Wanakwambia...

READ MORE

KWANINI UKUNALI KUTESEKA KISA ETI UNAMPENDA?

NI WIKI NYINGINE tulivu kabisa tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba Mungu amekupa nafasi nyingine ya kuendelea kuishi. Hili ni...

READ MORE

SABABU KUBWA ZA WANAUME , WANAWAKE KUSALITI !

HAKUNA kitu kinauma kama usaliti. Usaliti ni jambo baya. Mwenzi wako anapokusaliti halafu ukagundua, kamwe huwezi kuwa na amani ya...

READ MORE

JINSI YA KUKABILIANA NA MAUMIVU YA KICHWA!

KHALID Chokoraa ameimba; kuachwa kuachwa, kuachwa ni shughuli pevu, wewe unakonda mwenzako ananenepa kwa mawazo…kwa mawazo…kwa mawazo.  Hicho kilikuwa ni kibwagizo...

READ MORE

WASANII 5 WALIOTUMIA DAWA ZA KULEVYA

DAWA za kulevya zimekuwa changamoto kubwa katika nchi mbalimbali duniani kwani vijana wengi wamepatwa na umauti kutokana na kuathiriwa na...

READ MORE

BAKULI HALICHAGUI MBOGA

NASHANGA bia yenyewe moja lakini asubuhi na wewe unakimbilia mchemsho wa nini? Paaaambeeee shoga, usione simba kaloa na mvua ukasema...

READ MORE

KUFITINISHA WANAOPENDANA ILI WAACHANE FAIDA YAKE NINI?

NAMSHUKURU Mungu kwa kunifanya niione wiki hii nikiwa mzima wa afya huku nikiendelea vyema na shughuli zangu za kila siku...

READ MORE

AMEUVUNJA MOYO WAKO NA KUKUACHA NA MAJONZI ? SOMA HAPA- 2

NAKUSHUKURU mpendwa msomaji wangu ambaye umetumia muda wako ‘kushea’ nami kuhusu mada hii kama tulivyoianza wiki iliyopita. Nimepokea meseji nyingi...

READ MORE

NI RAHISI KUWA NA MCHUMBA NA USIFANYE NAYE MAPENZI ?

NAMSHUKURU Mungu kwa mara nyingine tena kwa kunijalia fursa hii adhimu ya kuzungumza nanyi wapenzi wasomaji wa safu hii. Hakika...

READ MORE

USISEME HUNA BAHATI, UMEJIKAGUA VYA KUTOSHA?

DUNIA ya sasa imejaa sarakasi nyingi sana katika masuala ya mahusiano. Huyu anampenda yule, mwenzake hampendi. Anayemkataa mwenzake naye anampenda...

READ MORE

UKIMFANYIA HAYA MWANAUME UGOMVI MTAUSIKIA KWA MAJIRANI

ALHAMISI nyingine, tunakutana kwenye darasa letu la masuala ya mahusiano. Ni vyema kuyazungumza na kuyafanyia kazi ili mahusiano yetu yazidi...

READ MORE

MC WA MSIBANI HAPIGIWI MAKOFI

SHOGAAA eeehh haya sasa sema mwenyewe, ulijifanya hodari wa kupakua kumbe kupika kwenyewe huwezi, haloooo eeeehhh na bado, mwaka ndo...

READ MORE

NI KOSA KUMPA MCHUMBA HUDUMA ZA MKE AU MUME !

 NIANZE kwa kumshukuru muumba wa mbingu na nchi, kwa rehema na fadhila anazonifanyia katika maisha yangu ya kila siku, ama...

READ MORE

MBINU ZA KUMFURAHISHA MUWAPO FARAGHA-2

NI wiki nyingine tunapokutana katika uwanja huu, mada yetu ni ile tuliyoianza wiki iliyopita, ambayo ama kwa hakika inaonekana kuwagusa...

READ MORE

KUNA BINADAMU NA BINADAMU WANYAMA KWENYE MAHUSIANO, JIFUNZE

MUNGU ni mwema kila wakati! Alhamisi nyingine tunakutana kwenye kilinge cha mahaba. Tunakutana kupeana elimu, kufunguana mawazo juu ya masuala...

READ MORE

SAA YA UKUTANI HAIVALIWI MKONONI

OHH Anti Naa siku hizi hachambi sana kama zamani, komaaa! Aliyekwambia hii kolamu ya kuchamba nani? Hee heeeiyaaaaa! Waswahili wanakwambia...

READ MORE

JINSI YA KUMTEKA ASIKUACHE !

NI Jumatatu nyingine, tumejaliwa na Mwenyezi Mungu, nami nakukaribisha jamvini mdau tupate elimu ya mapenzi na maisha kwa jumla.  Kama kichwa...

READ MORE

KUNA HATUA KABLA YA KUZAMA PENZINI USIKOSEE!

MAPENZI raha yake ni kupendana. Yananoga zaidi wapendanao wanapopendana kwa asilimia mia. Mwanaume ampende mwanamke kwa kiasi hicho, vivyo hivyo...

READ MORE

MBINU ZA KUMFURAHISHA MUWAPO FARAGHA

T ENDO la ndoa (kwa wanandoa) si tu linatumika kuboresha uhusiano kati ya mume na mke bali pia ni dawa...

READ MORE

KUKU MWEUSI HAFUKUZWI USIKU

 WEEEEER-AAAAA shoga yangu! Unaambiwa gari la kuazima haliwezi kukuishia mafuta na utatembea hadi umalize soli za viatu lakini huwezi kukutana...

READ MORE

KUNA MAISHA BAADA YA KUUMIZWA, YATAFUTE HIVI !

DUNIA ya wapendanao kila siku ina mambo mapya. Huyu anaingia huyu anatoka. Kuna ambaye analia na kuna ambaye anacheka. Anayecheka...

READ MORE

RAHA YA MCHEZO NI MAANDALIZI YA KISAIKOLOJIA SIYO UCHAWI

JUMAA ya leo ningependa tujadiliane jambo la tofauti kidogo! Kabla ya yote, tukubaliane kwamba usiri na kukosa uwazi kwenye mambo...

READ MORE

BODABODA HAINA TIKETI

WAJANJA wanakwambia hiviii, hata gari lina sofa lakini siyo za kutengenezwa kwa mbao, upo nyonyo? Heee eheeeeiyaaaa tangu lini mfuniko...

READ MORE

AKIKUSALITI UKAMUACHA, WEWE NI MSHAMBA WA MAPENZI !

NI matumaini yangu kwamba una shauku kubwa ya kujua nini nimekuandalia kwa leo. Ni yaleyale kuhusu maisha yetu ya kimapenzi...

READ MORE

UNAWEZA KUOLEWA N A MTU USIYEMPENDA ?

MUNGU ni mwema, Jumamosi nyingine tunakutana kwenye kilinge. Tunajadili yale ambayo yanahusu uhusiano, uchumba na hata ndoa. Moja kati ya...

READ MORE

UTAJUAJE KAMA UPO KWENYE MAPENZI HATARISHI? SOMA HAPA

MATUKIO ya wanandoa kuwaua wenzi wao au kuwafanyia ukatili wa kutisha, yanazidi kuongezeka. Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na...

READ MORE

KUNA WANAOAMINI NDUMBA KWENYE MAPENZI, USIWAPUUZE!

MUNGU ni mwema, Alhamisi nyingine ametujaalia tunakutana katika jamvi letu la ulimwengu wa mahaba. Kama ilivyo ada, hapa tunapanuana mawazo...

READ MORE

KIJIKO CHA JIKONI, HAKIOGOPI MOTO !

SHUUUUTUUUU! Jitu zima hovyo kutwa kuwasema wamama wenzio, hivi jamani mtu kufanikiwa kidogo ndo yamekuwa maneno? Basi yachukue kayachapishe kwenye...

READ MORE

USAFIRI WA MAFIA NI HATARI MARA MBILI YA MV NYERERE  

MAZINGIRA ya usafirishaji abiria kupitia Bandari ya Nyamisati iliyopo Rufiji kwenda Mafia mkoani Pwani, ni hatari sana mara mbili ya...

READ MORE