×

Makala

MASTAA BONGO: UTAJIRI HAUAMBUKIZWI KUPITIA TENDO LA NDOA

KUNA mwanaume mmoja alikuja nchini miaka michache iliyopita na ‘kuwaburuza’ dada zetu mastaa kama akatavyo. Kwa masikio yangu alinitamkia kuwa...

READ MORE

TUMIA MAJI YA WARIDI KUMFANYA ASIISHIWE HAMU FARAGHA

WANAUME wengi, hasa waliopo kwenye ndoa, wamekuwa wakilalamikia tatizo la wake zao, kukosa hamu ya kuwa nao faragha.   Ni...

READ MORE

SADAKA HAIKOPESHWI

KAMA nakuona vile, unaringia gauni la dukani unasahau kama umevaa viatu vya mtumba, heeee heeeeiyaaa! Unalo mwaka huu shoga! Wanakwambia...

READ MORE

WEWE UKO DAR, YEYE ARUSHA, PENZI LA KWELI LITOKE WAPI?

MAPENZI yanachukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu lakini mapenzi hayahaya yanafikia hatua ya kuwadatisha baadhi ya watu. Wengi wasiojua...

READ MORE

JINSI YA KUWAEPUKA MATAPELI WA MAPENZI

JUMATATU nyingine mpenzi msomaji wangu tunakutana kwenye eneo letu zuri la kupeana darasa la masuala ya uhusiano. Natumai umzima wa...

READ MORE

UNATAKA KUANZISHA UHUSIANO MPYA? SOMA HAPA

 ULIMWENGU wa vijana wa sasa kumpata mwenza sahihi wa kufanya naye maisha ni nadra sana. Wengi wamegeuza suala la uhusiano...

READ MORE

ANAKUTESA KWA KUKOSA UAMINIFU? FANYA HAYA KUMDHIBITI

NIMEWAHI kueleza hapa kwamba hakuna kinachoumiza moyo kama kuishi na mpenzi asiye mwaminifu na leo nasisitiza, kama kweli unampenda hebu...

READ MORE

BAADA YA KUCHUNGULIA KIFO, HII NDIYO SIMULIZI MPYA MAISHA YA HAWA

AMA kweli Mungu hamtupi mja wake! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kusikia habari njema za afya ya msanii wa Bongo...

READ MORE

MUME AFUATA PESA YA KITOWEO ATM… ARUDISHWA AKIWA MAITI!

UCHUNGU wa kufiwa na mume uliyeachana naye muda mfupi baada ya kukuambia kuwa anatoka kidogo kufuata fedha za matumizi kwenye...

READ MORE

KWA NINI WACHUMBA WANAKUPIGA KIBUTI KILA MARA ?-2

KILA mmoja anapenda kuwa na mwenzi wa maisha yake yote. Apendwe. Ampende. Hadi kifo kitakapowatenganisha. Ni hisia stahiki kabisa kwa...

READ MORE

KAJALA SASA AUCHUKIA MWILI WAKE

MREMBO kutoka Bongo Movies, Kajala Masanja amefunguka kuwa kati ya vitu ambavyo anavichukia kwa sasa ni pamoja na mwili wake...

READ MORE

MUME AMNUSISHA KIFO MKEWE!

KATIKA ndoa za siku hizi, wakati mwanaume na mwanamke wakikutana na kukubaliana kuoana, utadhani hakuna jambo baya linaloweza kutokea kati...

READ MORE

MGOMBA HAUZAI EMBE

PAMBEEEE shoga wanakwambia ukimuona ngedere mjini basi ujue ana mwenyewe ati! Wareee reeeeee! Maskini hana mpambe na mjini hulali njaa...

READ MORE

IJUE SIRI NA MADHARA YA WAPENZI KUPIGA PICHA ZA UTUPU !

MAPENZI ya sasa yamejaa sarakasi nyingi sana, kwa yule aliyebahatika kuingia kwenye uhusiano anatakiwa kuwa makini kuhakikisha mapenzi hayamtibulii maisha...

READ MORE

MAKOSA 3 HATARI WANAYOFANYA WANAWAKE KWA WANAUME

 JUMAMOSI nyingine tunakutana kwenye kilinge chetu kujadili yale yanayohusu uhusiano. Tunajifunza kila siku hivyo ni vyema kujifunza, kung’amua mambo kwa...

READ MORE

MKE ANAWEZA KUCHANGIA MUME AKACHEPUKA

NI Ijumaa nyingine nzuri tunapokutana katika uwanja wetu huu mzuri, kujuzana na kujadiliana kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi....

READ MORE

SIMULIZI YA WATOTO HAWA 5… INASIKITISHA

KAMA una uwezo wa kupata angalau mlo mmoja kwa siku, una mahali pa kulala pa kueleweka hata kama ni chini...

READ MORE

CHIPS HAZINA UKOKO

UNANISHA-NGAA wakati umes-hindwa kuyalinda maboga utaweza wapi matikiti! Haloooo eeeehhh wanakwambia kuvimba kwa mchele hakushtui mwiko shoga, upo nyonyo?  ...

READ MORE

MTOTO ALIYEDAIWA KUSULUBIWA NA MAMA’KE… HALI NI MBAYA!

DAR ES SALAAM: Mtoto Hamisa Abduli (19), mkazi Kalokeni mkoani Mwanza, am­baye anadaiwa kuteswa na mama yake wa kufikia, hali...

READ MORE

UKIMPENDA SANA MTU USIYE MUAMINI, JIANDAE KUJIUA/ KUWA KICHAA !

NI mwaka mpya na mambo mapya lakini kiukweli kwenye suala la mapenzi hakuwezi kuwa na mambo mapya. Mambo ni yaleyale...

READ MORE

BAADA YA KUOA BINTI WA KIBONGO…MZUNGU AUAWA KIKATILI BONGO!

KUSEMA kweli kuna wakati Dunia Haina Huruma! Ndivyo ambavyo unaweza kusema baada ya Familia ya Mzee Boniphace Raphael Umela wa...

READ MORE

MAKOSA 3 HATARI WANAYOKOSEA WANAUME KWA MWANAMKE

MUNGU ni mwema sana, ni Jumatatu nyingine tunaku­tana kwenye eneo hili maridhawa la kupeana darasa kuhusiana na masuala ya uhusiano....

READ MORE

MAMBO YA KUMFANYIA MWANAUME WAKO AWE NA FURAHA

KWA hakika Mungu ni mwema. Tunakutana tena Jumamosi nyingine kwenye kilinge chetu cha kupeana elimu ya masuala ya uhusiano. Kama...

READ MORE

MAMBO YA KUFANYA UNAPOGUNDUA MNAELEKEA MWISHO WA PENZI

HAKUNA kitu kinachoumiza moyo kama unapogundua kwamba uhusiano uliopo ndani yake, unaelekea ukingoni. Mmeishi pamoja kwa muda mrefu, mmeoneshana mapenzi...

READ MORE

JINSI YA KUJIEPUSHA NA MIGOGORO

KWENYE ndoa hizi ambazo wengi hutamani kuziingia kuna changamoto nyingi. Hii inatokana na jinsi ambavyo wanandoa wenyewe wanashindwa kubaini matatizo...

READ MORE

 MTOTO ALIYETUPWA ILI AFE KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, AISHANGAZA DUNIA!

  NI asubuhi ya Januari 31, 2016, mitaa ya kijiji fulani nchini Nigeria imetulia, watu wanaendelea na shughuli zao za...

READ MORE

MAHINDI HAYACHOMWI KWA GESI

KAMA nak-uona shoga yangu ulivyobetua macho juu kama unaangalia mkungu wa ndizi mbivu, utashanga sana na mwezi dume ndiyo huo...

READ MORE

KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA , KWANINI UCHANGANYIKIWE?

MPENZI msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha.  Aliniandikia...

READ MORE

Mambo 6 Ya Kuyazingatia Kabla Ya Kuanza Biashara 2019

TUNAPOELEKEA kuuanza mwaka mwi ngi n e wa 2019, nina uhak­ika nyote mna­tambua kuwa kuna umbali mkubwa kati ya wazo...

READ MORE

KWA HILI LA DIAMOND, BASATA MNAJITUKANISHA WENYEWE!

BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) chini ya katibu mkuu wake, Godfrey Mngereza, ni kama limepoteza mwelekeo. Viongozi wake wamekuwa...

READ MORE

Yawezekana Wewe Ndiye Unayesababisha Achepuke Jitathmini

  NI Ijumaa nyingine nzuri tunapokutana katika uwanja wetu huu, kujadiliana kuhusu mambo yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka tujadiliane...

READ MORE

Jinsi Ya Kuongeza Fursa Za Mafanikio Kila Siku

Miongoni mwa mambo makubwa sana niliyojifunza mwaka huu unaoelekea ukingoni kuhusiana na fursa za mafanikio maishani, ni kitu ninachokiita (referability...

READ MORE

Umekata Tamaa ya Kuolewa, Soma Hapa Ufarijike!

JUMAMOSI nyingine mpenzi msomaji wa safi hii tunakutana kwenye uwanja wetu huu wa kuelimishana, kujifunza masuala mbalimbali yahusuyo maisha ya...

READ MORE

AMEVUNJA MOYO WAKO? SIMAMA, JITHAMINI

HABARI yako msomaji wa kona hii! Ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea na majukumu yako ya kila siku....

READ MORE

FANYENI HAYA MDUMISHE PENZI LENU

RAHA ya mapenzi ni wapendanao kupendana kwa dhati. Japo mara nyingi hutokea watu wanaoana ikiwa mmoja wao hampendi sana mwenzake...

READ MORE

CHEZEA KOKI YA MAJI, USICHEZEE PESA

BINADAMU bwana! Hata ukiogelea watasema unawatimulia vumbi, haloooo ehhhhh! Unashanga, hebu kashangae basi memori kadi ndogo lakini inailiza sabuufa! Heheiyaaaa! Haya...

READ MORE

KWA VITU KONKI VYA CHUMBANI KWENYE NDOA, KUZINGATIA HAYA!

MAISHA yana changamoto nyingi sana ambazo unatakiwa uzitatue kabla hazijayaathiri maisha yako. Huna sababu ya kuchanganyikiwa eti kwa kuwa mke...

READ MORE

UNAOMBAJE MSAMAHA KWA MPENZI WAKO ?

MARAFIKI karibuni katika safu yetu hii ya XXLove ambayo hutupa maarifa kuhusu uhusiano na mapenzi. Siku zinayoyoma, zimebaki siku chache...

READ MORE

WABUNGE WALIONUSURIKA KIFO KATIKA AJALI

ROHO wa ajali ashindwe na pepo mchafu aenezae hofu kipindi cha mwisho wa mwaka ambapo ajali nyingi hutokea naye alegee;...

READ MORE

WANAWAKE WANAVYODUMISHA NDOA ZAO KWA NJIA HATARISHI !

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii ambapo tunazungumzia mada mbalimbali zinazogusa maisha yetu ya kimapenzi.  Namshukuru Mungu kwa...

READ MORE