×

Makala

Magonjwa ya Zinaa Yanayowapata Vijana

KUNA magonjwa mengi ambayo watu hukumbana nayo lakini leo tutajadili magonjwa ya zinaa ambayo huwapa zaidi vijana japokuwa kuna wazee...

READ MORE

Chlamydia: Ugonjwa Hatari Wa Zinaa-2

TUMALIZIE makala yetu ambayo tulianza kueleza wiki iliyopita kuhusu ugonjwa hatari wa zinaa unaoitwa kitaalamu Chlamydia. Leo tueleze dalili kwa...

READ MORE

Tiba Sahihi Waathirika wa Madawa ya Kulevya!

WAKATI serikali ikipambana kwa nguvu zote kuhakikisha inadhibiti uingizaji na usafirishaji wa madawa ya kulevya nchini, Kituo cha Changamoto ni...

READ MORE

Kutokwa na Uchafu Ukeni ‘Leukorrhea’

Na Dk CHALE| GAZETI LA IJUMAA| AFYA HII  siyo  hali ya kawaida mwanamke kutokwa na majimaji au uchafu ukeni au...

READ MORE

Dondoo Muhimu Katika Kuyasaka Mafanikio!

Na AMRANI KAIMA| GAZETI LA IJUMAA| SAIKOLOJIA, MAISHA NA WEWE MPENZImsomaji wangu, mafanikio ni kitu ambacho kila mtu anatamani kukipata...

READ MORE

Mzee Aliyekula Nyama za Watu, Amtaja Mnyama Anayefananaa Ladha Yake na Nyama Hiyo

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| MAKALA Waandishi wa habari wa Uingereza waliokuwa jasiri walitembelea kisiwa hicho mwaka juzi na...

READ MORE

Wazo Langu Limefika; Nakushukuru Waziri Mkuu Majaliwa, Umenena

Na ERIC SHIGONGO| GAZETI LA UWAZI| NAPASUA JIPU NAAMINI kwamba wasomaji wote wa safu hii hamjambo, kama hivyo ndivyo basi...

READ MORE

Mwigizaji Huyu Bilionea Ana Neno la Utajiri Kwako

Na NYEMO CHILONGANI & MTANDAO| IJUMAA WIKIENDA| MAKALA KATIKA ulimwengu wa sasa, unapozungumzia watu walioingiza kiasi kikubwa cha fedha kupitia...

READ MORE

Abdulkarim Karimjee: Spika wa Kwanza Mtanganyika

Na WALUSANGA NDAKI| RISASI JUMAMOSI| NAJUA UNAJUA UKUMBI wa bunge uliokuwa unatumika jijini Dar es Salaam kabla ya kuhamia Dodoma...

READ MORE

Yanga Sc Isidharau Kumlipa Ernie Brandts

Na BODI YA UHARIRI| CHAMPIONI JUMAMOSI| MICHEZO NA BURUDANI HIVI karibuni Yanga ililetewa taarifa ya kutakiwa kumlipa aliyekuwa kocha wake...

READ MORE

Kwa Nini Watoto Hupoteza Hamu ya Kula?

na DAKTARI WA RISASI & MTANDAO| RISASI JUMAMOSI| AFYA BAADA ya wiki iliyopita kuwaelezea namna ya kutafuta mtoto wa kiume...

READ MORE

Kuliko Nguvu tu, Michezo Itumike Kupambana na Madawa ya Kulevya

Na SALEHE ALLY|CHAMPIONI IJUMAA| WACHAMBUZI KWA sasa ni suala la vita dhidi ya madawa ya kulevya ambayo inaongozwa na Mkuu...

READ MORE

Jinsi ya Kuishi na Mpenzi Mwenye Ujauzito Wako!

Na HASHIM AZIZ| GAZETI LA IJUMAA| MAKALA UHALI gani mpendwa msomaji wangu, ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea...

READ MORE

Maumivu Wakati wa Hedhi ‘Dysmenorrhea’

  Na Dk CHALE| GAZETI LA IJUMAA| AFYA HALI  hii  hutokea mara tu mwanamke  anapoanza  hedhi yake, huwapata wanawake wengi...

READ MORE

BARUA NZITO: Salamu Zangu Kwako Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

Na ERICK EVARIST| RISASI MCHANGANYIKO|TANGAZO/ BARUA NZITO BILA shaka u-mzima wa afya, kaka yangu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

SHOGA; Valentine Hii si ya Kula na Jirani

Na SOPHIA MA`MDOGO| GAZETI LA UWAZI| LOVE & LIFE HEYA haye shoga langu la ukwee! Najua ulikuwa ukinisubiria kwa hamu...

READ MORE

Makonda Hongera Kwa Kushirikiana na Makamishna Wapya

Na ERIC SHIGONGO| GAZETI LA UWAZI| NAPASU JIPU Mungu ni mwema na ndiye muweza wa mambo yote, mimi na wewe...

READ MORE

Wagonjwa wa Moyo Wale Hivi…

 Na WAANDISHI WETU| GAZETI LA UWAZI|YOU ARE WHAT YOU EAT HAKUNA kitu muhimu kwa mtu mwenye matatizo ya kiafya kama...

READ MORE

Valentine DaY Hii, Jumuika Mubashara na Mwenza Wako!

  Na GABRIEL NG`OSHA| IJUMAA WIKIENDA| XXLOVE VALENTINE DAY hii, jumuika mubashara na wako! NINA kila sababu ya kumtukuza na...

READ MORE

Joan Wicken: Mwingereza Aliyekuwa Msaidizi wa Nyerere

Na WALUSANGA NDAKI| RISASI JUMAMOSI| NAJUA UNAJUA ALIKUWA ni mama kutoka Uingereza.  Ni marehemu Joan Wicken aliyekuwa msaidizi binafsi wa...

READ MORE

Dalili Hatari kwa Wajawazito

Na DOKTA WA RISASI| MTANDAO|RISASI JUMAMOSI| MAKALA na Mitandao WAJAWAZITO wengi huugua wakati wakiwa na ujauzito. Zipo sababu zinazofanya kutokea...

READ MORE

Mwanamke kuumwaumwa kabla ya hedhi (Premenstrual Tension)

NA DK. CHALE |IJUMAA | AFYA KUMEKUWA na hali fulani ambayo huwapata baadhi ya wanawake hasa wa umri kati ya...

READ MORE

Mastaa Hawa Hatarini Kutopata Watoto Kawaida

Beyonce Knowles, Mariah Carey, Jenifer Lopez, Celine Dion na mastaa wengine ambao wamefanikiwa kupata watoto mapacha huenda wakashindwa kuzaa tena...

READ MORE

Hata Uwe Bilionea, Bila Mambo Haya Hujafanikiwa!

Na AMRANI KAIMA| GAZETI LA IJUMAA| SAIKOLOJIA, MAISHA NA WEWE Huko mtaani kuna dhana ambayo imejengeka katika baadhi ya vichwa...

READ MORE

Fahamu Sababu za U.T.I Kuwapata Wajawazito- 2

Na WAANDISHI WETU|RISASI MCHANGANYIKO| MAKALA BAADA ya wiki iliyopita kuzungumzia  U.T.I inavyosumbua wajawazito, leo tutazungumzia tatizo la maambukizi katika njia...

READ MORE

Faida ya Ukwaju Mwilini

UWAZI | AFYA UKWAJU ni tunda lenye faida nyingi mwilini mwa mwanadamu. Tunda hili huweza kutumika kutengeneza juisi ambayo matumizi...

READ MORE

Kitambi kwa Wanaume / Wanawake na Jinsi ya Kuondoa

UWAZI | AFYA MAFUTA ya tumbo yanayofanya mtu kuwa na kitambi ambacho hukusanywa kwa njia kuu mbili: Njia ya kwanza...

READ MORE

Ndoa Siyo Nguo ya Kujaribisha na Kuacha

Na GABRIEL NG`OSHA| GAZETI LA IJUMAA WIKIENDA| XXLove NINA kila sababu ya kumshuku ru Mwenyezi Mungu kwa wema wake, kwa...

READ MORE

Wengi Wanaachika kwa Kutikisa Kiberiti, Jifunze!

Na ERICK EVARIST |RISASI JUMAMOSI| LOVE STORY “MWANAMKE wangu ukimuambia naomba uwe unazima friji kwa kipindi ambacho halina ulazima, huwa...

READ MORE

Kama Hupati Mamilioni, Hizo Elfu Kumikumi Unazifanyia Nini?

MAKALA | IJUMAA WAFUATILIAJI wa makala za kisaikolojia  watakuwa wanakumbuka baadhi ya makala zangu za nyuma ambazo nilizungumzia hatua za...

READ MORE

Maji, Papai na Nyanya huifanya ngozi iwe laini

Umechoshwa na makunyanzi na jinsi ngozi yako ya uso inavyozeeka haraka? Badala ya kuhangaika na cream kali za bei mbaya,...

READ MORE

Fahamu Sababu za U.T.I kuwapata Wajawazito

Dk. Marise anapatikana Marise Dispensary, njia panda ya Mabibo mkabala na kituo cha mafuta. Simu: 0713 252 394 Na Dk....

READ MORE

Acha Papara, Usikubali Wakuachie Majuto

NINA hasira kama nini hapa mnaponiona, yaani nimevurugwa kabisa. Mwenyewe nilijua timu yangu ndiyo tunachukua ubingwa msimu huu, mara eti...

READ MORE

Acha Papara, Usikubali Wakuachie Majuto

NINA hasira kama nini hapa mnaponiona, yaani nimevurugwa kabisa. Mwenyewe nilijua timu yangu ndiyo tunachukua ubingwa msimu huu, mara eti...

READ MORE

Shoga chakula hakiliwi gizani

EEE heiiyaaa…shoga yangu ni Jumanne nyingine tamu hadi kumoyo, tumekutana tena. Najua wengi mtakuwa na furaha kwa kuwa leo ndo’...

READ MORE

Unaweza Kujibebesha Mimba na Usiolewe!

VITABU vitakatifu vinasema kila mwenye pumzi na amsifu Mungu. Nami sina budi kusema asante Mungu kwa uhai na afya njema...

READ MORE

Mastaa Hawa Wamekumbuka Shuka Kumekucha

MAKALA: IMELDA MTEMA | RISASI KIPINDI cha nyuma mastaa wengi wakubwa wa filamu nchini walikuwa wakibweteka huku wakiwa hawana muda...

READ MORE

Matunda, mboga za majani muhimu, huondoa sumu mwilini-2

TUNAENDELEA na mfululizo wa mada ya sumu mwilini ambapo wiki iliyopita tuliona jinsi sumu zinavyojitengeneza mwilini. Tuliona makundi mawili ya...

READ MORE

Umejifunza Nini Baada ya Kupata Mpenzi Sahihi?

Na Boniphace Ngumije| CHAMPIONI JUMAMOSI NI jambo jema kumshukuru  Mungu kila tuamkapo, tutembeapo na tuwapo katika shughuli zetu mbalimbali za...

READ MORE

Wee’ Acha Maneno, Weka Muziki-5

ILIPOISHIA: WIKI iliyopita mpenzi msomaji tuliishia pale kijana machachari Frank akiwa ameshafika safari baada ya kumruhusu Selina atangulie kufika. Frank...

READ MORE