×

Michezo

Abramovich Athibitisha Kuiweka Sokoni Chelsea

ROMAN Abramovich usiku wa Jumatano kwa hisia amethibitisha kwamba yupo kwenye mpango wa kuiuza timu hiyo. Abramovich ameamua kuuvunja ukimya...

READ MORE

Kiiza: Huyu Mayele Atafunga Sana Yanga

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba ambaye hivi sasa anacheza Kagera Sugar, Mganda, Hamis Kiiza‘Diego’amemuangalia straika waYanga, Mkongomani, Fiston Mayele na...

READ MORE

Nabi Ataja Kinachomnyima Mabao Makambo Yanga

KWA mara ya kwanza Kocha Mkuu waYanga, Mtunisia Nasreddine Nabi ameibuka na kutaja sababu inayomfanya mshambuliaje wake Heritier Makambo kushindwa...

READ MORE

Abramovic Awachanganya Mashabiki

BILIONEA Roman Abramovich ametoa ujumbe unaoonyesha kuwa amejiuzulu kuimiliki Chelsea lakini bado ujumbe huo hauko wazi sana. Hiyo ni baada...

READ MORE

Kocha Awazawadia Nyota Wake Mahindi

USHINDI una raha yake bwana asikwambie mtu! Mkoani Iringa wikiendi iliyopita ilipigwa mechi ya kibabe kati ya La Masia FC...

READ MORE

Urusi Yapigwa Chini Kombe la Dunia

Sasa ni rasmi, Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA imeizuia Urusi kushiriki kombe la dunia mwaka huu huko Qatar...

READ MORE

Championi, Spoti Xtra Yakabidhi Mifuko ya Mvua Kwa Mavenda

MAOFISA wa idara ya usambazaji wa Kampuni ya Global Publishers inayochapisha magazeti ya Championi,Spoti Xtra na Ijumaa wikiendi iliopita walikabidhi...

READ MORE

Pablo Ataja Mechi Mbili za Kutinga Robo Fainali CAF

MARA baada y kufungwa dhidi ya RS Berkane ya nchini Morocco, Kocha Mkuu wa Simba, Mhispania, Pablo Franco, amesema ili...

READ MORE

GSM, Mabosi Yanga Waweka Kikao Kizito Kujadili Pointi Za Ubingwa

KATIKA kuhakikisha wanaendeleza moto wao wa ushindi mfululizo kwenye mzunguko huu wa pili na kufanikisha malengo yao ya kushinda ubingwa,...

READ MORE

Bao La Mayele Lampa Ugonjwa Kifaru

BAO alilofunga mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele katika mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar, limesababisha msemaji timu hiyo, Thobias Kifaru apate...

READ MORE

Lwanga Afungua Mdomo Simba

BAADA ya kukaa nje kwa muda mrefu bila kucheza ndani ya Simba, kiungo wa timu hiyo, Taddeo Lwanga, amefungua mdomo...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jpatie nakala ya Gazeti la Spoti Xtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS...

READ MORE

Kisinda Akubali Kurudi Yanga

MZEE wa spidi 120, Tuisila Kisinda ambaye kwa sasa yupo ndani ya RS Berkane amesema kuwa anaweza kuja kucheza Tanzania...

READ MORE

Wimbo wa Taifa Urusi hautapigwa

Shirikisho la Soka Duniani ( FIFA ) jana lilijibu shinikizo la kimataifa linaloongezeka kuhusiana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine...

READ MORE

Mzee Dalali Awataka Yanga SC Nusu Fainali ASFC

MWENYEKITI wa Baraza la Wazee la Simba, Hassan Dalali amefunguka kuwa anatamani kikosi chao kikutane na Yanga kwenye mchezo wa...

READ MORE

Wafanyakazi wa Absa Bank Wanogesha Kilimanjaro Marathon

    BENKI ya Absa imeahidi kuendelea kutoa mchango wake kwa mashindano ya mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon kupitia...

READ MORE

Watanzania Waonesha Jeuri Tigo Kili 2022 Half Marathon Kwa Kuwabwaga Wakenya

    WAKATI Mbio Maarufu za Kimataifa za Kilimanjaro zikiadhimisha Miaka 20 tangu kuasisiwa kwake, Watanzania wameonesha jeuri ya hali...

READ MORE

Kiiza Akubali Muziki Wa Mayele- Video

BAADA YA  90 za mtanange wa ligi kuu bara mzunguko wa pili kati ya, Yanga dhidi ya  Kagera Sugar, kumalizika ...

READ MORE

Liverpool Yatwaa Ubingwa Carabao Cup 2022

Liverpool imetawazwa kuwa mabingwa wapya wa Kombe la ligi (Carabao Cup) msimu huu, baada ya usiku wa kuamkia leo kuitandika...

READ MORE

Simba achezea kichapo Morocco

TIMU ya Simba ikiwa ugenini nchini Morocco imekubali kupokea kipigo cha bao 2-0 kutoka kwa RS Berkane ya nchini humo....

READ MORE

Sakho, Banda Wampa Jeuri Pablo Simba

VIWANGO bora vinavyoonyeshwa na mawinga wa Simba, Pape Ousmane Sakho na Peter Banda vinampa jeuri kocha wa timu hiyo, Pablo...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Alivyozindua Mbio za Kili Marathon Leo

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, jana Jumapili amezindua mbio za Kilimanjaro Marathon zilizoanzia Uwanja wa Chuo cha Ushirika Mjini...

READ MORE

Yanga vs Kagera; Vita ya Kisasi Kwa Mkapa Leo

LEO Uwanja wa Mkapa uliopo Temeke, Dar es Salaam, itakuwa ni vita ya kisasi kwa Yanga inayonolewa naNasreddine Nabi dhidi...

READ MORE

Mzee wa Kutetema ni Mwendo wa Mojamoja

FISTON Mayele, mzee wa kutetema, dozi yake anayotoa kwa kuwatungua wapinzani wake ni mwendo wa mojamoja kwa kuwa hakuna timu...

READ MORE

Chama: Niliwatamani Sana RS Berkane

KIUNGO mshambuliaji wa Simba Mzambia, Clatous Chama ameweka wazi kuwa alitamani sana kuwa sehemu ya timu yake ambayo itavaana na...

READ MORE

Bumbuli Atupa Kijembe – “Simba Hawana Viporo, Tumewazidi Alama 8- Video

OFISA Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli ametupa kijembe kwa watani wao wa jadi, Simba baada ya kufanikiwa kumaliza mzunguko wa...

READ MORE

Baraza: Yanga Vs Kagera Ni Vita Kubwa

KUELEKEA mchezo wa Kagera Sugar dhidi ya Yanga kwenye raundi ya 16 ya Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Kagera,...

READ MORE

Mayele Amkosesha Usingizi Beki Simba

BEKI wa kati wa Simba anayekipiga kwa mkopo Mtibwa Sugar, Ibrahim Ame, amesema mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele ameshindikana...

READ MORE

Simba Yawatumia Wamorocco Kuwavuruga Berkane

NI jino kwa jino huko Morocco. Katika kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa keshokutwa Jumapili dhidi ya RS...

READ MORE

Aucho Jeuri Nyie! Atupa Kijembe Simba

BAADA ya kumaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara bila ya kufungwa huku wakiwa kileleni katika msimamo wakiwa na...

READ MORE

Kisinda, Fiston: Tunawajua Simba, Tutawapiga

KUELEKEA mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Simba, wachezaji wa zamani wa Yanga, Tuisila Kisinda na Fiston...

READ MORE

Mayele Atangaza Kuifuata Simba Kimataifa

MSHAMBULIAJI tegemeo hivi sasa Yanga, Mkongomani Fiston Mayele, amesema kuwa malengo yao ni kucheza michuano ya kimataifa, mwakani baada ya...

READ MORE

Fainali ya UEFA Yahamishwa Kutoka Urusi Hadi Paris

Fainali ya Ligi ya Mabingwa 2022 itachezwa jijini Paris baada ya Urusi kuvuliwa uwenyeji wa mechi hiyo kufuatia uvamizi wa...

READ MORE

Kili Marathon Yatangaza Barabara Zitakazofungwa Moshi Jumapili

  BAADHI ya barabara ndani ya manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, zinatarajiwa kufungwa ili kutoa nafasi kwa washiriki wa mbio...

READ MORE

Simba Yatoa Onyo Kali Kwa Wapinzani Wao

UONGOZI wa Klabu ya Simba, umetoa onyo kali kuwa wapinzani wao wasifikiri ratiba ya mashindano ya kimataifa itawapotezea hesabu walizonazo...

READ MORE

Simba yatoa onyo kali

UONGOZI wa Klabu ya Simba, umetoa onyo kali kuwa wapinzani wao wasifikiri ratiba ya mashindano ya kimataifa itawapotezea hesabu walizonazo...

READ MORE

Simba yaizidi ujanja Berkane Morocco

KAMA viongozi wa timu ya Renaissance Sportive de Berkane ama kwa kifupi unaweza kuiita RS Berkane walikuwa wakiisubiri Simba katika...

READ MORE

Adebayor Amchomoa Mkongo Simba

RASMI uongozi wa Simba umethibitisha kuachana na staa mmoja mkubwa wa kigeni katika timu hiyo ili kiungo mshambuliaji wa US...

READ MORE

Joao Felix Anukia Arsenal

ARSENAL imetajwa kumuwania saini ya nyota wa Atletico Madrid, Joao Felix na kocha Mikel Arteta akitajwa kuwa na mpango naye...

READ MORE

Bosi Yanga Avujisha Mbinu za Ubingwa

WAKATI Yanga SC jana Jumatano ikimaliza mechi za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ikiwa kileleni, uongozi wa timu...

READ MORE