×

Michezo

Morrison: Huyu Wawa Ukiwa Naye Hukasiriki

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison, raia wa Ghana, amefunguka kuwa amekuwa karibu na beki Muivory Coast, Pascal Wawa kutokana...

READ MORE

Wachezaji Wangu Wanajituma Tatizo Pumzi- Kocha Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic amesema kuwa tatizo kubwa la wachezaji wake wa Yanga ni kutokuwa na pumzi ya...

READ MORE

KMC Yaanza Ligi Kuu Kwa Kishindo Yaipiga 4-0 Mbeya City

TIMU ya KMC FC leo Septemba 7 imeweza kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 mbele ya Mbeya City kwenye mchezo...

READ MORE

Dullah Mbabe, Kiduku Kuzichapa Tena Boxing Day

MABONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Twaha Hassan ‘Twaha Kidudu na Abdallah Pazi “Dullah Mbabe’ wanatarajia kupanda ulingoni tena Disemba...

READ MORE

Serengeti Yadhamini Mbio Za Utunzaji Mazingira Wilayani Serengeti

Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Nurdin Babu (wa sita kulia) akizungumza muda mfupi kabla ya uzinduzi wa mbio za Serengeti...

READ MORE

Ninja: Kwa Yanga Hii, Wasubiri Makombe Tu

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema kutokana na ubora wa kikosi cha wachezaji walichonacho anapata uhakika wa...

READ MORE

Soma Hapa CV ya C.E.O Mpya wa Simba, Barbara

Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba (C.E.O), Barbara Gonzalez Septemba 7, 2020 alichaguliwa na Bodi ya Wakurugenzi kuchukua nafasi iliyoachwa...

READ MORE

Mitambo Imewashwa Ligi Kuu Bara Leo Jumapili

MITAMBO imewashwa kwa ajili ya msimu wa 2020/21 ndani ya Ligi Kuu Bara ambapo leo Jumapili kutakuwa na jumla ya...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Mbelgiji Amaliza Utata wa Bocco na Kagere

RASMI Kocha Mkuu wa Simba Mbelgiji, Sven Vandenbroeck amemtangaza nahodha wa timu hiyo, John Bocco ndiye chaguo lake la kwanza...

READ MORE

Yanga: Tunaanza Ligi Kibabe

YANGA imepania kwelikweli kuhakikisha msimu unaoanza kesho wanatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Jumapili iliyopita, Yanga ilimtambulisha kocha mkuu mpya...

READ MORE

Kocha Mserbia Apewa Kibarua Kigumu Yanga SC

KOCHA Mkuu mpya wa Yanga Mserbia, Zlatko Krmpotic amepewa masharti makubwa kwenye mkataba ambayo anatakiwa kuyafanya msimu ujao unaoanza kesho....

READ MORE

Hakuna ‘Sub’ 5 Msimu Mpya Ligi Kuu

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo amesema kuwa hakutakuwa na mabadiliko ya wachezaji watano kama ambavyo walitumia katika...

READ MORE

Wanawake Brazil Kulipwa Sawa na Neymar

WACHEZAJI wa timu ya taifa ya wanawake ya Brazil watalipwa mishahara sawa na wachezaji wa timu ya wanaume,  ametangaza Rais...

READ MORE

Mbelgiji Simba Akesha Siku Mbili Akiwasoma Ihefu

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amesema ilibidi akeshe siku mbili akiwa anazisoma mbinu za Ihefu SC kabla ya kesho...

READ MORE

Misri: Shirikisho La Soka La Afrika Lathibitisha Kombe Kupotea

Makamu wa Rais wa zamani wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Misri, EFA, Ahmed Shobir amesema kombe la AFCON...

READ MORE

Kisinda, Carlinhos Full Mzuka Yanga

UONGOZI wa Yanga upo katika hatua za mwisho kukamilisha kibali cha kocha wao, Mserbia, Zlatico Krmpotick na wachezaji wao wapya...

READ MORE

Lamino Moro Achomolewa Kikosini Yanga

YANGA itaanza mchezo wake wa kwanza wa ufunguzi wa Ligi Kuu Bara 2020/21 bila ya beki wake wa kimataifa raia...

READ MORE

Ureno vs Croatia Kukiwasha leo UEFA Nations League

Ligi ya Mataifa ya Ulaya – UEFA Nations Ligue inaendelea kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Ureno watawakaribisha Croatia...

READ MORE

Yanga Yakanusha Kuachana na Morrison

Uongozi wa Klabu ya soka ya Yanga umekanusha vikali taarifa zinazoenea kwamba wameliondoa jina la winga Benard Morrion kwenye orodha...

READ MORE

Sarpong: Nitafunga Mabao Mengi Yanga

BAADA ya kuanza vizuri katika ajira yake mpya, mshambuliaji wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong, amefunguka kuwa ndoto yake kubwa kwa...

READ MORE

Mbelgiji Afunguka Sababu Kagere Kukaa Benchi

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji Sven Vandenbroeck amefunguka kwamba straika wake, Meddie Kagere anakaa benchi kutokana na yeye kupanga na...

READ MORE

Mbelgiji Simba SC Awapa Mchongo Morrison, Bwalya

SVEN Vandenbroeck raia wa Ubelgiji ambaye ni Kocha Mkuu wa Simba, amewapa mchongo wachezaji wake wapya, Bernard Morrison na Larry...

READ MORE

Mzungu Atangaza Saa 120 za Hatari Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia, Zlatko Krmpotic, ametoa kauli ya kibabe akisema siku tano sawa na saa 120 zinamtosha kabisa...

READ MORE

Mugalu Arejea Fasta Dar

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Mkongomani, Chris Mugalu, juzi alirejea nchini akitokea nyumbani kwao DR Congo alipokwenda kumaliza matatizo ya kifamilia.Mugalu...

READ MORE

Kaseke: Sipotayari Kukaa Benchi Yanga

NAHODHA wa sasa wa Yanga, Deus Kaseke, amefunguka kwamba, amejipanga kuendana na uwepo wa wachezaji wengi wapya ndani ya klabu...

READ MORE

Mrundi: Kisinda Ataibeba Yanga

KOCHA Mkuu wa Aigle Noir ya Burundi, Gustave Niyonkuru, amevutiwa na kiwango kilichooneshwa na kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Mkongomani,...

READ MORE

Kocha Simba Awapiga Mkwara Yanga

SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema malengo makubwa kwenye mechi zake za Ligi Kuu Bara ni kukusanya pointi katika...

READ MORE

Azam Yapata Dawa Ya Kuzipiku Simba, Yanga

TIMU ya Azam FC imejinadi kuwa tayari imeshapata dawa ya mechi za mikoani ili kwenda sambamba na Simba na Yanga...

READ MORE

Rasmi: Manchester United Yamsajili Van De Beek

Klabu ya Manchester United ya England imekamilisha usajili wa Mchezaji Donny van de Beek (23) kwa ada ya Paundi Milioni...

READ MORE

Kagere: Walianza na Hirizi, Sasa Wanasema Nimemdunda Kocha

MSHAMBULIAJI wa klabu bingwa Tanzania Bara (VPL) na Kombe la Shirikisho (ASFC) Simba SC, Meddie Kagere amesema amesikitishwa na taarifa...

READ MORE

TFF Wamtabulisha Rasmi Morrison ni Mali ya Simba

MASHABIKI wa Yanga huenda wasiamini, lakini ukweli ni kwamba winga wao nyota aliyetangazwa kuwa miongoni mwa wachezaji 28 wa kikosi...

READ MORE

Kambi ya Yanga Kigamboni Kiboko; Tazama ‘Mapicha’!

TIMU ya Yanga imehamishia kambi yake eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam kwenye majengo maarufu ya Avic yaliyojitenga na...

READ MORE

Mambo 5 Yanga Inatakiwa Kuyafanya Ili Kuwalipa Mashabiki

HATIMAYE pilikapilika za usajili wa wachezaji kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, zimefikia tamati juzi saa 5:59 usiku baada...

READ MORE

Carlinhos Apewa Kocha Maalum Yanga

BAADA ya kuona kuwa inaweza kuwa shida juu ya kuzungumza na wachezaji wenzake, staa wa Yanga, Muangola Carlos Carlinhos, amekabidhiwa...

READ MORE

Samatta: Siondoki Aston Villa

  NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta, ataendelea kukipiga katika klabu ya Aston Villa inayoshiriki...

READ MORE

 Azam FC Yatamba Ipo Fiti Kuwania Ubingwa

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi mipango yao ya kugombania ubingwa msimu ujao mara baada ya kufanya usajili ambao unawapa...

READ MORE

Simba Yatoa Tamko Kagere Kumtwanga Kocha Sven

UONGOZI wa Klabu ya simba umesema kuwa taarifa zinazoenea mitandaoni na kwenye baadhi ya vyombo vya habari zikieleza kuwa mchezaji...

READ MORE

Dewji Amfanyia Hili Shabiki wa Simba Aliyechaniwa Jezi…

  MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba Mo Dewji ametimiza ahadi yake ya kumtafuta shabiki wa Klabu...

READ MORE