×

Michezo

Uzi Mpya Yanga Kuzinduliwa Kizungu

YANGA jeuri banaa! Imepanga kuzindua jezi zao za msimu mpya kwenye Hoteli ya Serena ya jijini Dar es Salaam. Wiki...

READ MORE

Mo Dewji: Bado Nipo Simba, Amtaja Waziri Mwakyembe

SIKU chache baada ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harison Mwakyembe kuzitaka klabu kuwa na wawekezaji zaidi...

READ MORE

Tamasha la Faith Baptist Church, Jamhuri kunoga

KESHO Jumapili nyasi za Uwanja wa Jamhuri, Morogoro zitawaka moto kutokana na tamasha kubwa la Faith Baptist Church kufanyika uwanjani...

READ MORE

Zahera Kuwashuhudia ‘live’ Sibomana na Balinya

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Dr Congo Mwinyi Zahera, leo Jumamosi atakuwa sehemu ya benchi la ufundi la Yanga...

READ MORE

Kwa Shikalo! Kindoki atulie Tu

KIPA mpya wa Yanga raia wa Kenya, Farouk Shikalo, amejikuta akiwapagawisha mashabiki wa timu hiyo ambao wamekuwa wakijazana katika Uwanja...

READ MORE

Mbelgiji Simba aja na mikakati ya ubingwa

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, baada ya kucheza mechi mbili za kirafiki, amefunguka kuwa anataka kuona wachezaji wanakuwa imara...

READ MORE

Ajibu, Mkude Wanogesha Mazoezi Stars

 WACHEZAJI nyota wa Klabu ya Simba wakiongozwa na John Bocco, Ibrahim Ajibu na Jonas Mkude ambao walikuwa nchini Afrika Kusini...

READ MORE

Wawa awavimbia mabeki Simba

BEKI wa kimataifa wa Simba, Pascal Wawa, amefunguka kuwa hana hofu na nafasi yake ndani ya kikosi hicho, kazi ni...

READ MORE

Msudani wa Simba ampagawisha kocha Mwarabu

KOCHA wa viungo wa klabu ya Simba, Adel Zrane amefurahishwa na uwezo mkubwa alionao beki mpya wa Simba raia wa...

READ MORE

Sibomana: Njooni Taifa Muone Tatu Tena, Kalego Awasha Moto!

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, aliyetupia tatu dhidi ya Moro Academy juzi, Patrick Sibomana, amewaambia mashabiki kwamba ndiyo zake wala hakubahatisha...

READ MORE

BREAKING: KILOMONI AKAMATWA NA POLISI… AACHIWA – VIDEO

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa klabu ya Simba, Hamisi Kilomoni, leo Alhamisi Julai 25, 2019, ameachiwa na polisi...

READ MORE

Kaseja: Nipo tayari Kuwavaa Kenya Jumapili

MLINDA mlango mkongwe nchini, Juma Kaseja ametamba kuwazuia washambuliaji wa timu ya taifa ya Kenya kwenye mechi ya kufuzu michuano...

READ MORE

Yanga Yatangaza Kucheza na Kariobangi Siku Ya Mwananchi – Video

TIMU ya Yanga itacheza dhidi ya Kariobangi Sharks ya Kenya katika kilele cha Wiki ya Mwananchi Agosti 4, kwenye Uwanja...

READ MORE

Bondia wa Kimataifa Afariki kwa Kipigo

BONDIA raia wa Urusi, Maxim Dadashev,  amefariki dunia baada ya pambano lake dhidi ya mpinzani wake, Subriel Matias,  kumsababishia majeraha...

READ MORE

Mbrazili wa Simba Aanza Kutupia Sauz

STRAIKA mpya wa Simba, Wilker Henrique da Silva, raia wa Brazil, ameanza kuonyesha cheche baada ya jana kutupia bao moja...

READ MORE

MAKOCHA WALIOTIMULIWA BAADA YA AFCON 2019

HERVE RENARD anajiuzulu kama kocha mkuu wa Morocco baada ya timu hiyo kutolewa mapema katika mashindano ya kombe la mataifa...

READ MORE

Simba Yamkosa Straika Orlando Pirates

UPO uwezekano wa mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi kurejea Simba baada ya dili lake na Klabu ya Fujairah ya Falme za...

READ MORE

Mbelgiji Awapa Dakika 360 Wabrazili wa Simba

PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba, ameamua kuwapa dakika 360 wachezaji wake wapya wakiongozwa na Wabazil watatu ili kuona uwezo...

READ MORE

Wanne watimka kambi ya Yanga SC Morogoro

NYOTA wanne wa kikosi cha Yanga, mapema jana Jumapili, waliondoka kambini mkoani Morogoro na kurudi jijini Dar kuanza kambi ya...

READ MORE

Live Kutoka Sauzi…Mishahara Mipya Simba Kufuru

SIMBA ndiyo klabu pekee kwenye Ligi Kuu Bara na Afrika Mashariki na Kati ambayo msimu ujao itakuwa na wachezaji watatu...

READ MORE

GARETH BALE AKARIBIA KUONDOKA REAL MADRID

Mshambuliaji wa Real Madrid Gareth Bale anakaribia kuondoka katika klabu hiyo kulingana na mkufunzi wa klabu hiyo Zinedine Zidane. Mchezaji...

READ MORE

Yanga Yatamba Kuwanyoosha AS Vita

KUELEKEA kwenye kilele cha siku ya Wananchi, uongozi wa Yanga umesema kuwa utawapiga mabao mengi AS Vita kwenye mchezo wa...

READ MORE

Mnamibia wa Yanga awashtua Simba

ALICHOTAMKA Mnamibia wa Yanga, Sadney Urikhob lazima kiwashtue Simba. Amewaonya kwamba wasitarajie mteremko kutoka kwao kwani amejipanga kufanya maajabu msimu...

READ MORE

Ratiba ya Ligi Ya Mabingwa Simba, Yanga Zapangiwa Timu

RATIBA ya awali ya Ligi ya Mabingwa imetoka ambapo wawakilishi wa Tazania Simba na Yanga wamezijua timu watakazoanza nazo. Simba...

READ MORE

Yondani, Dante Waibua Mapya Yanga

MASHABIKI ambao hawakauki kwenye mazoezi ya Yanga mjini hapa, wamedai hata mabeki wao wa kati, Kelvin Yondani, Andrew Vicent ‘Dante’...

READ MORE

Nane Bora Gekul Cup Babati Kuanza Kutimua Vumbi Leo

Mashindano ya Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, Pauline Gekul yaliyopewa jina la Gekul Cup yameendelea kushika kasi huku Hatua...

READ MORE

Ajibu: Bado naipenda Yanga SC

STAA wa Simba, Ibrahim Ajibu Migomba, amefunguka kuwa haitakuwa ajabu kwake kurudi Yanga kwa kuwa bado anaipenda klabu hiyo.  ...

READ MORE

Yanga Yaipiga Moro Kids Bao 2-0, Juma Balinya Atupia

YANGA imeendeleza wimbi la ushindi katika mechi zake za kirafiki, baada ya jana asubuhi kuibuka na ushindi wa mabao 2-0...

READ MORE

Ajibu: Kwa chama hili, tunakosaje ubingwa

IBRAHIM Ajibu amekiangalia kikosi cha Simba kilichopo nchini Afrika Kusini na kisha akatikisa kichwa na kusema ‘kwa chama hili tunakosaje...

READ MORE

Algeria Mabingwa wa Afcon 2019, Yaifunga Senegal Bao 1-0

ALGERIA usiku wa kuamkia leo wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika baada ya kuwachapa Senegal bao 1-0 kwenye...

READ MORE

TECNO YAINGIA MKATABA NA MANCHESTER CITY

KAMPUNI ya simu maarufu ya kimataifa,  TECNO,  imeongeza mkataba wake na klabu bingwa ya England yenye makazi yake jijini Manchester,...

READ MORE

Tanzania Yapangwa Kundi J Kuelekea AFCON 2021

MECHI  za kufuzu kwa ajiliya fainali za AFCON 2021 zitakazofanyika nchini Cameroon zimeanza, ambapo shirikisho la soka Afrika (CAF) limechezesha...

READ MORE

Bigirimana Aanza Kuitisha Simba SC

KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga Mnyarwanda, Issa Bigirimana ‘Walcott’ amesema kuwa katika kuthibitisha ubora wa ufungaji anaanza na AS Vita...

READ MORE

Simba Kucheza Kwenye Miji Mitatu Sauzi

SIMBA ambayo ipo kambini nchini afrika Kusini ambapo inatajwa kambi hiyo ni ghrama kubwa, imetangaza kuwa itacheza michezo mitatu ya...

READ MORE

Yanga SC Yakamilisha vibali vya mastaa wake

UONGOZI  wa yanga umefunguka kuwa tayari umekamilisha suala la vibali vya kazi na makazi kwa wachezaji wao wote wapya ambao...

READ MORE

Azam Yaifunga TP Mazembe, Yatinga Nusu Fainali Kagame

Mabingwa watetezi wa Kombe la Kagame, Azam FC  leo Jumanne Julai 16, 2019 imetinga nusu fainali baada ya kuitoa TP...

READ MORE

Mshambuliaji wa Yanga Sadney Urikhob Atua Nchini

Mshambuliaji wa kimataifa wa Namibia Sadney Urikhob amewasili tayari Tanzania kwa ajili ya kujiunga na klabu ya Yanga. Urikhob ametua...

READ MORE

Winga Mpya Matata Yanga Atamba Kutupia Mabao

WINGA mpya matata wa Yanga Mnyarwanda, Patrick ‘Papy’ Sibomana amefurahia mapokezi aliyoyapata Jangwani na kuahidi kuifanyia makubwa timu hiyo ikiwemo...

READ MORE

Video: Ofisa Mtendaji Simba SC Asema Kilomoni si mdhamini wa Simba

 OFISA Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba SC,  Crescentius Magori,  leo Julai 16, 2019,  amefunguka kwamba wameletewa barua ambayo...

READ MORE

Ajibu: Simba tulieni wenyewe mtanipenda

NYOTA mpya wa Simba, Ibrahim Ajibu amesema kuwa mashabiki wa Simba watulie watakubali mziki wake kwani amejipanga kufanya maajabu.  ...

READ MORE