×

Michezo

RC PAUL MAKONDA AKABIDHIWA KOMBE LA SIMBA (PICHA +VIDEO)

PAUL Makonda, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, leo amekuwa mgeni rasmi kwenye shughuli za kuwapokea mabingwa wa Ligi...

READ MORE

Majaliwa Aingilia Hospitali za Aga Khan ‘Kutopokea’ Kadi za NHIF

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameutaka uongozi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) kukamilisha majadiliano na Mfuko wa Taifa...

READ MORE

BREAKING NEWS: BODI YA LIGI YAKIRI KUBORONGA, YAISHUSHA STAND UNITED, KAGERA YAENDA PLAY OFF

Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imetangaza kufanya marekebisho katika msimamo wa Ligi Kuu Bara huku ikisema itachukua hatua kwa watunza...

READ MORE

TIMU YA SIMBA ILIVYOPOKELEWA KUTOKA MORO MPAKA KARIAKOO (PICHA +VIDEO)

Wachezaji wa klabu ya Simba pamoja na mashabiki wao leo mei 29, wakitokea mkoani Morogoro wameshuka Kibaha  na kujiunga na...

READ MORE

Mabosi Simba waachana na Okwi

MABOSI wa Simba wameuweka pembeni mkataba wa Emmanuel Okwi kwa kile kilichotajwa kutaka dau kubwa la usajili kwa ajili ya...

READ MORE

Siri Nzito ya Bwana Mpya wa Zari, Utashangaa!

DAR ES SALAAM: MREMBO wa Kiganda, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anaendelea kutikisa vyombo vya habari, safari hii zengwe...

READ MORE

YANGA YAPIGWA NA AZAM, ZAHERA AMFUNGUKIA NDEMLA

TIMU ya Azam FC leo Jumanne, Mei 28, 2019 wamelipa kisasi baada ya kuifunga Yanga Sc kwa mabao 2-0, mchezo...

READ MORE

KANGI LUGOLA AWAKABIDHI UBINGWA SIMBA SC – PICHAZ

KLABU ya Simba yenye makao yake katika Mtaa wa msimbazi jijini Dar es salaam, leo Jumanne, Mei 28, 2019 imekabidhiwa...

READ MORE

MTIBWA SUGAR YAWABANA SIMBA SC

MCHEZO wa mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2018/2019 kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya mabingwa wa ligi hiyo, Simba...

READ MORE

WAZAWA JIPIMENI KWENYE SURA YA JOHN BOCCO

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara kwa misimu miwili mfululizo sasa, Simba tayari wanakwenda kwenye usajili ambao utawalazimisha kuangalia kilicho sahihi...

READ MORE

Ratiba ya Funga Dimba Ligi Kuu Tanzania Bara leo

Mtibwa v Simba Jamhuri Yanga v Azam Taifa Coastal v Singida Mkwakwani Mwadui v Ndanda Mwadui JKT v Stand Isamuhyo...

READ MORE

Kagere aweka rekodi Afrika

STRAIKA wa Simba, Meddie Kagere, mpaka sasa ameweka rekodi ya kuwa mshambuliaji mwenye mabao mengi zaidi msimu huu katika ligi...

READ MORE

Simba Kuanza Shangwe la Ubingwa Leo – Video

Kikosi cha Simba kitacheza mchezo wa kufunga Ligi Kuu Bara leo Jumanne dhidi ya Mtibwa Sugar na mara baada ya...

READ MORE

Ndemla: Nipo tayari kusaini Yanga FC

KIUNGO wa Simba, Said Ndemla, ametoa msimamo wake akisema kuwa hana haraka ya kusaini klabuni hapo kwa kuwa anataka kucheza...

READ MORE

Yanga wamkomalia Mo… Waapa kumchomoa Mkude Simba SC

SAKATA la usajili wa kiungo wa Simba, Jonas Mkude ambaye anamaliza mkataba wake na klabu hiyo hivi karibuni limeendelea kupamba...

READ MORE

Zahera Ashusha Winga Matata Mnyarwanda

IMEFAHAMIKA kuwa winga hatari wa kulia na kushoto anayekipiga Klabu ya Mukura Victory Sports ya Rwanda, Patrick Sibomana, usiku wa...

READ MORE

Rasmi Simba kuweka kambi Marekani

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, raia wa Ubelgiji na mwekezaji wa timu hiyo, mfanyabiashara Mohammed Dewji wamekubaliana kwa pamoja...

READ MORE

SIMBA, YANGA ZAMSHINDWA TUYISENGE

WAKATI Simba na Yanga zikipambana kupata saini ya mshambuliaji Mnyarwanda, Jacques Tuyisenge, klabu ya Petro Atletico ya Angola imeweka mzigo...

READ MORE

ZIDANE Ana mambo 4 ya Kuweka sawa Real

BAADA ya kufanya vibaya msimu huu wa 2018/19, uongozi wa Real Madrid unakabiliwa na kibarua kigumu cha kuhakikisha mambo yanakuwa...

READ MORE

NEYMAR, MBAPPE WAZINGUANA PSG

MASTAA wa Paris St. Germain, Neymar na Kylian Mbappe inasemekana wamekorofishana, habari hii inadaiwa kuwafurahisha Real Madrid. Mbappe na Neymar...

READ MORE

TFF WAKOSA ZAWADI YA SIMBA

LICHA ya Jana klabu ya Simba kukabidhiwa Kombe na medali za ubingwa, Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Boniface Wambura...

READ MORE

Mo Dewji: Jamani… Mkude haendi Yanga

SIKU chache baada ya Gazeti la Championi kuripoti kuwa kiungo wa Simba, Jonas Mkude anatakiwa na Yanga, fasta bilionea wa...

READ MORE

VILABU 6 UINGEREZA VYAMSAKA SAMATTA

MSHAMBULIAJI nyota wa mabingwa wa ligi ya Ubelgiji, klabu ya Genk na nahodha wa ttmu ya taifa ya Tanzania, Mbwana...

READ MORE

Mwalala: Kwa Farouk, Yanga Imelamba Dume

KOCHA Mkuu wa Bandari ya Kenya, Bernard Mwalala ameweka wazi kuwa kama Yanga itakamilisha usajili wa kipa wake, Farouk Shikalo...

READ MORE

Coastal Union Yamganda Ali Kiba

UONGOZI wa Coastal Union umesema kuwa kuelekea msimu ujao hawana mpango wa kumuacha mchezaji wao Ali Kiba kwa kuwa wameridhika...

READ MORE

Tambwe amtetea Salamba kuomba njumu

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha straika wa Simba, Adam Salamba kuomba msamaha baada ya...

READ MORE

Real Wagoma kumuuza Asensio

REAL Madrid imeweka ngumu kwa Tottenham Hotspur kuwa hawana mpango wa kumuuza Marco Asensio. Tottenham inasemekana ilifanya mawasiliano na Real...

READ MORE

Kingue, Chirwa wagoma Azam

KIUNGO wa Azam FC , Stephan Kingue raia wa Cameroon ni kama amegomea mkataba mpya ndani ya Azam FC baada...

READ MORE

Yanga Yapania heshima tu Kwa Azam

HUKU wakibakiwa na mchezo mmoja dhidi ya Azam, uongozi mpya wa Yanga chini ya Mwenyekiti Mshindo Msolla umekutana na wachezaji...

READ MORE

Mashabiki Barca wamtaka Valverde

 MASHABIKI wa Barcelona wanataka Ernesto Valverde abakie kama kocha wa timu hiyo. Valverde anakabiliwa na presha kubwa baada ya Barcelona...

READ MORE

Hongereni Simba kwa kiwango, asanteni SportPesa

AFRIKA Mashariki juzi Alhamisi usiku ilikuwa kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Mabingwa wa Tanzania, Simba walicheza na...

READ MORE

Lampard Atakiwa Chelsea Kuwa Kocha

SIKU za hesabu za kocha Maurizio Sarri zinahesabika baada ya kuibuka taarifa kuwa tajiri wa Chelsea, Roman Abramovich anamtaka Frank...

READ MORE

BREAKING: KOCHA WA SIMBA APEWA MKATABA WA MWAKA MOJA

Kocha wa Simba Patrick Aussems amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuinoa timu hiyo. Hatua hiyo ni baada ya...

READ MORE

Mkwanja wa Ajibu Mazembe ni noma

RASMI mashabiki wa Yanga wasahau kuona ule udambwiudambwi wa nahodha wao, Ibrahim Ajibu. Amewaaga na anakwea pipa kwenda kuanza changamoto...

READ MORE

VIDEO: SAMATTA Afunguka Mengi USIYOYAJUA, Aitaja EPL!

Nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta akiwasili tayari kujiunga na Timu ya Taifa kujiandaa na Michuano ya Afcon itakayofanyika Misri.

READ MORE

Mashine Nne Zatua Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amewaonyesha rasmi viongozi wachezaji aliomalizana nao wakapagawa kwa furaha. Zahera amewaambia kwamba atasajili wachezaji...

READ MORE

Tshishimbi afichua kilichombakisha Yanga

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Papy Tshishimbi amefunguka kuwa ameongeza mkataba Yanga sasa mambo yatakuwa biyee na ataipa ubingwa msimu ujao....

READ MORE

Mashabiki Simba watinga na kofia za Bodaboda Taifa

MASHABIKI kibao wa Simba jana jioni walitinga katika Uwanja wa Taifa kushuhudia mechi dhidi ya Biashara huku kichwani wakiwa wamevaa...

READ MORE

Beki Lipuli apewa mikoba ya Zana Simba

BEKI wa kulia Simba, Zana Coulibaly huenda msimu huu ukawa wa mwisho ndani ya kikosi hicho baada ya uongozi wa...

READ MORE

Simba Mpya Hii Hapa

FRANCIS Kahata. Huyu ni yule mpishi wa mabao ya Gor Mahia ya Kenya na swahiba mkubwa wa Meddie Kagere anakuja...

READ MORE