×

Michezo

Ndemla: Nasaini Yanga Mazembe

KIUNGO fundi anayesugua benchi Simba, Said Hamisi Ndemla juzi usiku alikutana na Yanga jijini Dar es Salaam na kuwahakikishia kwamba...

READ MORE

Mbao Wanasaka Fedha Wamsajili Mavugo

UONGOZI wa Mbao FC, umesema ukipata tu fedha basi usajili wao wa kwanza ni kumvuta straika wa zamani wa Simba,...

READ MORE

NDEMLA AGOMEA MAMILIONI YA MO

  TATIZO siyo fedha, kwani Mohammed Dewji ‘Mo’ anaweza kuzitoa isipokuwa masharti magumu aliyoipa Simba ndiyo sababu ya kiungo mkabaji...

READ MORE

Yanga Yashusha Vifaa Vitatu

  KAMATI maalum ya kuweka mambo sawa Yanga inafanya mambo yake kwa usiri mkubwa lakini imebainika kwamba Kocha Mwinyi Zahera...

READ MORE

Beki Yanga Akaribia Kutua Zamalek

ANDREW Vicent ‘Dante’ ambaye anamudu vilivyo kucheza nafasi ya beki ya kati, yuko mbioni kutua katika kikosi cha Zamalek kinachoshiriki...

READ MORE

Sio Vibaya Tukatumia Kombe La Dunia Kujifunza Mambo Mazuri

TUPO kwenye kipindi cha mapumziko baada ya kumalizika kwa msimu wa 2017/18 ambao ulihitimishwa rasmi Juni 2, mwaka huu pale...

READ MORE

UFARANSA YAANZA VIZURI KOMBE LA DUNIA DHIDI YA AUSTRALIA

Ufaransa imefanikiwa kuibuka na ushindi wake wa kwanza katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu nchini Russia wa mabao...

READ MORE

Chirwa Aiponyoka Simba, Afichwa Misri

KLABU ya Al Mokawloon ya Misri imemuondoa straika Obrey Chirwa Yanga na wako kwenye hatua za mwisho za kumsainisha, jambo...

READ MORE

Lipuli yamkazia Seleman Matola kwenda Simba

  WAKATI Simba ikipanga kuanza kumtumia Kocha Seleman Matola kwenye michuano ya Kombe la Kagame, uongozi wa Lipuli FC umesema...

READ MORE

KESSY: YANGA NIPENI SH60M NISAINI

HASSAN Kessy ambaye anacheza nafasi ya beki ya pembeni kwenye kikosi cha Yanga, amesema yupo tayari kuendelea kuvaa jezi msimu...

READ MORE

Ronaldo Aanza Na Hat Trick Urusi

  CRISTIANO Ronaldo alianza kwa kishindo Fainali za Kombe la Dunia baada ya kupiga mabao matatu yaliyosaidia timu yake ya...

READ MORE

Misri ya Mo Salah Wapigwa na Uruguay ya Suarez – Video

TIMU ya Taifa ya Misri imeshindwa kufurukuta mbele ya Uruguay baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0, mechi yao ya...

READ MORE

MANYIKA AZIGONGANISHA SIMBA, AZAM FC

IMETAJWA kuwa klabu za Simba na Azam FC zimeingia kwenye vita ya kusaka saini ya kipa wa Singida United, Peter...

READ MORE

MO SALAHA YUKO FITI KUWAVAA URUGUAY LEO

HATIMAYE Kocha Mkuu wa Misri,Hector Cuper amesema mshambuliaji wa timu hiyo Mohamed Salah yupo kamili kwa takribani asilimia 100 kucheza...

READ MORE

Mo Dewji Ampa Mzuka Niyonzima

KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Haruna Niyonzima raia wa Rwanda ameweka bayana kwamba kwa msimu ujao anajipanga kuona anafanya kitu cha...

READ MORE

Kamati Yafafanua Tuzo Kuwa na Simba Tupu

KUFUATIA kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwatangaza wachezaji watatu waliobaki katika kinyang’anyiro cha tuzo hiyo ambao...

READ MORE

Sportpesa Super Cup Imetuvua Nguo, Tujipange

NIANZE kutoa kongole kwa Mbwana Samatta na Ally Salehe Kiba ‘King Kiba’ kwa kile ambacho waliki­fanya mwishoni mwa wiki iliyo­pita...

READ MORE

KOMBE LA DUNIA: URUSI YAINYUKA SAUDI ARABIA 5-0 (VIDEO)

MCHEZO wa ufunguzi wa michuano ya fainali ya Kombe la Dunia umemalizika Uwanja wa Luzhniki kwa wenyeji Urusi kuibuka na...

READ MORE

RATIBA YA EPL, ARSENAL KUANZA NA MAN CITY HUKU MAN U Vs LEICESTER

RATIBA ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) imetoka rasmi leo Alhamisi, Juni 14, 2018 ambapo mechi za kwanza zitaanza kuchezwa...

READ MORE

MAKAMU RAIS ZFA PEMBA AACHIA NGAZI

    MAKAMU wa Rais wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) Pemba, Ali Mohammed Ali, ametangaza rasmi kujiuzulu wadhifa huo....

READ MORE

CAF YATAJA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA YANGA NA GOR MAHIA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Africa CAF limetaja waamuzi kutoka nchini Somalia kuchezesha mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua...

READ MORE

OKWI, BOCCO, NYONI WAINGIA FAINALI MCHEZAJI BORA VPL

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), imekamilisha uteuzi wa wachezaji 3 watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa...

READ MORE

KOMBE LA DUNIA: NI VITA YA URUSI VS SAUDIA ARABIA LEO JIONI

  KIPUTE cha Kombe la Dunia kinatarajiwa kuanza leo kwa wenyeji Urusi kuvaana na Saudia Arabia kwenye mchezo unaosubiriwa kwa...

READ MORE

Djuma Afumua Kikosi cha Lechantre Simba

KOCHA mwenye nafasi kubwa ya kuiongoza Simba kwenye michuano ya Kagame baadae mwezi huu, Masoud Djuma, ameamua kukifumua kikosi kile...

READ MORE

Makocha Hawa Kazi Wanayo Msimu Ujao

MSIMU wa 2017/18 ukiwa hata haujapoa vizuri tangu ulipofikia tamati Mei 28, mwaka huu, tayari baadhi ya timu zimeshaanza maandalizi...

READ MORE

Hawa Wataenda na Kombe Kwao…Kombe la Dunia

FAINALI za Kombe la Dunia zinatarajiwa kuanza kesho na mataifa mbalimbali yameshawasili nchini Urusi kwa ajili ya kujiandaa kuingia uwanjani....

READ MORE

Simba Kutotwaa Ubingwa Wa Sportpesa Ni Somo Jingine Tena

WIKIENDI iliyopita timu ya Simba ilichapwa mabao 2-0 na Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa fainali ya michuano ya...

READ MORE

Simba, Yanga Zilienda Kiujanja-Ujanja Kenya, Zimestahili Zilichokipata

  PONGEZI zangu za dhati ziende kwa mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ kwa kile ambacho alikifanya juzi Jumatatu kwa...

READ MORE

Breaking News: Hispania Wamfukuza Kazi Kocha wao

  Hispania imempiga chini, Kocha wake Julen Lopetegui baada ya kuthibitishwa kwamba msimu ujao atainoa Real Madrid.   Kocha huyo...

READ MORE

WATEJA TIGO KUONA KOMBE LA DUNIA LAIVU KUPITIA STAR TIMES APP

Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo na Star Times jana wamezindua huduma Star Times App ambayo itawawezesha watumiaji wa...

READ MORE

Yanga Waache Kulialia Kuhusu Manji Wafanye Maamuzi Magumu

  WIKI jana nili­zungumzia jinsi ambavyo soka la Tanzania linavyoathiri­wa na mfumo wa uende­shaji na hii ni katika nga­zi zote,...

READ MORE

Mwambusi Apewa Miaka Miwili Azam FC

KLABU ya Azam FC imeendelea na maandalizi yake ya kujiweka sawa na msimu ujao wa 2018/19 ambapo jana Jumanne iliingia...

READ MORE

Kisa Yanga, Wawa Aanza Mikwara

BEKI wa kimataifa raia wa Ivory Coast, Pascal Serge Wawa, amesema kuwa, kwa sasa yupo kwenye maandalizi kabambe ya kutua...

READ MORE

Breaking News: Madrid Wamtangaza Lopetegui Kuwa Kocha Mpya

Klabu ya Real Madrid imemtangaza Kocha wa sasa wa Hispania, Julen Lopetegui kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo na atajiunga...

READ MORE

WASHINDI WA TUZO ZA MO SIMBA 2018

Tuzo za MO Simba zilizotolewa jana usiku katika ukumbi wa Hotel ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam. GOLIKIPA BORA...

READ MORE

Hotuba ya Mohammed Dewji Kwenye Tuzo Za Simba

MHE MGENI RASMI, DKT. HAMISI KIGWANGALLA, WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE MGENI MAALUMU, MZEE WETU ALI HASSAN MWINYI, RAIS...

READ MORE

Tuzo za MO Simba: Kigwangalla Awachana Wapinzani – Video

WAZIRI wa Maliasiri na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye ni mkerekletwa wa Klabu ya Simba, amewachana wapinzani wa klabu hiyo...

READ MORE

Manara: Simba Hatuwezi Kuendelea na Kocha Lechantre – Video

Klabu ya Simba kupitia kwa msemaji wake Haji Manara imeweka wazi kuwa uwezekano wa kocha mkuu wa klabu hiyo Mfaransa...

READ MORE