×

Risasi

VEE MONEY ATOBOA SIRI YA KUANDAA SHOO ZAKE

  MWANAMUZIKI wa kimataifa, Vanessa Mdee ‘Vee Money’, amesema siri ya kuandaa shoo zake mbali na kufikisha kazi zake kwa...

READ MORE

TIKO SANAA BILA KIKI INAWEZEKANA

STAA wa muziki na filamu Bongo, Tiko Hassan ametoa ya moyoni na kueleza kwamba sanaa bila kiki inawezekana japokuwa wasanii...

READ MORE

ESTER ATESWA NA UBONGE NYANYA

MSANII wa filamu za Kibongo, Ester Kiama amefunguka kuwa hakuna kitu kinachomtesa katika maisha yake kama ubonge alionao kwa sasa....

READ MORE

ISHU YA NDOA BABA AMLIPUA MKE WA NIVA!

DAR ES SALAAM: BABA mkwe wa muigizaji Zuberi Mohammed ‘Niva’, Said Kayoka amemlipua bintiye aliyeolewa na mwigizaji huyo, Maisara kwa...

READ MORE

WANAFUNZI WANNE WAFARIKI MBELE YA WALIMU

DAR ES SALAAM: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kimbiji, Kingamboni jijini Dar es Salaam; Celestina Malipesa (18), Agneta’s Philipo (18),...

READ MORE

WEMA ATAJA GONJWA LINALOMZUIA ASIZAE!

KWELI; usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Ishu ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutokuzaa imepindishwapindishwa weee, kumbe ana...

READ MORE

AIKA  AFUNGUKA KUZAA NJE YA NDOA, DILI ZA MWANAYE!

SI wageni machoni kwako, masikioni mwako na pengine unawapenda. Wana ‘hit song’ nyingi, zikiwemo Lini, Kamatia, Feel Good na wimbo...

READ MORE

KIM NANA AWASHANGAA WANAWAKE WADANGAJI !

MWANAMITINDO Lilian Kessy, ‘Kim Nana’ amesema, anawa-shangaa baadhi ya mastaa wanao-danga mjini na kushindwa kutumia fursa zilizopo kujipatia fedha.  Akiongea na...

READ MORE

LINA: NITAZAA WATOTO 3 TU

STAA wa Filamu za Kibongo, Esterlina Sanga, ameibuka na kusema ataongeza mtoto wa pili miaka miwili ijayo kwani mpango wake...

READ MORE

MASTAA WATOA NENO UKUU WA WILAYA WA JOKATE

BAADA ya wikiendi iliyopita nyota njema kumuwakia mwanamitindo na msanii maarufu nchini Jokate Mwegelo kutokana na Rais Dk John Pombe...

READ MORE

Joel Lwaga, Muna kufungiwa muziki wa injili

BAADA ya tetesi kuzagaa kila kona kwamba staa wa muziki wa Injili Bongo, Joel Lwaga anaishi kinyumba na msanii wa...

READ MORE

LULU DIVA HATAKI KUSIKIA ALIKOTOKA

MWANADADA Lulu Abass ‘Lulu Diva’ ambaye kwa sasa anakimbiza kwenye gemu la Bongo Fleva na Wimbo wa Ona ambao amemshirikisha...

READ MORE

FAIZA: SINA NAMBA YA SUGU, INSTAGRAM INATOSHA KUMCHANA

SIKU chache baada ya mrembo Faiza Ally kumchana mtandaoni mzazi mwenziye mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, mrembo huyo...

READ MORE

IJUE SIRI YA KUIPATA NDOA HARAKA !

RAHA ya uhusiano wa mapenzi, ni kumpata mwenza sahihi na kwa wakati muafaka. Unapopishana na muda, unachelewesha maendeleo yako maana...

READ MORE

NYUMA YA PAZIA TATTOO YA KICHINA YA UWOYA PAJANI – VIDEO

MSANII wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya juzikati alizungumzia tatuu yake yenye maneno ya Kichina ambayo aliichora kwenye paja lake...

READ MORE

ZUBEDA: SIWEZI KURUDI KWA BARNABA NG’O!

MZAZI mwenziye na mwanamuziki mahiri wa Bongo Fleva, Barnaba Elias ‘Barnaba Boy’ Zubeda Namela amefunguka kuwa kamwe hawezi kurudi kwa...

READ MORE

KAJALA, WEMA WAKWEPANA LAIVU

WASANII wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja zamani walikuwa marafiki wa kupika na kupakua kabla ya kugeuka...

READ MORE

MISS WA BONGO ALIYENASWA KWA SANGOMA NAKAAYA AANIKA

DAR ES SALAAM: Kwa wafuatiliaji wa mitandao ya kijamii, video ya mrembo aitwaye Samirata anayetajwa kuwahi kushiriki mashindano ya Miss...

READ MORE

BETHIDEI YA TIFFAH KUFURU

DAR ES SALAAM: Maandalizi ya pati ya kuzaliwa (birthday) ya bintiye ambaye ndiye uzao wake wa kwanza, Latifah Nasibu ‘Tiffah...

READ MORE

ALLEN; TICHA WA ‘UNGENGE’ ALIEMPA UJANJA DIAMOND

2013 kipi-ndi Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platn-umz’ anapi-gania kutoka kimuziki enzi hizo akita-mba na wimbo mmoja wa...

READ MORE

JEMBE LA MJINI HALINA MAKALI

SHOGA upooooo? Ni Jumatano nyingine tunakutana tena katika kona yetu hii ya kujimwayamwaya, kujiachia na kupata elimu au siyo shoga?...

READ MORE

WASTARA HALI TETE TENA !

LICHA ya Februari, mwaka huu kupatiwa matibabu nchini India, bado hali ya staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ni...

READ MORE

KINARA UBAKAJI, UPORAJI

KINARA wa ubakaji na uporaji aliyetajwa kwa jina moja la Said maarufu kama Said Chiken mkazi wa Magomeni Makuti jijini...

READ MORE

KWA HILI LA MAKOSA YA MTANDAO; MASTAA MTAPATA TABU SANA

KILA kukicha, wapo mastaa ambao wamekuwa wakijiachia kihasara mitandaoni bila kujali kwamba wanaenda kinyume na maadili ya Kitanzania na wao...

READ MORE

NISHA, SISTER FAY; KIKI ZA KISHAMBA HAZIKIKI

KWENU mastaa wawili, Salma Jabu ‘Nisha’ na Faiza Omary ‘Sister Fay’, habari zenu? Mkitaka kujua hali yangu, mimi sijambo. Hofu...

READ MORE

KUKU WA KIENYEJI YAKE PUMBA

KAMA nakuona unavyotikisa kichwa na kujiuliza leo Anti ameleta kuku na pumba tena? Na utatikisa kichwa na mijicho kuitoa sana...

READ MORE

NI VYA ‘KIJINGA’ LAKINI VINA FAIDA PENZINI VIFANYE ,

MAPENZI ni matamu, mapenzi yana raha yake haswa ukimpata mtu anayekupenda kama ambavyo wewe unampenda. Kinyume chake, mapenzi hugeuka kuwa...

READ MORE

WEMA NA SIFA YA UFUNDI WA KUKAANGIZA

STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu ana sifa nyingi. Tangu amekuwa staa, mdada huyu anatajwa kuwa mkali sana linapokuja suala...

READ MORE

JUMA NATURE KUONYESHA UKONGWE WAKE KESHO

NGULI kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Juma Kassim ‘Juma Nature’, kesho anatarajia kuangusha shoo ya kibabe kwenye Uwanja...

READ MORE

MASANJA AELEZA KIFO KILIVYOMFANYA AOKOKE !

DAR ES SALAAM: Aliyekuwa mchekeshaji wa Kundi la ‘Ze Comedy’ Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ambaye kwa sasa ni mshereheshaji na...

READ MORE

STEVE NYERERE: NIMEKOMA KUWA KONGOZI MISIBANI

MSANII maaru­fu wa vichekesho Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema amekoma kuwa kiongozi misibani kwa sababu ya matusi anayovuna akishika...

READ MORE

USICHOKIJUA NISHA KUJILIPUA KWA MZUNGU

Salma Jabu ‘Nisha’ DAR ES SALAAM: LICHA ya kuapa kwamba hataanika tena uhusiano wake, msanii wa filamu za Kibongo, Salma...

READ MORE

SWETA LA HEMED LAZUA GUMZO

PENGINE hali ya hewa isiyotabirika jijini Dar es Salaam mara baridi mara joto ndiyo iliyomponza msanii Hemed Suleiman baada ya...

READ MORE

ROSA REE AIVURUGA SAUZI

RAPA wa kike kutoka Bongo, Rosary Robert ‘Rosa Ree’, anaendelea kuivuruga Afrika Kusini ‘Sauz’ kutokana na ‘media tour’ anayoifanya kwa...

READ MORE

ROMA KUGAWA ZAWADI MITAANI MBAGALA LEO

HUKU mwanamuziki anayekimbiza kwenye gemu la Hip Hop Bongo, Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoliki’, akitarajiwa kupiga shoo ya nguvu Jumapili hii...

READ MORE

BETHIDEI YA JIKE SHUPA… ‘CHURA ’ WAFANYA SHOO YA LAANA

DUNIA ina mambo! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wikiendi iliyopita wanawake wenye ‘chura’ kufanya shoo ya laana na kuwaacha watu...

READ MORE

DAKTARI AANIKA MADHARA KUKATWA UTUMBO

KWA kipindi cha takribani wiki nzima sasa, gumzo kubwa katika ulimwengu wa mastaa ni kuhusu afya ya msanii maarufu Bongo,...

READ MORE

PRETTY KINDY ADAIWA KULA MAKOMBO YA WEMA !

MSANII wa filamu na muziki Bongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ anadaiwa kula makom­bo ya msanii mwenzake, Wema Sepetu kwa kutoka...

READ MORE

BARAKA , YOUNG DEE KUISIMAMISHA DAR LIVE

KAMA ulikuwa hujui sikukuu ya sabasaba hii (7/7) uende kiwanja gani kula bata jibu lake utalipata ndani ya Uwanja wa...

READ MORE

RAHA YA MUME ASIKUPE TABU SANA!

JUMATANO nyingine hiyo tumekutana shoga yangu! Anti Naa wa kujimwayamwaya nipo tena mjengoni shoga! Heee heeeiyaaa na watanawa maji ya...

READ MORE