×

Risasi

Mchizi Mox Akataa Kuitwa Mkongwe, Awataja Wakongwe

MWANAMUZIKI Taikuni Ally ‘Mchizi Mox’ ni miongoni mwa wanamuziki wenye majina makubwa kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva hasa...

READ MORE

MFUNGO WAMBADILI SANCHI!

MFUNGO wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umeonekana kumbadili mwanamitindo Jane Rimoy ‘Sanch’ kutoka kwenye kuvaa mavazi ya kihasarahasara ambayo amekuwa...

READ MORE

Diamond Anavyotumia Fursa kwa Wapenzi Wake

AKILI ni nywele, kila mtu ana zake! Unaweza kuitumia methali hiyo kutokana na staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu...

READ MORE

DNA Yamuumbua Aliyetelekeza Watoto Wawili, Atupwa Jela!

DNA (Kipimo cha Vinasaba) ni noma kwani kinawatoa kijasho wengi! Kwa muda mrefu kumekuwa na vilio vya baadhi ya wanawake...

READ MORE

Mastaa Hawa Wametoka Relini

KUTOKA relini ni moja kati ya misemo inayotumiwa sana na watoto wa ‘dijitali’ ikiwa na maana kuwa juu na ghafla...

READ MORE

Fella Amtosa Babu Tale

MLEZI wa wanamuziki na Meneja wa Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ Said Fella, amelazimika kumtosa meneja mwenzake,...

READ MORE

Mjeda, Kibinti Wanaswa Wakifanya Mchezo Hatari Usiku

HII ni aibu kubwa! Joseph Mbega ambaye amedaiwa kujifanya ni mwanajeshi (mjeda) pamoja na mrembo aliyefahamika kwa jina la Rebeca...

READ MORE

Sister Fay Awaangukia Watanzania

WAKATI waumini wa Dini ya Kiislam wakiendelea na Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, msanii wa muziki na filamu Bongo,...

READ MORE

JOHARI Ampa Somo Mobeto

MKONGWE wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amempa somo mwanamitindo matata Bongo, Hamisa Mobeto ambaye ni mzazi mwenza wa...

READ MORE

Jaffarai Tusimtafute Yupo ‘Busy’

WANAMUZIKI walioupandisha muziki wa Bongo Fleva hapa ulipo kwa sasa hata kuupa heshima ulionao ndani ya nchi na nje ni...

READ MORE

Kimenuka! Fumanizi la Mwezi Mtukufu Laibua Ndoa Mpya!

  KUNA mambo ya ajabu ya kila aina ambayo hutokea kwa nyakati tofauti, lakini hili lililojiri katika kipindi hiki cha...

READ MORE

Mchungaji Mkanyaga Watu Yamkuta Dar

DAR ES SALAAM: Yawezekana wewe ni kati ya wale waliowahi kuona picha za mchungaji ambaye anaonekana akiwa amewakanyaga waumini wake...

READ MORE

STEVE AKWEPA SWALI LA MTOTO WA WELU SENGO

BAADA ya Wema Sepetu kutupia picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akimpongeza Steve Mengere ‘Nyerere’ kwa kuwa na mtoto mrembo,...

READ MORE

UWOYA ATAMBA ANAVYOMPIKIA FUTARI DOGO JANJA

STAA wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya kipindi hiki cha Mfungo wa Ramadhani ametamba kuwa, miongoni mwa majukumu aliyonayo ni...

READ MORE

MBWA WA AJABU WAFUNGA MITAA, USHIRIKINA WATAJWA!

DODOMA: MBWA wa ajabu watatu wametikisa jijini Dodoma baada ya kumshambulia mtoto mmoja anayefahamika kwa jina la Akisa Wilson Moyo,...

READ MORE

Lynn: Chris Brown Ananikosesha Usingizi

MUUZA nyago kwenye video mbalimbali za wanamuziki Bongo, Irene Hilary ‘Lynn’ ambaye aliwahi kusumbua kwenye vyombo vya habari akidaiwa kutoka...

READ MORE

Country Boy Anasindikiza Hivi Mfungo wa Ramadhani

MWANAMUZIKI anayefanya poa Bongo kwenye gemu la Hip Hop, Ibrahim Mandingo ‘Country Boy’, hivi karibuni amefunguka kwamba anasindikiza Mfungo wa...

READ MORE

Tox Star Afunguka Anavyomzimia Vee Money

TOX Star,MWANAMUZIKI anayefahamika zaidi kwa jina la TOX Star, alipotoa wimbo uitwao Pretty Girl, aliomshirikisha Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’, ulimtambulisha...

READ MORE

Diamond Kuwa Makini Sana na Mitungi!

KWAKO staa namba moja wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mambo yanakwendaje? Habari za mishemishe ya kila siku? Ukitaka...

READ MORE

Zilla Afungukia Mahaba ya Halima Mdee

  Hip Hop Bongo, Golden Mbunda ‘Godzilla’, hivi karibuni amefungukia juu ya mahaba aliyooneshwa na Mbunge wa Jimbo la Kawe,...

READ MORE

TISHIO JIPYA PENZI LA MOBETO, MOND HILI HAPA!

  HILI ni tishio jipya! Ndivyo unavyoweza kusema kwani ukiachana na kipigo ambacho mama wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,...

READ MORE

A-Z DENTI CHUO KIKUU ALIYEFIA CHUMBANI DAR

  BAADA ya utata kugubika kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya ya Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), Marcus Edward...

READ MORE

Mambo 8 Usiyoyajua Ndoa ya Kifalme ya Meghan na Prince Harry

  SI kipindi kirefu kimepita tangu watu wengi duniani wajiulize itakuwaje siku ya ndoa ya mwanadada ambaye ni muigizaji maarufu...

READ MORE

Shilole Achekelea Mfungo Ndani ya Ndoa

WAKATI waumini wa Dini ya Kiislam wakiendelea na Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, staa wa muziki wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Aunty Lulu Ampa Tano RPC wa Kikohozi

BAADA ya hivi karibuni aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Magharibi ambaye kwa sasa amehamishiwa Mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani...

READ MORE

Wastara: Nawacheka Wanaotumia Afya Yangu Kunitukana

STAA wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amesema kuwa, amejikuta akibaki akiwacheka wanaomtukana mitandaoni kuhusiana na afya yake kwani hawana...

READ MORE

Sajenti Ampindua Johari Kwa Mtasha (Video)

MASTAA wetu bwana! Ndivyo unavyoweza kusema kufautia habari hii inayowahusu mastaa wa filamu Bongo, Husna Sajenti na Blandina Chagula ‘Johari’...

READ MORE

Davina Aanika Siri ya Wazo la Pafyumu Yake

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahaya ‘Davina’ ameeleza alikopata wazo la kutoa pafyumu yenye jina lake na kufunguka kuwa...

READ MORE

SAKATA LA KICHAPO CHA MOBETO, FAMILIA YA DIAMOND VITA NZITO!

  Kama ni nyumba kushika moto, basi huu moto wa Madale ni wa gesi maana unaunguza hatari na mpaka sasa...

READ MORE

Lulu Diva Aanika Siri Uhusiano na Rich Mavoko

  BAADA ya tetesi kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, kwamba mwanamuziki Lulu Abbas ‘Lulu Diva’, anatoka kimapenzi na mwanamuziki...

READ MORE

Nikki wa Pili Awachana Mastaa Wanaojipoteza Kisa Ujana

MWANAMUZIKI anayekimbiza na ngoma ya Mawindo, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ amefunguka kwamba kuna mastaa wengi na vijana mbalimbali ambao...

READ MORE

Maskini Dotnata, Apata Pigo!

MASKINI! Mwanamama mkongwe wa filamu za Kibongo, Illuminata Poshi ‘Dotnata’, amepata pigo baada ya kufiwa na mama yake mzazi, Ildegalda...

READ MORE

Skendo ya Kutelekeza Mtoto… Mbasha Yamkuta ya Kiba!

DAR ES SALAAM: Mambo ni hivi! Achana na staa wa Bongo Fleva, Ally Salehe Kiba ‘Alikiba’ kuburuzwa mahakamani kwa kushindwa...

READ MORE

Zari: Kuna Maisha Baada ya Diamond

UKWELI ni kwamba kwenye mapenzi kuna maumivu ya namna tofauti. Kuna kuacha na kuachwa. Yanapotokea mambo hayo kwenye maisha yako,...

READ MORE

Gabo; Unaweza kuvaa viatu vya Kanumba, lakini chunga!

NIMEKUKUMBUKA leo mkali wa sinema za Kibongo, Gabo Zigamba. Mambo vipi kaka? Pole na hongera kwa mihangaiko ya kila siku....

READ MORE

Zari Amtaka Diamond Kutumia Kinga!

  KUNA kumlipua mtu, lakini huku kulipua kwingine ni sawa na kurusha bomu la nyuklia kwenye nyumba ya adui yako...

READ MORE

Mikataba Feki Yamwamsha Tiko Usingizini

KUFUATIA Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe kuliamsha dude la watu wanaowasainisha mikataba feki wasanii wa...

READ MORE

Misosi Afungukia Kilichompoteza

WAKATI mwanamuziki Joseph Rushahu a.k.a Bwana Misosi anafanya kolabo na wanamuziki kutoka Kenya, Redson na Chameleone wa Uganda iitwayo Heshima,...

READ MORE

Baba Mbaroni kwa Ubakaji wa Binti Yake wa Miaka 6

DAR ES SALAAM: Aibu, aibu nzito ambayo si rahisi kuielezea kwa mtu mzima mwenye ufahamu wake kutiwa mbaroni na Jeshi...

READ MORE

Wema abariki Diamond, Mobetto kufunga ndoa!

DAR ES SALAAM: Kwa mara ya kwanza, staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ametoa baraka zake kwa aliyekuwa mpenzi...

READ MORE