The House of Favourite Newspapers
gunners X

China Yazindua Roboti za Mbwa Vita na Gari la Kijeshi la AI

0

Kampuni ya Norinco ya China, kwa msaada wa jeshi la nchi hiyo, imetengeneza roboti za mbwa vita zinazoweza kushiriki moja kwa moja katika mapambano.

Pia, China inajaribu kutumia makundi ya droni yanayoshambulia kwa pamoja, pamoja na gari la kijeshi linalojiendesha kwa akili bandia ya DeepSeek. Gari hilo linaweza kufanya kazi za kivita bila dereva, likiongeza kasi na usahihi katika operesheni za kivita.

Hata hivyo, teknolojia hizi pia zina hatari kubwa, ikiwa ni pamoja na matumizi ya silaha zisizo na udhibiti wa binadamu na migongano ya kimaadili.

KILIO CHA HALIMA – ALITELEKEZA WATOTO – AKAJISAHAU – “MAISHA YALINIRUDISHA NILIPOTOKA”.

Leave A Reply