The House of Favourite Newspapers

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli na Dizeli

0

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano Oktoba 1, 2025 saa 6:01 usiku.

Leave A Reply