The House of Favourite Newspapers
gunners X

Happy Birthday Franco Ruhinda

0
Keki iliyoandaliwa na wafanyakazi wa Global Group kwa ajili ya mmoja wa wafanyakazi mwenzao, mratibu wa Sokabet, Franco Ruhinda.
Franco akimlisha mmoja wa wahariri wa magazeti ya Global Publishers.
…Akimlisha John John Joseph, mhariri wa Gazeti la Championi Ujumaa.
…Akimlisha Isri Mohamed, mmoja wa wafanyakazi wa Global Group.
…akimlisha Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho.

LEO ni siku muhimu sana kwa mfanyakazi wa Sokabet, Franco Ruhinda ambapo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa…Hivyo, uongozi na wafanyakazi wa Global Group iliyopo Sinza- Mori jijini Dar, unamtakia heri ya kuzaliwa.

 

Tunatambua mchango wako ni mkubwa sana kwa wafanyakazi wote wa Global Publishers Ltd na Tanzania kwa ujumla, hivyo tunakuombea miaka mingi zaidi, Mwenyezi Mungu akulinde, kukuongoza na kukupa nguvu zaidi ya kulifikisha taifa hili mbali.

Happy Birthday Franco Ruhinda!

Leave A Reply