

Katika hafla hiyo ambayo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wanasoka wa zamani pamoja na waandishi wa habari, ilishuhudiwa kampuni hiyo ikiingia mkataba wa mwaka mmoja na timu ya Majimaji ya Songea, wenye thamani ya Sh milioni 150.





PICHA NA AMANI MADEBE | GPL
===
Kumbuka kuwa ili kujiunga na kubashiri ili kuvuna fedha unatakiwa kutembelea tovuti ya www.sokabet.co.tz ambapo humo ndani una nafasi ya kushinda hadi shilingi milioni 100 kwa kuweka Sh 1,000 tu.
SHUHUDIA UZINDUZI HUO.

