HabariKitaifa Mbunge Amlipua Mkuu wa Mkoa Hadharani – Video On Apr 14, 2018 Share MBUNGE wa Chadema wa Jimbo la Mlimba, Susan Kiwanga, ametoa hoja yake bungeni kuhusu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt Steven Kebwe, kwa kutoitisha vikao vya bodi ya barabara hali iliyopelekea mkoa huo kuwa na miundombinu mibovu ya barabara. VIDEO: MSIKIE AKITOA POVU LAKE Related kebwemlimbaMorogorosusan kiwangwa Share
Comments are closed.