The House of Favourite Newspapers
gunners X

Mbunge Shigongo Aeleza Hatari Ya Homa Ya Ini Nchini, Aomba Serikali Kuwachanja Watanzania – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameitaka serikali kuchukua hatua zaidi za kudhibiti homa ya ini (Hepatitis B) ambayo kwa sasa inaathiri asilimia 6 ya Watanzania kwa kutoa chanjo kwa Watanzania.

Shigongo aliyasema hayo nje ya viwanja vya bunge baada ya kuchangia hoja katika Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa bungeni jijini Dodoma.

Comments are closed.