The House of Favourite Newspapers

Nafasi Za Kazi Nane (08) Ofisi Ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge Na Uratibu

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera,Bunge na Uratibu anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi nane (08) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili

Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 05 June, 2025

Comments are closed.