The House of Favourite Newspapers
gunners X

Fursa ya Ajira – Wauzaji wa Maduka, Mikocheni, Masaki & Mlimani City

Eneo: Mikocheni Plaza, Mlimani City & Masaki, Dar es Salaam

Tunatafuta wasichana wenye talanta ya kuuza na huduma kwa wateja kujiunga na timu yetu ya maduka.

Vigezo / Requirements

Muonekano mzuri na nadhifu

Mwaminifu na waaminifu

Uwezo mzuri wa kuwasiliana na wateja

Uwe mkazi wa Dar es Salaam (Dar es Salaam resident)

Mshahara / Salary

Tsh 250,000 – 350,000

Jinsi ya Kuomba

Tafadhali wasiliana WhatsApp tu: 0656 116 023

Comments are closed.