×

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania Sasa Kutoa Taarifa za Mkopaji kwa Kiswahili

  TAASISI ya Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania Limited leo imetangaza kuwa taarifa za mkopaji pamoja na maelezo kwa...

READ MORE

Wakazi Wa Kyiv Bado Wamejificha Kwenye Handaki

 Wakazi wa Kyiv wa rika zote – watu wazima na watoto – walielekea tena chini ya ardhi jana usiku...

READ MORE

Kanye Na Kim Ni Rasmi Sasa

ILIKUWA miaka ikafuata miezi kisha siku na sasa ni rasmi kwamba baada ya muda mrefu wa kuvurugana katika ndoa yake...

READ MORE

Mchungaji Zumaridi na Wenzake 92 Wafikishwa Mahakamani – Video

Mchungaji Diana Bundala maarufu ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake 92 leo Machi 3, 2022 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa...

READ MORE

Meridianbet Mkuchu Cup Imehitimishwa Kwa Matembezi ya Hisani!

Meridianbet kwa kushirikiana Emmanuel Mkuchu (muandaaji wa Meridianbet Mkuchu cup) pamoja na Taasisi ya Bega kwa Bega na Mama,  walishirikiana...

READ MORE

Unyama: Baba Amuua Mwanae Kwa Kumrushia Shoka – Video

 Polisi Mkoani Kagera wanamshikilia Anderson Clemence (35) Mkazi wa Kitongoji cha Ihema, Kijiji cha Kafunjo Wilayani Karagwe Mkoani Kagera...

READ MORE

Pablo Atangaza saa 48 za Hatari Simba

KOCHA Mkuu wa Simba SC, Mhispania, Pablo Franco, ametangaza siku mbili sawa na saa 48 za vijana wake kupata ushindi...

READ MORE

Sportpesa Yatangaza Jackpot Mpya Ya Shilingi Milioni 985

  Kampuni kubwa ya michezo ya kubashiri (betting) ya SportPesa, imetangaza ‘Jackpot’ mpya ambapo sasa mshindi anaweza kujishindia mpaka shilingi...

READ MORE

Unyama: Mume Ampasua Jicho Mkewe, Kisa Mchepuko – Video

 Kutoka Mkoani Arusha Sinoni Engasheratoni Mwanamke anaefahamika kwa jina la Viviani Mmari Amelalamika kupigwa na mume wake hali iliyopelekea...

READ MORE

Video: Mama Kanumba Afunguka Alivyoona Mandondocha Kanisani

 Global TV imefunga safari hadi Kimara Temboni, Jijini Dar es saalam nyumbani kwa Mama Kanumba na kuzungumza nae mambo...

READ MORE

Mhadhiri wa Chuo Matatani Kwa Rushwa ya Ngono

Mhadhiri wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Adam Semlambo ameingia matatani, akihusishwa na rushwa ya ngono ambapo uongozi wa chuo...

READ MORE

Maisha Magic Movies Yatangaza Neema Kwa Filamu Tanzania

Chaneli maarufu ya Maisha magic Movies imetangaza neema kwa wazalishaji wa filamu hapa nchini baada ya kuongeza idadi ya filamu...

READ MORE

Vikwazo vyaipa wakati mgumu Urusi

“NINGEKUWA na uwezo ningehama Urusi sasa hivi. Ningefanya hivyo. Lakini siwezi kuacha kazi yangu,” anasema Andrey. Hataweza kumudu mpango wa...

READ MORE

Unachopaswa Kufanya Ili Mume Asichepuke

RAFIKI,mapenzi yana kanuni zake; kanuni ambazo usipozifuata huwezi kupata furaha uliyotarajia. Unapotokeakumpenda mtu, hiyo ni hatua ya kwanza, lakini omba...

READ MORE

Masoud Djuma Arudisha Matumani Dodoma Jiji

UONGOZI wa Dodoma Jiji, umeibuka na kusema una imani timu hiyo itafanya vizuri na kufanikisha malengo yake ikiwa chini ya...

READ MORE

Abramovich Athibitisha Kuiweka Sokoni Chelsea

ROMAN Abramovich usiku wa Jumatano kwa hisia amethibitisha kwamba yupo kwenye mpango wa kuiuza timu hiyo. Abramovich ameamua kuuvunja ukimya...

READ MORE

Umoja wa Mataifa Waitaka Urusi Kuondoka Ukraine – Video

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepiga kura kwa wingi ya kuunga mkono azimio la kuitaka Urusi kusimamisha mara...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Viongozi wa Dini, Waomba kumaliza kesi ya Mbowe

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amezungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu maendeleo...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Geita Gold Mining Ltd, Data Capturing

  ABOUT GEITA GOLD MINING LTD Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation...

READ MORE