×

Vodacom Tanzania Yazindua Duka Jipya Dodoma 

Afisa Mtendaji Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC  Philip Besiimire ( wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka jipya...

READ MORE

Ndoa Iliyopendwa TikTok Yavunjika, Kristy Scott Afungua Talaka

Ndoa iliyokuwa ikitazamwa kama mfano wa upendo wa kudumu, imani na mshikamano wa kifamilia sasa imevunjika hadharani. Kristy na Desmond...

READ MORE

Juma Jux Ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki kwenye AFRIMA

JUMA Jux; ni msanii maarufu wa RnB kutoka Tanzania, anayejulikana kwa midundo yake ya kipekee na mashairi yenye hisia, amejivunia...

READ MORE

Mbinu Nilizotumia Kumrudisha Mpenzi Wangu Baada ya Kuwa Ameniacha

Nilikuwa nimechoka kabisa. Baada ya miezi kadhaa ya huzuni, mpenzi wangu aliondoka ghafla, na moyo wangu ulikuwa umepasuka vipande. Nilijaribu...

READ MORE

Brighton Wamaliza Mkataba na Mshambuliaji wa Tanzania Aisha Masaka

Klabu ya Brighton & Hove Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini England haitaendelea na mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masaka,...

READ MORE

Mchango wa GGM Waibua Tumaini kwa Watoto 420 Wenye Matatizo ya Moyo

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), inahitaji shilingi bilioni 1.6 kwaajili ya kuwafanyia upasuaji wa moyo watoto 420 wanaougua...

READ MORE

Mechi Kali Zatikisa Saudi League, Bundesliga na FA Cup leo

Ni siku nyingine ya kibabe kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Kazi wa Mawaziri na Makatibu Wakuu Dodoma

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika, Januari 12,...

READ MORE

Mkazi wa Bunju Aibuka Mshindi wa Mil. 50, za Magift ya Mixx Pesa

14 Januari 2026 – Dar es Salaam;– Mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam, Bw. Yusuph Constantine Muhoja ameibuka mshindi...

READ MORE

Rais Samia Awatakia Watanzania Heri ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Rais Samia Suluhu Hassan amewatakia heri Watanzania wote katika kuadhimisha Miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, leo Januari 12,...

READ MORE

Orodha ya Washindi Golden Globes 2026, Wasanii Nyota Watinga Kwa Mbwembwe

Majina makubwa katika ulimwengu wa filamu na televisheni wamejitokeza kwa mbwembwe na mvuto mkubwa kwenye zulia jekundu la tuzo za...

READ MORE

Iran Yataka Mazungumzo, Trump Aishutumu kwa Mauaji ya Waandamanaji

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Iran imewasiliana na Marekani ikiomba kufanya mazungumzo, kufuatia mvutano unaoendelea kati ya mataifa...

READ MORE

Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet

Nafasi ya ushindi hii hapa na wakali wa Meridianbet ambapo kupitia promosheni ya Beti Online unaweza ukaondoka na Samsung A26....

READ MORE

Muda Umewadia, Ushindi Wako Uko Kwenye Helikopta Ya Meridianbet

Je, uko tayari kujaribu msisimko wa Super Heli? Meridianbet inakuletea fursa ya kupaa juu ya wengine na kushinda zawadi za...

READ MORE

Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani

Ilikuwa siku ya furaha kubwa. Harusi ilikuwa tayari, wageni walifika mapema, na maua yalikuwa yamepambwa kwa urembo wa kipekee. Nilikuwa...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lamshikilia Mwanaume kwa Tuhuma za Ukatili dhidi ya Mtoto – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Joseph Daudi Mwakalinga maarufu kama @jiggerman, mkazi wa Zimbili, Kinyerezi,...

READ MORE

Airtel Yazindua Kampeni ya ‘Wese ni Bure’ Inayotoa Zawadi ya Mafuta Katika Vituo vya Mafuta Zaidi ya 62 Nchini

Dar es Salaam, Januari 2026. Airtel Tanzania leo imezindua kampeni ya Wese ni Bure ambayo inatokana na kampeni mama Inayoitwa...

READ MORE

Yanga Yampongeza GSM Kwa Harusi ya Binti Yake Jijini Dar

Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga SC) unampongeza Mdhamini na Mfadhili wa Klabu hiyo, GSM, kwa kumuozesha binti yake,...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Ibada Ya Jumapili Katika Kanisa La Kkkt Usharika Wa Azania Front

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki ibada ya Jumapili leo tarehe 11 Januari 2026,...

READ MORE

NECTA Yatangaza matokeo ya Darasa la Nne na Kidato cha Pili, Yapo Hapa – Video

  Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Januari 10, 2026  limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la Nne...

READ MORE