×

Wizkid Msanii Bora Apple Music

Nyota wa muziki kutoka nchini Nigeria Wizkid ametangazwa kuwa msanii bora wa mwaka barani Afrika ‘Apple Music Artist of the...

READ MORE

Dili la Kuuza Sura kwa Tsh Mil 460, Uko Tayari?

Kampuni ya kutengeneza roboti ya nchini Urusi inatafuta sura ya binadamu atakayekubali kulipwa ili kuitumia kwenye  bidhaa yake mpya ‘Promobot‘....

READ MORE

Dube Aipa Jeuri Azam, Lyanga Nje Miezi Miwili

HABARI njema kwa mashabiki wa Azam ni kurejea na kuanza mazoezi kwa mshambuliaji wao Mzimbabwe Prince Dube aliyekosekana kwa muda...

READ MORE

Wazee wa Kichaga Wamtaka Kimei Kufuta Kauli

BAADHI ya wazee wa kabila la Wachagga wamelaani kauli ya Mbunge wa jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei aliyoitoa hivi...

READ MORE

Kanye West Afuta Post Zote Instagram

  Rapa anayetikisa na albamu yake ya DONDA, Kanye West amefuta post zake  zote katika ukurasa wake wa mtandao wa...

READ MORE

Alpha Condé Aachiwa na Jeshi Guinea

  JESHI nchini Guinea ambalo limeshika madaraka nchini Guinea limetangaza kuwa Rais aliyeondolewa madarakani nchini humo, Alpha Condé (83) ameachiwa...

READ MORE

Rihanna Atangazwa Kuwa Shujaa wa Taifa

  Mwimbaji Staa Rihanna ambae ni mzaliwa wa Barbados na Balozi wa kuitangaza Nchi hiyo ametangazwa rasmi kuwa Shujaa wa...

READ MORE

Waziri Mhagama Aipongeza WCF Kwa Kuwapatia Computer Tume Ya Usuluhishi

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama ameupongeza Mfuko...

READ MORE

Chid Beenz Aachia Album Yake Mpya

Album mpya ya rapa Chid Beenz inayokwenda kwa jina la W2 WANGU imetoka rasmi na sasa inapatikana kupitia majukwaa mbalimbali...

READ MORE

Yanga Yaiandalia Dozi Mbeya Kwanza

LEO Jumanne, Mbeya Kwanza watawakaribisha Yanga ambao ni vinara kwenye Ligi Kuu Bara, katika mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa Uwanja...

READ MORE

SportPesa Yazamini Bunge la Tanzania

  Jumanne,November 30. Kampuni ya michezo  Na burudani SportPesa leo imetoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi...

READ MORE

JWTZ Latoa Tamko Kuhusu Matapeli Ajira Jeshini

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kuhusu vitendo vya rushwa, ulaghai na utapeli vinavyofanywa na baadhi ya watu...

READ MORE

Kocha Mpya Man united Kuanza na Arsenal

Rasmi Klabu ya Manchester United imemtangaza Ralf Rangnick kuwa kocha wa muda wa kikosi hicho mpaka mwishoni mwa msimu huu...

READ MORE

Pablo: Kila Mtu Atacheza Kwenye Kikosi Changu

KOCHA mkuu wa Simba, Pablo Franco ameweka wazi kuwa anataka kuona kila mchezaji wa timu hiyo anapambana kuhakikisha anafanya bidii...

READ MORE

Aliyetaka Kumuua Eminem Akutwa na Hatia Nyingine

Kijana anayefahamika kama Mathew David Hughes aliyetaka kumuua Rapa Eminem kwa majaribio kadhaa mwaka 2020 aingia tena matatizo baada ya...

READ MORE

Mastaa Yanga Wala Kiapo Kuiua Mbeya Kwanza

MASTAA wa Yanga ni kama wamekula kiapo kuhakikisha wanaibuka na ushindi dhidi ya Mbeya Kwanza leo Jumanne kutokana na kuweka...

READ MORE

Nafasi ya kazi Vodacom Tanzania ,Key Account Manager-VGE

Key Account Manager-VGE Posting Country:  TZ Date Posted:  29-Nov-2021 Full Time / Part Time:  Full Time Contract Type:  Permanent At...

READ MORE

Messi Anyakua Ballon D’OR

Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi amefanikiwa kuweka rekodi nyingine kwenye tuzo za Ballon D’OR kwa kutwaa...

READ MORE

Akaunti ya Mwanafunzi Yakutwa na Bil 2.3

MAHAKAMA ya kupambana na rushwa nchini Kenya imeagiza akaunti ya benki ya ya mwanafunzi, Felesta Njoroge (21) ifungwe kwa siku...

READ MORE

Wakulima Waaswa Kuchangamkia ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Mtwara na Lindi: Novemba 29, 2021: Serikali mkoani Mtwara imesema ipo tayari kuonesha ushirikiano zaidi na taasisi pamoja na wadau mbalimbali...

READ MORE