×

Mtanzania Azunguka Afrika Kwa Baiskeli Akitangaza Lugha Ya Kiswahili-Video

Global TV imefanya mahojiano na mtanzania anayezunguka na baiskeli katika nchi kadhaa Afrika akihamasisha watu kutumia lugha ya Kiswahili. 

READ MORE

Solskjaer: Msimponde Ronaldo Mtaumbuka

KOCHA wa Man United, Ole Gunnar Solskjaer, amesema kama kuna mtu anataka kumponda Cristiano Ronaldo basi aangalie mechi kati ya...

READ MORE

Kampuni Zamtema Tiwa Savage

MUIGIZAJI  wa Nigeria ambaye anaishi Marekani Gerogina Onuoha,  amesema video chafu ya msanii  Tiwa Savage kuvuja kwenye mitandao imepelekea msanii...

READ MORE

Meja Kunta Afunguka Matambiko Kwenye Muziki, “Ni Muhimu Lazima Tufanye”-Video

GLOBAL TV imepiga stori na mwanamuziki Meja Kunta kuhusiana na kazi zake za muziki baada ya kukaa kimya kwa muda...

READ MORE

Jenerali Wa Jeshi Aliyeiongoza Marekani Kumng’oa Saddam Hussein-Video

Colin Powell amefariki dunia Oktoba 18, 2021 akiwa na umri wa miaka 84 kwa kile ambacho familia yake imeeleza kuwa...

READ MORE

Mechi Leo, Biashara United Hawajasafiri Mpaka Sasa

KLABU ya Soka ya Biashara United Mara imeshindwa kusafiri kuelekea nchini Libya kutokana na kukosekana kwa vibali vya anga vya...

READ MORE

Meya Jiji La Arusha Kujenga Makazi Ya Kisasa Ya Watoto Wa Mtaani-Video

Mstahiki Meya wa jiji la Arusha, Majimiliani Iranqe, ameanza kutekeleza adhima yake ya kuwajengea makazi Watoto wa Mtaani waliopo katika...

READ MORE

Kijana Aliyefanana Na Sokwe Ageuka Staa Duniani-Video

WASWAHILI wanasema Mungu sio hapangiwi….! Huu ni miongoni mwa misemo maarufu ya kiswahili inayotumiwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa jambo ambalo...

READ MORE

Ni Aibu Shule ya Msingi Ntanganyika Kukaa Chini

MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joseph Mkirikiti amesikitishwa na kitendo cha Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kutokamilisha uwekaji madawati katika...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Jumamosi Oktoba 23, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 23, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Majaliwa Asisitiza Mifumo ya Usalama Kupitia TEHAMA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga shilingi bilioni 170 kwa ajili ya ujenzi wa Mkongo wa Taifa katika mwaka...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Kagera Sugar Yaichapa Mtibwa Sugar

BAO pekee la mshambuliaji Dickson Mhilu dakika ya 39 limewapa wenyeji Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar...

READ MORE

Mama Achinja Watoto Wake Wawili – Video

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mwanamke mmoja mkazi wa Lalago wilaya ya Maswa mkoani Simiyu ameuwa watoto wake wawili kwa...

READ MORE

Twiga Stars Kupindua Meza Kwa Namibia

KOCHA wa Timu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, Bakari Shime, amesema walifanya makosa kwenye mchezo uliopita wakiwa nyumbani na...

READ MORE

Kinga Ya Mabusha Na Matende Kutolewa Dsm-Video

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni Bi. Stella Msofe, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi katika zoezi la utoaji kinga, tiba...

READ MORE

Njombe: Wanandoa Wauawa kwa Kukatwa Mapanga – Video

ANES Haule (45) na mume wake Menluph Ngailo (45) wameuawa kwa kukatwakatwa mapanga wakiwa wamelala nyumbani kwao huko kijiji cha...

READ MORE

Bosi Simba Afunguka Kasi ya Yanga

MWENYEKITI wa Simba, Murtaza Mangungu, amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia wasiogope kasi ya wapinzani wao Yanga huku...

READ MORE

Waziri Mkuu Aipongeza TCRA kwa Kusimamia Masafa

Serikali imeitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuongeza juhudi katika usimamizi wa Rasilimali za Mawasiliano nchini, zikiwemo namba za mawasiliano...

READ MORE

Mchungaji Aliyekataza Waumini Kutumia ARV’s Wakafariki Aomba Radhi

MHUNGAJI wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) wilayani Rungwe mkoani Mbeya, Emmanuel Mlundilwa amesema kukosa uelewa wa...

READ MORE