×

Fisi Aua Mtoto Tena Shinyanga, Wazee wa Mila Wacharuka

Wakazi wa Kata ya Kitangiri katika Manispaa ya Shinyanga wamewaomba viongozi wa ngazi zote kuchukua hatua za haraka za kukabiliana...

READ MORE

Kwa Simba Hii… Kuna Swali?

WAWAKILISHI wa Tanzania, Simba jana walianza kwa kasi kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa hatua ya kwanza kwa...

READ MORE

Mayele: Nitawafunga KMC Majimaji

STRAIKA wa Yanga Fiston Mayele amesema wamejipanga kuhakikisha wanashinda mchezo dhidi ya KMC ambao utapigwa kesho katika uwanja wa Majimaji,...

READ MORE

Lwandamina Awaita Fasta Mastaa Wake

KOCHA Mkuu wa Azam FC, George Lwandamina,amekirejesha kikosi chake kambini haraka baada ya kuwapa mapumziko ya siku moja.   Wikiendi...

READ MORE

Bwalya: Tutaamka na Kufanya Vyema

KIUNGO wa Simba Larry Bwalya, amefunguka mipango yake msimu huu kwenye Ligi Kuu na Ligi ya Mabigwa, huku akisema watafanya...

READ MORE

Radi Yaua Ng’ombe 15

Radi iliyoambatana na mvua imeuwa ng’ombe 15 usiku wa kuamkia leo Oktoba 18, 2021, katika Kijiji cha Zaire kilichopo Kata...

READ MORE

Rich Mavoko, Diamond Mbona Freshi tu

RICHARD Martin Lusinga ndilo jina lake halisi lakini wengi wamezoea kumuita Rich Mavoko kutokana na kazi yake ya muziki wa...

READ MORE

Mbeya, Kilimanjaro Waongoza kwa Wanawake Wenye Vitambi

WANAWAKE wa Mikoa ya Kilimanjaro, Mbeya na Arusha wanaongoza kwa kuwa na unene uliopitiliza na kupata viribatumbo maarufu kitambi.  ...

READ MORE

Machinga Dar Waongezewa Siku 12

Serikali ya mkoa wa Dar es Salaam imewaongezea siku 12 wafanyabiashara ndogo ndogo (wamachinga) kuanzia leo wahame katika maeneo yasiyo...

READ MORE

Offset Amzawadia Jumba la Kifahari Cardi B

WAKATI  wewe ukipewa zawadi ya keki na maua katika mfanano wa siku yako ya kuzaliwa (Birthday), mwenzako Cardi B amezawadiwa...

READ MORE

Basi la Adventure Lapata Ajali Mlima Kamba

Abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Mpanda mkoani Katavi kwenda Kasulu mkoani Kigoma, wamenusurika kifo baada ya Basi la Kampuni ya Adventure...

READ MORE

Kifo cha Ole Nasha, NEC Yatangaza Uchaguzi Ngorongoro

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), leo Jumatatu, Oktoba 18, 2021 imetangaza ratiba ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo...

READ MORE

Wasanii wa Bongo Wanaongoza kwa Followers Facebook

Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa kuna watumiaji wa mitandao ya kijamii Bilioni 4.2 duniani ambao ni zaidi ya asilimia...

READ MORE

Huyu Ndo DED Mkorofi Aliyetajwa na Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ukorofi na kukosekana kwa nidhamu ndiyo kulikopelekea kumhamisha...

READ MORE

Colin Powell Afariki Dunia Kwa Covid-19

WAZIRI wa mambo ya nje wa zamani wa Marekani Colin Powell amefariki dunia kwa  ugonjwa wa Covid-19, Powell ambaye alikuwa...

READ MORE

Esma Anapiga tu Pesa

ESMA Khan almaarufu Esma Platnuzm ni dada wa supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul au Diamond Platnumz ambaye amefunguka namna...

READ MORE

Yanga SC yafunika mapokezi Songea

MAELFU ya mashabiki wa Yanga jana walifurika kupokea msafara wa timu hiyo uliofika saa sita mchana kwa ajili ya mchezo...

READ MORE

Diamond na Harmonize Wajibizana Kwa Vitendo

Hakuna muda wa maneno mengi, bali kinachoendelea ni majibizano ya kivitendo zaidi kati ya Diamond Platnumz na Harmonize; mmoja akifanya...

READ MORE

Tyga Afunguka Tuhuma za Kumpiga Mpenzi Wake

RAPA, muimbaji na muandishi wa nyimbo za Hip Hop, Micheal Ray Stevenson maarufu kama Tyga, amevunja ukimya juu ya tuhuma...

READ MORE

Mwijaku, Juma Lokole Wavuana Nguo

Mwijaku na Juma Lokole ni watangazaji maarufu kwenye mitandao ya kijamii ambao hawaivi kwenye chungu kimoja; kila mmoja amekuwa akimvua...

READ MORE