×

Mke wa Kizza Besigye Atoa Maelezo ya Kina Kuhusu Mgongano wa Kisiasa

Dkt. Kizza Besigye Kifeefe, mmoja wa viongozi wa upinzani wa Uganda na mwiba mkali wa Rais Yoweri Kaguta Museveni, kwa...

READ MORE

Bashungwa Ampongeza Rais Samia kwa Fursa ya Kutumikia Watanzania

Mbunge na aliyekuwa Waziri, Innocent Bashungwa, ameandika ujumbe wa shukrani kwa Mwenyezi Mungu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Waziri Mkuu Bangladesh Aliyeng’olewa Ahukumiwa Kifo

Bangladesh imeingia katika kipindi cha msukosuko mkubwa wa kisiasa na kijamii baada ya Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa kumhukumu kifo...

READ MORE

Kesi ya Uhujumu Uchumi Inayomkabili Manguruwe Kusikiliza Hoja za Awali

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu inatarajia Novemba 18, 2025 kusikiliza hoja za awali katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Mkurugenzi...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, Orodha Ipo Hapa – (Picha +Video)

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza leo Novemba 17, 2025 Baraza...

READ MORE

Polisi Waanza Uchunguzi wa Kifo cha MC Pilipili Dodoma – Video

Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, kupitia kwa Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Gallus Hyera, amesema linaendelea kufanya uchunguzi kuhusu chanzo...

READ MORE

Bashe Awapongeza Mawaziri Wateule Wizara ya Kilimo, Atoa Shukrani kwa Rais Samia

Mbunge wa Nzega na aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Mohamed Bashe ameandika ujumbe wa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Akabidhiwa Ofisi na Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Novemba 17, 2025 amekabidhiwa Ofisi na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Mlimwa Jijini...

READ MORE

Majina ya Vigogo Waliotemwa Kwenye Uwaziri

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza Baraza jipya la Mawaziri leo...

READ MORE

Simba Yatangaza Viingilio vya Mechi Dhidi ya Petro Atletico ya Angola

Dar es Salaam, Tanzania — Klabu ya Simba SC imetangaza viingilio vya mchezo wao wa kwanza wa hatua ya makundi...

READ MORE

Video: Rais Samia Amteua Balozi Khamis Mussa Omar Kuwa Waziri wa Fedha

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Khamis Mussa Omar kuwa Waziri...

READ MORE

Rais Samia Amteua Joel Nanauka Kuongoza Wizara Mpya ya Vijana – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Joel Nanauka kuwa Waziri wa Vijana, wizara mpya...

READ MORE

Mapambano ya Kufuzu Kombe la Dunia Yafika Kileleni: Nani Ataamua Hali Leo?

Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa Wikendi hii ipo kwaajaili ya kuhakikisha hawakuachi patupu. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi...

READ MORE

Wanu Ateuliwa Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Adolf Mkenda kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi na...

READ MORE

Dkt. Nchimbi: Amani ya Kudumu Haiwezi Kupatikana Bila Maendeleo Jumuishi na Endelevu

Wito wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya...

READ MORE

Pata Faida Kubwa Ukipaisha Kindege Cha Aviator Meridianbet

Wapenzi wa kasino mtandaoni, maandalizi yamekamilika kwa msisimko wa kipekee. Meridianbet inakuletea fursa ya kipekee ya kucheza mchezo unaopendwa na...

READ MORE

Waendesha Bodaboda Watakiwa Kuepuka Vitendo Vya Uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewataka maafisa usafirishaji (bodaboda) kujiepusha na vitendo vyovyote vya uhalifu au uvunjifu wa amani...

READ MORE

NECTA Yavionya Vituo vya Mitihani Vitakavyofanya Udanganyifu Mtihani Kidato cha Nne

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limethibitisha kukamilika kwa maandalizi yote ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) unaotarajiwa kuanza...

READ MORE

Warsha Ya Mfumo Wa Tanzania Chamber Portal Yaendeshwa Kanda Ya Kaskazini

  s4WARSHA ya mafunzo ya Mfumo Mpya wa Kidijitali – Tanzania Chamber Portal imezinduliwa rasmi jijini Arusha, ikiwa ni hatua...

READ MORE

Rais Dkt. Samia: Watanzania Tuendelee Kuliombea Taifa Lidumu Katika Amani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuwasisitiza Watanzania waendelee kuliombea Taifa ili amani,...

READ MORE