×

Simba: Tutacheza na Gwambina Kama Fainali

BAADA ya Simba kushinda mechi zote mbili za Kanda ya Ziwa, hivi karibuni, kocha msaidizi wa timu hiyo, Selemani Matola...

READ MORE

Live: Rais Mwinyi Katika Mashindano Ya Quraan Tukufu Zanzibar..

 RAIS wa Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi, leo Aprili 24, amehudhuria akiwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya kuhifadhi Quraan Tukufu...

READ MORE

Mzee wa Kupapasa Wanawake Yamkuta

  Jamaa mmoja mtaani Pipeline, Nairobi nchini Kenya anajuta kuumizwa sehemu zake za siri na kisura aliyejaribu kumdhulumu (kumshikashika bila...

READ MORE

Ufundi wa Nabi, Yanga Full Shangwe

RASMI Kocha Mkuu wa Yanga, Noureddine Al-Nabi raia wa Tunisia, jana jioni alianza kibarua cha kukinoa kikosi hicho kinachojiandaa na...

READ MORE

Ajichoma Kisu Mara 12 Baada ya Kumuua Mpenzi Wake

Kijana mwenye umri wa miaka 25 anaaminika alijaribu kujitoa uhai kwa kujidunga kisu baada ya kuripotiwa kumuua mpenzi wake huko...

READ MORE

SMZ Yasitisha Safari za Baharini kwa Muda

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar, imesitisha shughuli za usafiri wa baharini zikiwemo safari za meli na vyombo vingine vya usafiri baharini...

READ MORE

AstraZeneca Zilizotumwa Afrika Zime-Expire

Taarifa imetolewa kwamba chanjo za corona (Covid-19) zilizotumwa kwa nchi 13 barani Afrika zimepita tarehe ya mwisho ya matumizi, lakini...

READ MORE

Wakenya Wavamia IMF Wakilaumu Nchi Yao Kukopeshwa

Kwa mara ya pili wiki hii, mtandao wa kijamii wa shirika la fedha duniani IMF umejipata ukivamiwa na ukosoaji kutoka...

READ MORE

Ajira Mpya 6,000 Walimu Waanza Kutapeliwa

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amesema amepata taarifa kuwa...

READ MORE

Mpinzani wa Putin Asitisha Mgomo wa Chakula Gerezani

KIONGOZI wa upinzani nchini Urusi aliye gerezani Alexei Navalny leo ametangaza kusitisha mgomo wa kula baada ya kupatiwa msaada wa...

READ MORE

Tanzia: Terrence Clarke wa NBA Afariki Dunia

MCHEZA kikapu chipukizi kutoka chuo kikuu cha mchezo wa mpira wa kikapu cha Kentucky kilichopo nchini Marekani, Terrence Clarke amefariki...

READ MORE

Harmonize ft Awilo Longomba & H baba – Attitude (Official Music Video)

 Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Harmonize  Aprili 23, 2021 ameachia video ya wimbo wake wa Attitude aliowashirikisha wwanamuziki...

READ MORE

Bondia Mrembo Zaidi Duniani Laila Ali

Bondia Laila Amaria Ali ni mtoto wa nane kati ya tisa wa Bondia Muhammad Ali, mwanadada huyu anatajwa kama Bondia...

READ MORE

Mama Ataka Uchunguzi Kifo cha Mwanaye

KABURI la mtoto Abdul Bakari (9) lililofukuliwa eneo la Kaloleni wilayani Kiteto mkoani Manyara chini ya ulizi mkali wa jeshi...

READ MORE

Nafasi za kazi African Union Commission, Director Conflict Management

Director Conflict Management Date: Apr 17, 2021 Location: Addis Ababa, Ethiopia Organization: African Union Commission – AUC AU Values    ...

READ MORE

Timiza Ndoto Na Mchezo Wa Dream Catcher Kutoka Kasino Ya Mtandaoni Ya Meridianbet!

Mchezo wa Dream Catcher Dream Catcher ni mchezo uliotengenezwa na Evolution Gaming, ambao unarushwa mubashara kutoka studio ukitumia kamera ambazo...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi Kirahisi Zaidi Hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 24, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 24, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Rais wa Chad Azikwa Leo

ALIYEKUWA Rais wa Chad Idris Deby   amezikwa leo Aprili 23 katika mazishi ya kitaifa yaliofanyika  katika mji mkuu wa N’Djamena....

READ MORE

Kimeumana! Mbunge Chadema ‘Tumefukuzwa’ Naibu Spika ‘Futa Kauli’

Mbunge Kishoa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amelalamikia kunyimwa nafasi ya kufanya mikutano ya kisiasa kabla hajaondolewa kwenye...

READ MORE