×

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Uwazi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Machi 30, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 30, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Yanga Yatambulisha Kocha wa Magolikipa

 KLABU ya Yanga SC leo Machi 29, 2021 imemtambulisha rasmi Razak Siwa kuwa kocha mpya wa magolikipa wa klabu hiyo,...

READ MORE

Nafasi za Kazi 30 – Internship at University of Dodoma, Personal Secretaries III

The University of Dodoma welcomes applications for Internship Programme for the position of Personal Secretaries and Systems Administrators for a...

READ MORE

Wizara Ya Habari, Kamati Ya Bunge Kusukuma Tasnia Ya Filamu

Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Machi 29, 2021 wamekubaliana kushirikiana...

READ MORE

Tonombe, Kaizer Chiefs Ishu Ipo Hivi

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa haujapokea ofa yoyote kutoka Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini juu ya kiungo wao mkabaji Mkongomani...

READ MORE

Wataalamu wa Mazingira Wasio Waaminifu Kudhibitiwa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu amesema Serikali imepitisha kanuni itakayowadhibiti washauri...

READ MORE

Serikali Yatangaza ‘Combinations’ Mpya Kwa Kidato Cha 5

SERIKALI imetangaza kuanza kwa Tahasusi (Combination) mpya tano kwa ajili ya Wanafunzi watakaoingia Kidato cha Tano mwaka 2021 ili kuondoa...

READ MORE

Nafasi za Kazi 7 – Internship at University of Dodoma, Systems Administrators

  Systems Administrators CALL FOR INTERNSHIP PROGRAMME : SYSTEMS ADMINISTRATORS The University of Dodoma welcomes applications for Internship Programme for...

READ MORE

Simba Washinda Kibabe Rufaa ya Al Merrikh CAF

SHIRIKISHO la Soka Afrika, (Caf) limewaambia mabosi wa Al Merrikh kuwa waendelee na program zao kwa sasa wasahau pointi tatu...

READ MORE

TANZIA: Rais wa Zamani wa Madagascar Didier Ratsiraka Afariki

RAIS wa zamani wa Madagascar Didier Ignace Ratsiraka amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84, rais wa nchi hiyo...

READ MORE

Wolper Achimba Mkwara Mzito

MWANADADA anayekiwasha kunako Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe ambaye ni mjasiriamali mkubwa amechimba mkwara mzito.Wolper ametoa onyo kali kwa wale...

READ MORE

Mugalu Akomaa Asitoke First Eleven Simba

MSHAMBULIAJI tegemeo hivi sasa Simba, Mkongomani, Chris Mugalu, amesema kuwa nafasi anayoendelea kupewa ya kuanza katika kikosi cha kwanza, imempa...

READ MORE

Mwambusi Ashusha Presha ya Kocha Mpya Yanga

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa uamuzi wa kumpa timu kocha wao Juma Mwambusi mpaka mwishoni mwa msimu, umepunguza presha kubwa...

READ MORE

TANZIA: Bibi Yake Obama Afariki Nchini Kenya

Bibi wa Kambo wa Rais wa zamani wa Merekani Barack Obama, Sarah Obama amefariki leo Machi 29, 2021 katika Hospitali...

READ MORE

Video: Kauli Ya Samatta Baada Ya Kuichapa Libya Na Kutolewa Afcon

NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) amesema walitamani sana kufuzu kwenye michuano ya AFCON lakini imeshindikana kwahiyo...

READ MORE

Carlinhos, Yacouba Wamoto Balaa Yanga

HABARI ziwafikie wale wote ambao w alidhani baada ya Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi kukabidhiwa kikosi hicho hatakuja...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Machi 29, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 29, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la Ijumaa...

READ MORE