×

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Januari 8, 2021

  Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 8, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Breaking: Kocha wa Simba Abwaga Manyanga

UONGOZI  wa Klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kocha wake mkuu, Sven Vandenbroeck,  kwa makubaliano ya pande mbili. Nafasi...

READ MORE

Polisi 4 Wafukuzwa Kazi Arusha – Video

  POLISI  mkoani Arusha imesema kuwa polisi William Joseph, aliyekutwa na gongo, viroba, misokoto 20 ya bangi na kujiunganishia umeme...

READ MORE

Mapokezi Ya Ziara Ya Waziri Wa Mambo Ya Nje Wa China, Chato -Video

 Mapokezi ya Waziri wa Mambo ya nje wa China, WANG YI, katika Uwanja wa Chato atakuwa nchini kwa ziara...

READ MORE

Hawa Nd’o Wanawanake 5 Hatari Zaidi Duniani

MAKALA mpya ya shirika la utangazaji la Uingereza (BBC) inayofahamika kama “Killing Eve” ambayo inasimulia mateso wanayopitia wahusika kama vile...

READ MORE

Mamia ya Madaktari Wafukuzwa Kazi Kenya

MAMLAKA mjini Mombasa nchini Kenya imewafukuza mamia ya madaktari akiwemo mwenyekiti wa umoja wa madaktari katika kaunti hiyo.   Kwa...

READ MORE

Darassa Avunja, Ukimya Aibuka Upya – Video

  RAPA maarufu Bongo, Darassa, amesema watu wengi walikuwa wakim-dis kwamba yupo kimya kwa sababu zao binafsi lakini ukweli ni...

READ MORE

Una SmartPhone? Soma Hapa Uteleze Tuuu!

  Mapema leo timu ya Maofisa Masoko wa Kampuni ya Global Group wameingia katika viunga mbalimbali vya jiji la Dar...

READ MORE

Uganda: Msafara wa Mgombea Urais Washambuliwa kwa Risasi

Polisi mmoja nchini Uganda anazuiliwa katika kituo cha polisi kwa sababu ya kuupiga risasi msafara wa mgombea wa urais, Patrick...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Fastlink Safaris & Tours, Cheif Accountant

Chief Accountant Summary: We are currently seeking an experienced, and thorough chief accountant to join our rapidly growing firm. In...

READ MORE

Hatimaye: Trump Akubali Kukabidhi Madaraka

Rais wa Marekani, Donald Trump amekubali kukabidhi madaraka kwa mrithi wake, Joe Bideo baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu wa...

READ MORE

Twitter, Facebook za Trump Zafutwa

AKAUNTI za Twitter na Facebook za Rais wa Marekani, Donald Trump, zimefutwa kwa muda baada ya kutuma ujumbe kwa wafuasi...

READ MORE

Waziri Mambo ya Nje China Kutua Chato Leo

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania leo Alhamisi, Januari 7, 2020, kwa ziara...

READ MORE

Blob: Kiumbe wa Ajabu Mwenye Jinsia 720, Hana Ubongo

HANA mdomo, tumbo wala macho, lakini anaweza kutambua chakula na kukila. Hana mikono wala miguu, lakini anaweza kutembea na siku...

READ MORE

Glovu Za Manula Zawaingiza Vitani Metacha Na Mgore

KIPA namba moja wa Simba, Aishi Manula ambaye ni kipa bora kwa msimu wa 2019/20, msimu huu wa 2020/21 amewaingiza...

READ MORE

Jambazi Sugu Aliyewashambulia Polisi Auawa – Video

MTU mmoja anayedhaniwa kuwa ni jambazi ameuawa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya baada ya majibizano ya risasi na jeshi...

READ MORE

Yondani Ampa Jeuri Kocha Polisi TZ

KOCHA Mkuu wa Polisi Tanzania, Malale Hamsini, amesema uwepo wa beki mkongwe, Kelvin Yondani kwenye kikosi chake, umeongeza umakini kwenye...

READ MORE

Breaking: Bunge Lathibitisha Biden Rais Mteule Marekani

BUNGE  la Congress nchini Marekani limemuidhinisha Joe Biden kuwa rais mteule wa Marekani na Kamala Hariss kuwa makamu wa rais....

READ MORE

Video za Ngono Zamwondoa Uhai Mrembo Huyu

PENGINE  haikuchukua muda mrefu kwa Tiziana Cantone kuanza mfululizo wa matukio ambayo yalisababisha kujikatisha uhai.   Mwezi Aprili mwaka 2015,...

READ MORE