×

Chama Mikononi Mwa GSM, Siku Ya Kutua Yaandaliwa

MEFAHAMIKA kuwa, Yanga imemalizana kwa siri na kiungo mchezeshaji wa Simba, Mzambia, Clatous Chama huku ikimfanyia kufuru kubwa nyota huyo.Mzambia...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Januari 1, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 31, 2020. Usipitwe na Matukio, Install App...

READ MORE

Mazito Usiyoyakjua Kuhusu Bilionea Urusi Kufa Ghafla Bongo

MAMBO mazito yanazungumzwa juu ya kifo cha ghafla cha Bilionea Igor Sosin (53), raia wa Urusi aliyekutwa amekufa hotelini visiwani...

READ MORE

Hali ni Shwari Ziwa Victoria, Hakuna Mauaji Wala Unyang’anyi

WANANCHI waishio Visiwa vilivyomo ndani ya Ziwa Victoria mkoani Mwanza wamempongeza Kamanda wa Polisi mkoani humo Murilo Jumanne kwa kuimalisha...

READ MORE

Yanga Yachezeshwa Pira Gwaride na Tanzania Prisons

VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo Desemba 31, wakiwa wanaufunga mwaka, kwenye Dimba la Nelson Mandela mjini Sumbawanga, wameshindwa...

READ MORE

Daktari Atumia Hospitali ya Serikali kwa Manufaa Binafsi

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima, ameagiza daktari aliyejimilikisha Hospitali ya Amana kwa...

READ MORE

Tayari New Zealand, Australia Washerehekea Mwaka Mpya

WAKATI barani Afrika ikiwa bado ni mchana (wakati wa kuandika habari hii), nchini New Zealand na Australia ambako ni mashariki...

READ MORE

Huyu Nd’o Bilionea ‘Mtoto’ Zaidi Duniani

KYLIE JENNER amekuwa bilionea mwenye umri mdogo zaidi duniani, kwa mujibu wa orodha ya mabilionea ya gazeti la Forbes. Kylie ambaye...

READ MORE

Askofu Mkude Ang’atuka Jimbo la Morogoro

BABA Mtakatifu Francisko, ameridhia ombi lililowasilishwa kwake na Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro nchini Tanzania, Telesphor Mkude la kung’atuka...

READ MORE

Wachezaji Watano Simba SC Kutolewa kwa Mkopo

Uongozi wa klabu ya Simba SC kupitia kwa Afisa Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez amethibitisha kuwatoa baadhi ya wachezaji kwa...

READ MORE

Tamasha la Ngumi Kufanyika Mwanza Kesho

WADAU wa michezo wanaojulikana kama Watawa Sports kwa kushirikiana na Chama cha Ngumi Wilaya ya Nyamagana (NDBA), wameandaa tamasha la...

READ MORE

Muuaji Hatari Nchini Marekani Afariki Dunia

SAMUEL LITTLE, mtu aliyetajwa na shirika la upelelezi  la Marekani (FBI) kama muuaji mkubwa wa kuvizia katika historia ya Marekani, ...

READ MORE

Aliyejifanya Ofisa TAKUKURU Anaswa, Afikishwa Kortini

Mfanyabiashara, Edson Beanga Mkazi wa Dar es Salaam amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...

READ MORE

Magufuli Awasilisha Fomu za Maadili

RAIS  John  Magufuli leo tarehe 31 Desemba, 2020, amewasilisha fomu zake za maadili katika ofisi ya makao makuu ya Sekratarieti...

READ MORE

Kesi ya Rugemalira, Seth Yapigwa Kalenda Tena

KESI inayowakabili mfanyabiashara, James Rugemarila, na mmiliki mwenza wa zamani wa Kampuni ya IPTL, Habinder Seth na mwanasheria wa IPTL,...

READ MORE

Kaze Apata Kombinesheni ya Ubingwa Yanga

NI wazi sasa Kocha wa Yanga, Cedric Kaze ameipata kombinesheni hatari ya utatu mtakatifu kupitia kwa wachezaji Yacouba Songne, Saido...

READ MORE

Tanzia: Mwanamuziki Mao Santiago Afariki Dunia

NGULI wa muziki wa dansi aliyewahi kuwa mwanamuziki wa kundi la Chuchu Sound, Mao Santiago, amefariki dunia nchini Jamhuri ya...

READ MORE