×

Yanga vs Simba Kuweka Historia Jumamosi Uwanja wa Mkapa

JUMAMOSI ijayo ni siku ya mechi kali yenye historia kwenye soka la Bongo ambapo mabingwa watetezi Simba watavaana na mabingwa...

READ MORE

Mbunge wa Moshi Vijijini Mwaka 2005 Dr. Cyrili Chami, Afariki Dunia

Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi vijijini kuanzia mwaka 2005 kupitia CCM Dr. Cyrili Chami, amefariki dunia usiku wakuamkia leo Novemba...

READ MORE

Dube, Chirwa Kulamba Tuzo Azam

MASTAA wa Azam FC, Mzimbabwe, Prince Dube na Obrey Chirwa wanatarajiwa kulamba tuzo ndani ya kikosi hicho baada ya uongozi...

READ MORE

Mkude Afungukia Vichapo Viwili Simba SC

Mkude afungukia vichapo viwili Simba SC JONAS Mkude, kiungo mkabaji ndani ya Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Sven...

READ MORE

Magufuli Aapishwa Rais Tanzania – Video

ALIYEKUWA rais mteule wa Tanzania Dkt. John  Magufuli ameapishwa rasmi leo Novemba 5, 2020, jijini Dodoma katika Uwanja wa Jamhuri...

READ MORE

Biden Akaribia Kushinda Urais wa Marekani

MGOMBEA wa kiti cha urais kupitia chama cha Democratic nchini Marekani, Joe Biden ,amepiga hatua muhimu kuelekea kupata ushindi baada...

READ MORE

Ndoa ya Harmo, Sarah Yadaiwa Kuvunjika

NDOA ya msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ au Harmo na mkewe Sarah Michelotti ipo gizani na...

READ MORE

Carlinhos Kuikosa Simba, Niyonzima Arejea

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Carlos Carlinhos anatarajia kuukosa mchezo wa dabi ya Simba na Yanga utakaochezwa Jumamosi ijayo huku kiungo...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Novemba 5, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 5, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Linah Atamba Kuoana na Awadhi!

MREMBO anayefanya vizuri kwa sasa kunako gemu la Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ amesema kuwa wambea wanaofuatilia mapenzi yake na...

READ MORE

Simba Yaichapa Kagera Sugar

BINGWA mtetezi wa ligi kuu ya Vodacom Simba, wamefanikiwa kuvuna pointi tatu muhimu mbele ya wakata miwa, Kagera Sugar kwa...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Amteua Suleiman Ahmed Salum Kuwa Katibu wa Rais

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua Bwana Suleiman Ahmed Salum kuwa Katibu...

READ MORE

Nandy Bize Hadi Pumzi Inakata

Sexy lady anayekimbiza kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’, amefunguka kuwa yupo bize sana na kazi yake ya...

READ MORE

Namuona Mrithi Wa Vanessa Mdee

HIVI karibuni tasnia ya Bongo Fleva na mashabiki zake wenye kupenda muziki mzuri, imehuzunika, baada ya mwanamuziki mkubwa na aliyepeperusha...

READ MORE

Busungu Autafuta Utajiri kwa Kilimo cha Vitunguu, Ufugaji

UKIZUNGUMZIA nyota wa zamani katika kipindi cha hivi karibuni, huwezi kumsahau aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu ambaye aliwika sana...

READ MORE

Huyu Nd’o Mtu Mwenye Ngozi Inayovutika Zaidi Duniani

GARRY TURNER ni Muingereza anayeshikilia Rekodi ya Dunia ya Guinness ya kuivuta ngozi ya mwili wake. Oktoba 29, 1999 alivunja...

READ MORE

GGML Yaanzisha Bustani ya Kuvutia Mjini Geita

Wakazi wa mji wa Geita wanafurahia kuwa sehemu ya mradi wa bustani ya kupumzikia inayofadhiliwa  na Kampuni ya Geita Gold...

READ MORE