×

B. Wine: Polisi Wameiba Nyaraka Uteuzi Wangu Urais

MWANASIASA na mwanamuziki wa Uganda, Robert Kyagulanyi, al maarufu Bobi Wine, ameliambia shirikala utangazajila  BBC kuwa nyaraka zinazohitajika kwa ajili...

READ MORE

TANAPA Kununua Helikopta Dhidi ya Majanga ya Moto

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla, ameagiza Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), kujipanga upya kwa kuwa na...

READ MORE

Kaze Aahidi Makubwa Yanga

AKITARAJIWA kutua leo Alhamisi saa 4 usiku, kocha mkuu mpya wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze, amewatumia ujumbe mkubwa mashabiki wa...

READ MORE

Mechi ya Burundi Iwe Funzo la Kuwavaa Tunisia

WIKIENDI iliyopita, ulipigwa mchezo wa kimataifa wa kirafi ki kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo ilikuwa...

READ MORE

Aunt Kujifungua Akirushwa Laivu

UKISTAAJABU ya Musa, utaona ya firauni! Ndivyo unavyoweza kutafsiri maajabu anayotarajia kuyafanya Staa wa filamu Bongo, Aunt Greyson Ezekiel baada...

READ MORE

Chama Aukataa Mkataba wa Yanga

KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, ameibuka na kufunguka hatma yake ya kujiunga na Yanga huku akielezea mipango yake...

READ MORE

Hatimaye Ndoa Ya Lulu na Majizo Yatangazwa Kanisa

MAPAMBIO ya ndoa ya staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mchumba’ke, Francis Siza ‘Majizo’, yameimbwa mpaka basi,...

READ MORE

Waziri Kabudi Aruhusiwa Kutoka Hospitali – Video

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Rufaa Mkoa...

READ MORE

Familia Iliyopoteza Watu Watano Kwa Kuungua Na Moto Huzuni Tupu!

Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki wamefika nyumbani kwenye familia ya watu wa tano ya , Edward Jeremiah Katema waliopoteza...

READ MORE

Maalim Seif Aitwa Mbele ya Kamati ya Maadili

TUME ya Uchaguzi Visiwani Zanzibar (ZEC) imemtaka Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad,...

READ MORE

Kocha Mpya Yanga Tayari Safarini Kutua Dar

KOCHA  Cedric Kaze anayekuja kushika mikoba ya kuifundisha Yanga SC, yupo safarini kuja nchini Tanzania kwa ajili ya kuanza rasmi...

READ MORE

Ringo: Sikuanguka Kwenye Ubunge, Mama Alinikataza!

KAMA ilivyo kwa wachekeshaji wakubwa duniani, Rowan Atkinson ‘Mr Bean’ na Charles Spencer Chaplin ‘Charlie Chaplin’ , vijana wengi Bongo...

READ MORE

Irene Uwoya: Ni Kweli Naogea Maziwa ya Ng’ombe!

IRENE Pancras Uwoya ni binti wa rubani mstaafu. Uwoya ni miongoni mwa mastaa wa Bongo Movies, wenye majina makubwa Bongo....

READ MORE

Nafasi ya Kazi LESSO Africa Company Limited – Tanzania, Sales Representatives.

Muhtasari wa Kazi KAMPUNI YA LESSO AFRIKA LIMITED ni tawi la Afrika la China Lesso Group, ambalo limejitolea kutoa bomba...

READ MORE

Vodacom Yaleta Huduma ya Kulipia Mafuta kwa M-Pesa, Vituo Oryx Nchini

Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kiteknolojia nchini, Vodacom Tanzania PLC na kampuni ya kuuza mafuta ya Oryx Oil Tanzania...

READ MORE

Mondi Mfalme wa Kukopi na Kupesti?

MUZIKI mzuri hutengenezwa na ubunifu, ambao utaifanya kazi ya msanii kuishi miaka mingi na kusikilizwa au kutazamwa na vizazi vyote...

READ MORE

NMB Yatoa Msaada wa Vifaa vya Hospitali Tarime, Kahama na Kilombero

  Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya hospitali; vitanda, magodoro na mashuka vyenye thamani ya shilingi milioni kumi...

READ MORE

Mbatia Adai Kunusurika Kutekwa na Gari Namba za Ubalozi – Video

  Katika hali ambayo ni ya kushangaza na ya kushtusha sana watu wanne wakiwa na gari aina ya Prado yenye...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Oktoba 15, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 15, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE