×

Maendeleo Ujenzi Daraja la Wami – Picha

Taswira ya daraja la sasa la Wami linalotumika lenye urefu wa mita 88.75, lililopo mkoani Pwani. Daraja hilo ni kiungo...

READ MORE

Watano Familia Moja Waliokufa Dar Wazikwa Buchosa

WATU watano wa familia moja akiwemo mama, watoto wake watatu na wifi yake, waliopoteza maisha baada ya nyumba yao kuwaka...

READ MORE

Baada ya Kupotea kwa Siku 60, Bifu za Dudubaya Zaibuliwa

HOFU inazidi kutanda juu ya kupotea na kutoonekana kwa msanii mtata wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini almaarufu kama Dudu Baya...

READ MORE

Membe: Hata Mninyonge, Wabunge 32 Siwataji

MGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe, amesema  kabla hajafukuzwa na chama chake cha awali cha CCM, alikuwa anao...

READ MORE

Mafuriko Kampeni za Shigongo Bupandwa – Video

MAFURIKO ya wananchi wa Kijiji cha Bupandwamhela wakimpokea kijiji hapo mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Simi Adondosha Ngoma Mpya ‘No Longer Beneficial’

  STAA wa muziki wa Afro – R&B kutoka Nigeria, Simi ameachia kibao chake kipya ‘No Longer Beneficial’ ikiwa ni...

READ MORE

Membe: Nitaing’oa CCM Dakika ya 89 – Video

BERNARD Kamilius Membe amesema yeye bado ni mgombea halali wa urais kupitia ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

READ MORE

Tume Yaamuru Manji Kuwalipa Sh Mil 232 Waandishi 23 Waliowaachishwa Kazi

Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Kanda ya Dar es Salaam- Temeke imeiamuru kampuni ya Quality Group Limited kuwalipa waandishi...

READ MORE

Wadau Wataka Watoto wa Kike Kulindwa Dhidi ya Changamoto

    TAASISI mbalimbali zimepaza sauti zikiwataka wazazi na jamii kwa ujumla kumlinda mtoto wa kike dhidi ya changamoto anuai zinazowakabili...

READ MORE

Watuhumiwa wa Kuchoma Shule Wanaswa – Video

JESHI la Polisi wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro limefanikiwa kukamatwa kwa watu watatu kwa tuhuma za kuchoma moto bweni la kulia...

READ MORE

Al Ahly, Zamalek Wafanya Kweli Ligi Mabigwa Afrika

LIGI ya Mabingwa Barani Afrika imeendelea mwishoni mwa wiki hii,  ikiwa ni hatua ya nusu fainali kwa miamba ya soka ...

READ MORE

Baba Aliyefiwa Familia ya Watu Watano – Video

BABA mzazi aliyejitambulisha kwa jina la Edward Jeremiah Katemi, amejikuta katika wakati mgumu, baada ya familia yake ya watu watano,...

READ MORE

Vikwazo Vya Silaha Iran Vyafikia Tamati

VIKWAZO  vya Umoja wa Mataifa (UN) vilivyopiga marufuku kuiuzia au kununua silaha kutoka Iran vimefikia tamati jana jumapili kama ilivyoafikiwa...

READ MORE

JPM Atua Bagamoyo, Asema Watakaoshindwa Wameshajijua – Video

MGOMBEA urais Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli  amezungumza na Wananchi...

READ MORE

Wolper: Acha Nionekane Chizi!

MALKIA wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe, amesema kuwa, yupo tayari aonekane chizi, kwani amedata kinoma kwenye penzi la Rich...

READ MORE

Mbaroni kwa Tuhuma za Kuua Akijaribu Kutoa Mimba

JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Frodius Protace ‘Gafseki’ (24) mkazi wa Kijiji cha Rushe wilayani Karagwe kwa tuhuma za...

READ MORE

John Makini Atoboa Siri ya Kuwa Bachela !

MUZIKI wa Bongo Fleva uliasisiwa na wakongwe mbalimbali kwa kuutangaza na kuujenga. Miongoni mwa wakongwe ambao wamejua kulijenga gemu la...

READ MORE

Infinix Waja na Ofa Kabambee, Ukinunua Simu 2 Unapewa King’amuzi buree!

Uzinduzi wa jishindie king’amuzi na INFINIX HOT LIVE PROMOTION umezinduliwa kwa kishindo huku wateja wakijipatia simu mpya ya INFINIX HOT...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa-wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la IjumaaWikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE