×

Kichanga Chakutwa Kikielea Juu ya Maji

KAGERA: Kichanga cha kiume ambacho kilikuwa hakijafikisha umri wa kuzaliwa, kimekutwa kikielea kwenye maji katika Mto Kanoni uliopo Manispaa ya...

READ MORE

Sun Kika! Aliyepoteza Ndugu 7 Kimaajabu, Amtaja Angel Benard

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Sun Kika ameamua kuvunja ukimya na kuanika mazito...

READ MORE

Lijualikali (Chadema) Aangua kilio Bungeni Akiomba Kuhamia CCM

MBUNGE wa Kilombero, Peter Lijualikali kupitia Chadema, amemwaga chozi ndani ya ukumbi wa Bunge jijini Dodoma wakati akitangaza kujiondoa Chadema...

READ MORE

Barcelona Yakataa Kumtoa Arthur

  JUVENTUS inamtaka Arthur Melo katika dili la kubadilishana na Miralem Pjanic kutua Barcelona.  Wakati hayo yakijiri, Barcelona imesema haipo...

READ MORE

Kurudi Katika Ubora… Marcelo Ana Kazi ya Kufanya

BEKI wa kushoto wa Real Madrid, Marcelo, tayari amejijengea jina ndani ya klabu hiyo kuwa miongoni mwa nyota waliofanikiwa zaidi....

READ MORE

Mshindi Toboa Kimuziki na Global TV Anyakua Tuzo!

HAYAWI hayawi sasa yamekuwa awamu ya kwanza ya lile shindano kubwa la kuinua vipaji vya muziki nchini lililokuwa likiendeshwa na...

READ MORE

Ndugai: Mbowe Anajipima Ubavu na Mkuu wa Nchi… Arudishe Mil. 2

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemtaka Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kurejesha Tsh milioni mbili alizopewa na Bunge ili...

READ MORE

Benki ya CBA (Commercial Bank of Africa (Tanzania) yatoa msaada wa Matanki ya Maji kwa Hospitali za Umma jijini Dar es salaam.

Mwakilishi kutoka kitengo cha Ugavi wa Hospitali ya Mwananyamala, Hiltruda Patrick (kushoto) akipokea matanki ya maji kutoka kwa Geofrey Kivamba...

READ MORE

Watoto 2 Wanusurika Kufa Shangazi yao Akiwachoma Moto

KATIKA hali ya kusikitisha, watoto wawili wanaosoma darasa la kwanza Shule ya Msingi Mwanzumbi wilayani Igunga mkoani Tabora (majina yao...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na IjumaaWikiEnda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania...

READ MORE

WHO Wamfuata Rais Magufuli

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema dawa inayopulizwa mitaani katika baadhi ya nchi kama lengo la kuua virusi vya corona...

READ MORE

Mganga Mkuu wa Serikali Akanusha 92 Kufa kwa Corona Moro

SERIKALI imekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii zinazosema kuwa watu 92 wamekufa mkoani kwa corona katika kipindi...

READ MORE

Esma Aanika Ukweli Mimba ya Queen Darleen

  Kumekuwa na tetesi kibao zikidai kuwa huenda ndoa ya Queen Darleen na mumewe Isihack tayari imeshajibu baada ya mrembo...

READ MORE

Mtoto wa Magufuli Apata Corona; ‘Alijifungia Chumbani’ – Video

RAIS John Magufuli amesema kuwa mwanaye wa kuzaa alipata maambukizi ya virusi vya corona lakini alijitibu kwa kujifukiza na kutumia...

READ MORE

Mtoto Mwenye Nguvu za Ajabu, Mwili Wake Unatoa Moto

FAMILIA moja inayopatikana Kinyanambo A Halmashauri ya Mji wa Mafinga mkoani Iringa, imelazimika kuishi katika mazingira magumu na ya hofu...

READ MORE

RoSa Ree Alipopenya Katikati ya Msitu wa Wanaume

  BADO ile Ngoma ya Mchizi Wangu Remix iliyofanywa zaidi ya miaka kumi iliyopita pale MJ Records na Producer Marco...

READ MORE

Video ya Namite Yakwama

  VIDEO ya wimbo wa mwana-muziki mdogo wa Bongo Fleva, Namite Salvagge anayeishi nchini Italia imekwama kutokana na sababu za...

READ MORE

Jinsi Nilivyotuma Shilingi Laki Tisa Kimakosa na Kunusurika Kutapeliwa

Ni siku ambayo siwezi kuisahau maishani mwangu, siku ambayo mama  yangu mzazi  aliruhusiwa kurudi nyumbani baada ya kupata matibabu ya...

READ MORE

Msoto wa Amber Lulu Kwenye Maisha ni Fundisho Tosha

UKIMUONA leo kila anapokatiza mitaani, hakika jina lake lipo vichwani mwa mashabiki wake.Si kwamba tu watu watamtazama kutokana na ile...

READ MORE

Nafasi za Kazi Tanzania Agricultural Research Institute (TARI), MSAIDIZI WA HESABU

POST MSAIDIZI WA HESABU I (ACCOUNTS ASSISTANT) – 3 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING EMPLOYER Tanzania Agricultural Research Institute...

READ MORE