×

Dkt. Mpango Atoa Wito kwa Waganga Wakuu Kuhamasisha Afya Bora kwa Wananchi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Waganga Wakuu wa Mikoa na...

READ MORE

Benk Ya NMB Imejizatiti Kutoa Huduma Bora Kwa Walimu

Na Mwandishi Wetu,Manyara. Benki ya NMB imesema itaendelea kutoa huduma bora kwa Walimu ikiwemo kuwapatia mikopo yenye riba nafuu ili...

READ MORE

Katibu mkuu Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda na Zanzibar Fatma awataka wafanyabiashara kuchangamkia Fursa kati ya China na Tanzania 

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar, Fatma Mabrouk Khamis, amewataka wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa...

READ MORE

Serikali imeitaka sekta binafsi kushiriki Katika utekelezaji wa Mpango mkakati wa Kuhamisha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia

Serikali imeitaka sekta binafsi kushiriki katika utekelezaji wa mpango mkakati wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kutokana na...

READ MORE

Vodacom Tanzania na Benki ya Stanbic Wakabidhi Vifaa kwa Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalum Bariadi

Meneja Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania Plc Kanda ya Ziwa, Straton Mchau ( wa pili kushoto) pamoja na Meneja wa...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Afungua Mkutano wa Mwaka wa Waganga Wakuu Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango leo Julai 12, 2025  amefungua Mkutano wa Mwaka...

READ MORE

RC Chalamila: Udhibiti wa Showroom Holela Kuimarishwa Dar – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema atatoa maelekezo kwa Wakuu wa Wilaya kuhakikisha wanadhibiti ufunguaji holela...

READ MORE

ODDS KUBWA na Machaguo Zaidi ya 1000 Yapo Meridianbet

Huku ligi ikiwa imebaki wiki nne pekee ligi mbalimbali Duniani zianze, timu kadhaa zipo likizo na tayari kwa msimu. Lakini...

READ MORE

Mobetto Atamba na Sanaa ya Kuvaa ‘Si Kila Mtu Anaweza…’

Mwanamitindo mahiri wa Tanzania na mke wa nyota wa Klabu ya Yanga SC, Stephane Aziz Ki, Hamisa Mobetto, ameibuka tena...

READ MORE

Célestin Ecua Ajiunga na Yanga Kutoka Zoman FC

Uongozi wa mchezaji wa kimataifa Célestin Ecua umetangaza rasmi kuwa kiungo huyo sasa ni mchezaji halali wa klabu ya Yanga...

READ MORE

Wachumba Waliotrendi, Mrefu Na Mfupi Watangaza Ndoa Ya Kihistoria – Video

Ukiambiwa mapenzi ya kweli bado yapo, usibishe! Hili hapa ni mfano hai wa penzi la dhati na la kuponya roho....

READ MORE

Diarra Apigiwa Hesabu na Timu Kubwa, Yanga Yatoa Kauli Rasmi

Dar es Salaam, Julai 10, 2025 – Kipa namba moja wa klabu ya Yanga SC, Djigui Diarra, anaendelea kuwa gumzo...

READ MORE

Raila Odinga Amkosoa Rais Ruto Agizo la Kuwapiga Risasi Waandamanaji

Nairobi, Kenya – Aliyekuwa Waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani wa muda mrefu, Raila Odinga, amemkosoa vikali Rais William Ruto...

READ MORE

Mo Dewji Awatuliza Mashabiki “Simba Haijapotea, Tunarudi Tukiwa Imara Zaidi”

Rais wa Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji, ameuvunja ukimya na kuwahakikishia mashabiki wa klabu hiyo kuwa timu yao ipo...

READ MORE

Kuwa sehemu ya bilioni 1.5 kutoka LOOT Legends, Ni Meridianbet Pekee

Meridianbet, kampuni namba moja ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania, imezindua promosheni kali kabisa ya msimu huu, ni LOOT Legends....

READ MORE

Kamwe Atamba na Yanga “Tunataka Kubeba Makombe Hadi 2030” – Video

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe, ametangaza kwa kujiamini kuwa malengo ya klabu hiyo...

READ MORE

NBC Yakutana na Wateja Wake Wakubwa wa Jijini Arusha, Yajadili Fursa, Ufanisi wa Huduma Zake Kwa wateja

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa kutoka kampuni, wateja binafsi na taasisi mbali mbali (Corporates)...

READ MORE

Rais Ruto Ateua Rasmi Mwenyekiti na Makamishna wa IEBC

Nairobi, Kenya – Rais William Ruto ametangaza rasmi uteuzi mpya wa Mwenyekiti na Makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na...

READ MORE

Kesi ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Yaaahirishwa Hadi Julai 14, 2025 -Video

Dodoma, Tanzania – Kesi iliyofunguliwa na Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church (Ufufuo na Uzima) imeahirishwa hadi Julai 14,...

READ MORE

Watuhumiwa Watano Wakamatwa kwa Mauaji ya Mtumishi wa TASAF – Video

Tabora, Tanzania – Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia watuhumiwa watano kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Castory Madembwe,...

READ MORE