×

Comrade Mgeja Alivyoshtushwa na Polepole Kujiuzulu, Akiwa India Kimatibabu

BAADA ya taarifa za Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole kujiuzulu nafasi ya Ubalozi nchini Cuba zimeshtua wengi...

READ MORE

Lissu: Sitaki Huruma ya Mahakama, Nataka Haki ya Kikatiba – Video

Dar es Salaam, Julai 15, 2025 – Kesi ya uhaini inayomkabili mwanasiasa na wakili maarufu nchini, Tundu Antiphas Lissu, inatarajiwa...

READ MORE

Funga Safari Ya Ushindi: Qualifiers Za Meridianbet Festival Malta 2025

Ni muda wa kujiwekea historia ya mchezo kwa wacheza kasino mtandaoni na Meridianbet kwa kulitambua hilo inawapa wachezaji wake fursa...

READ MORE

Mo Dewji Atoa Tamko Zito Kuhusu Simba -”Kusema Sitoi Hela Ni Fitina Nimewekeza Bilioni 87″ – Video

Mwekezaji maarufu na Rais wa heshima wa klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji (Mo), amevunja ukimya kwa kutoa ufafanuzi mzito...

READ MORE

Dau La Buku Lamgeuza Milioni 5! Derick Ikula Aibuka Mshindi Mkubwa Meridianbet

Ndoto ya kuwa mshindi wa mamilioni mara nyingi huonekana kuwa mbali kwa wengi kwasababu mara nyingi timu moja huchana mikeka,...

READ MORE

Meridianbet Yazindua Fursa Kubwa kwa Poker, Festival Malta 2025

Meridianbet Tanzania imezindua rasmi qualifiers za Festival Malta 2025 kupitia jukwaa la Playtech Poker, ikikutanisha wachezaji wa Tanzania na fursa...

READ MORE

Rais Paul Biya wa Cameroon, Mwenye Umri wa Miaka 92 Atawania Tena 2026

Rais Paul Biya wa Cameroon, mwenye umri wa miaka 92, ametangaza rasmi kuwa atawania tena urais kwa mara ya nane...

READ MORE

Vita ya Yanga na Simba Kumsaka Offen Chikola Yafika Ukingoni

MABINGWA mara 31 ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC inatajwa kuwa imefikia makubaliano na kiungo mshambuliaji wa Tabora...

READ MORE

Vodacom M-Pesa, Vivo Energy Tanzania Waja Na Malipo Ya Kidijitali 

Dar es Salaam: Kampuni ya Vodacom Tanzania, inayoadhimisha miaka 25 ya kuwahudumia Watanzania, imetangaza ushirikiano rasmi na kampuni ya mafuta...

READ MORE

Balozi Nchimbi Aongoza Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa Dodoma

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiongoza kikao cha kawaida cha Sekretarieti ya Halmashauri...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao Cha Mwisho Cha Baraza La Mawaziri

Dodoma, 14 Julai 2025 — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameongoza kikao...

READ MORE

Putin ataja kinachosababisha akosane na Nchi za Magharibi

Rais Vladimir Putin wa Urusi amesema malengo ya kiukiritimba ya mataifa ya Magharibi na kutupilia mbali kwao wasiwasi wa kiusalama...

READ MORE

Msafara Wa Twende Butiama 2025 Wahitimishwa

Washiriki wa Msafara wa Twende Butiama 2025 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuhitimisha safari yao wilayani Butiama mkoa...

READ MORE

Ajali Ya Ndege London Kadhaa Wahofiwa Kufariki

Katika tukio la kushtua lililotokea leo jijini London, ndege aina ya Beech B200 Super King Air imeanguka muda mfupi baada...

READ MORE

Waziri Mkuu Aigiza Tantrade Kufanya Tahiti Ya Masoko Ndani Na Nje Ya Nchi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) kuendeleza juhudi za kutafuta masoko ya nje ili...

READ MORE

Wananchi wa Buchosa Wamshukuru Rais Samia kwa Msaada wa Milioni 70 kwa Ujenzi wa Miundombinu

Wananchi wa Jimbo la Buchosa wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa shilingi...

READ MORE

Polisi Wamshikilia Leonard Magere wa Chadema kwa Tuhuma za Jinai

Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kumshikilia Mtaalamu wa Raslimali, Miradi na Uwekezaji wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA), Leonard...

READ MORE

Makalla: Tumeisoma Barua ya Polepole Mtandaoni, Lakini Bado Ni Mwanachama wa CCM – Video

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA. Amos Makalla, amesema kuwa taarifa ya kujiuzulu kwa...

READ MORE

Makamu wa Rais apongeza ukaribu wa Benki ya NMB na Serikali

Makamu wa Rais Dr Philip Mpango ameipongeza benki ya NMB kwa jinsi inavyoshirikiana na serikali katika matukio mbalimbali ya kijamii...

READ MORE

Chelsea Wafalme wa Dunia, Kombe la Dunia la Klabu la FIFA 2025

Kombe la Dunia la Klabu la FIFA 2025 limeacha historia mpya katika ulimwengu wa soka, likifanyika kwa mara ya kwanza kwa mfumo...

READ MORE