×

Zijue Athari za Kula Chipsi, Moja Kati ya Chakula Pendwa Zaidi Duniani

KIUKWELI katika vyakula vitamu duniani na vinavyopendwa haswaa na watu duniani usiposema chipsi utakuwa mtu waajabu sana. Chipsi haziliki bongo...

READ MORE

Yanga Yawafuata Tabora Kamilikamili Kukiwasha Kesho Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora, Yanga wamekwea pipa kamili kuwafuata Tabora United...

READ MORE

John Mrema Alaani Shambulio la Mwenezi Bawacha

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema, ameonesha masikitiko yake kuhusu taarifa iliyotolewa na...

READ MORE

Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuamua Kubeba Mimba!

MAANDALIZI  kabla ya ujauzito yanasaidia kumwezesha mama kuwa na afya bora wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua na kumwezesha...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 57 Taasisi Mbalimbali Za Umma, Mwisho wa maombi Aprili 3, 2025

Chuo cha Maji (WI), Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), Baraza la Mitihani la...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 1, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Rais Samia Akishiriki Baraza la Eid El-Fitr Ukumbi wa JNICC Dar (Picha +Video)

Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Baraza la Eid El-Fitr Ukumbi wa JNICC...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Swala Ya Eid, Ruangwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Machi 31, 2025 amejumuika na waumini wa dini ya kiislam katika Swala ya Eid iliyofanyika...

READ MORE

Trump: Sifanyi mzaha nitagombea urais 2029

Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa hafanyi mzaha kuhusu nia yake ya kutaka kugombea tena Urais wa nchi hiyo...

READ MORE

Kocha Simba Atamba Kupata Ushindi dhidi ya Al Masry ya Misri

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya kupata ushindi kwenye mchezo wao wa Kombe...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Mwinyi Ajumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam kwenye Sala ya Eid Al Fitr

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislam...

READ MORE

Chadema Yamuonya Sigrada Mligo Kutumika Vibaya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kinafuatilia kwa karibu na kinafanya uchunguzi wa kina juu ya tuhuma zinazosambazwa mitandaoni...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Sala ya Eid Al Fitr Kitaifa Kwenye Msikiti wa Mfalme wa VI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Machi 31, 2025 amejumika na waisalamu wengine kusali...

READ MORE

Tabora United Waitambia Yanga mchezo wa ligi ‘Tunahitaji Pointi Tatu’

UONGOZI wa Tabora United umeweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kuvuna pointi tatu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Yanga...

READ MORE

Majaliwa: Nimeridhishwa Na Maandalizi Kuelekea Kuwashwa Kwa Mwenge Wa Uhuru

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua za maandalizi kuelekea sherehe za kuwashwa kwa Mwenge wa Uhuru ambao utazunguka...

READ MORE

Watu Zaidi 1, 700 Wamefariki katika tetemeko la ardhi Myanmar

Watu zaidi ya 1,700 wamepoteza maisha, kufikia siku ya Jumamosi nchini Myanmar kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lilitokea katika maeneo...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 31, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Dereva Aliyesababisha Ajali Iliyomuua OCD Awadh Akamatwa ”Alikimbilia Mbeya Kujificha”- Video

Jeshi la Polisi limemkamata Elia Asule Mbugi almaarufu Dogo Bata, Mnyakyusa, mwenye umri wa miaka 25, mkazi wa Segerea, dereva...

READ MORE

Wikendi ya Ushindi Hii Hapa

Wenzako wakipiga pesa ndani ya Meridianbet wewe huwa umelala, basi mimi leo nakwambia hivi amka na ubashiri hapa kwani timu...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Viwanja Vitakavyotumika Chan Agosti 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Machi 29, 2025 amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumiwa kufanyia mazoezi na timu zitakazo shiriki michuano ya...

READ MORE