×

Mwanasiasa Mkongwe William Lukuvi Afariki Dodoma – Video

Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, amefariki dunia asubuhi ya Machi 25, 2026 akiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa...

READ MORE

Ubunifu wa Tehama Waongeza Ushiriki Masoko ya Mitaji

WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameagiza wadau wote katika masoko ya mitaji na dhamana wazingatie sheria na kanuni...

READ MORE

Mnyika Afichua Mapya Zuio la Chadema Mahakama ya Rufaa Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amesema mwenendo wa shauri la marejeo ya kesi ya...

READ MORE

Usikose Jumatano ya Zawadi leo Piga *149*10# Ushinde Simu Mpya

Je unajua kuwa ukipiga *149*10# unaweza ukajishindia Samsung A26?. Mechi kibao za kukupatia pesa zipo hapa huku nafasi ya kushinda...

READ MORE

Manchester United, Tottenham Wagombania Saini ya Orkun Kökçü

Manchester United wamejiunga na Tottenham Hotspur katika mbio za kumsajili kiungo na nahodha wa Beşiktaş, Orkun Kökçü, ambaye ameibuka kuwa...

READ MORE

Airtel Yafanikiwa Majaribio ya Huduma za Data na SMS kupitia Starlink

Dubai, Machi 2026: Airtel Africa kwa kushirikiana na SpaceX wametangaza kufanikiwa kwa majaribio ya huduma za data na ujumbe (SMS)...

READ MORE

Kampuni ya Rolls-Royce Yashtua Dunia Yafuta Mpango wa EV 2030!

Kampuni ya magari ya kifahari Rolls-Royce imetangaza kubadilisha mkakati wake wa kuwa mtengenezaji wa magari ya umeme pekee ifikapo mwaka...

READ MORE

Pakistan Yajitolea Kuandaa Mazungumzo Kati ya Iran na Marekani

Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, ameonesha utayari wa nchi yake kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Marekani...

READ MORE

Ushirikiano wa Nmb na DarTU; Hatua Halisi Kujenga Kizazi Tayari Kwa Ajira

  Afisa Mkuu Rasilimali Watu wa Benki ya NMB, Bw. Emmanuel Akonaay (kushoto) pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu...

READ MORE

Tantrade Inaongoza Mageuzi ya Sekta ya Biashara Nchini Kupitia Mpango wa Cart.is

TanTrade inaongoza mageuzi ya sekta ya biashara nchini Tanzania kupitia Mpango wa CART.IS, unaolenga kuimarisha biashara ya kidijitali kwa urahisi...

READ MORE

Real Admiral Hassan Awataka Wataalam Uokoaji Kufanya Kazi Kwa Weledi

Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji, Real Admiral Ameir Ramadani Hassan, amewataka wataalam wa zimamoto na uokoaji wa Jeshi...

READ MORE

TBL Yashiriki Zoezi la Usafi Kulinda Mifumo ya Maji Taka Dar es salaam

Kampuni ya Tanzania Breweries Plc (TBL) imefanya zoezi la usafi katika Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni...

READ MORE

Spika Zungu Akagua Ukumbi wa Bunge Kabla ya Mkutano wa Bajeti 2026/27 – (Picha + Video)

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, leo Machi 24, 2026 amekagua ukumbi wa Bunge...

READ MORE

Tukio la Kusikitisha Kigamboni: Mwanadada Auawa, Wakazi Wabaki na Maswali – Video

Hali ya huzuni na simanzi imetawala eneo la Kisota, Kigamboni, kufuatia kifo cha kusikitisha cha mwanadada Lina Kimaro, aliyedaiwa kuuawa...

READ MORE

Tanzania Mnufaika wa Mpango wa TEF wa Ujasiriamali Afrika 2026

Tanzania imepata uwakilishi miongoni mwa wanufaika wa Mpango wa Ujasiriamali wa Taasisi ya Tony Elumelu (TEF) wa mwaka 2026, huku...

READ MORE

Kongamano la Kiswahili Duniani Lafunguliwa Rasmi Jijini Arusha

  Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, ameungana na Waziri wa Habari,...

READ MORE

Video: Mlipuko Mkubwa Watikisa Kiwanda cha Mafuta Texas, Moto Wazuka

Mlipuko mkubwa na moto mkali umezuka katika kiwanda cha kusafisha mafuta cha Port Arthur, kinachomilikiwa na Valero Energy, kilichopo katika...

READ MORE

Chuck Norris Aacha Urithi Mkubwa Mke na Watoto Watano Kunufaika

Gwiji wa sanaa za mapigano na filamu, Chuck Norris, ameacha urithi mkubwa wenye thamani ya takriban dola milioni 70 sawa...

READ MORE

Ajali ya Ndege ya Jeshi Colombia Yaua 66, Wengine 80+ Wajeruhiwa

Ndege ya Jeshi iliyokuwa imebeba takribani watu 125, wengi wao wakiwa wanajeshi, imeanguka muda mfupi baada ya kupaa katika mji...

READ MORE

Spika wa Bunge la Iran Akanusha Mazungumzo na Marekani – Video

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amekanusha vikali madai ya kuwepo kwa mazungumzo yoyote kati ya Iran na...

READ MORE