Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limewasilisha rasmi rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) kupinga uamuzi wa Shirikisho...
READ MOREMshambuliaji nyota wa Mohamed Salah ametangaza rasmi kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Liverpool mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari...
READ MOREOfisa Uchunguzi Mkuu kutoka Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Selestine Makoba, amewataka Watanzania walioko nje...
READ MOREIni lenye mafuta ni hali inayotokea pale mafuta yanapokusanyika kwa wingi kwenye seli za ini, jambo linaloathiri utendaji wake kwa...
READ MORENchi za Ghuba ya Kiarabu zimeendelea kutoa onyo kali kuhusu hali ya usalama katika eneo hilo, zikieleza kuwa zinakabiliwa na...
READ MOREKama unatafuta sababu ya kusubiri Ijumaa kwa hamu, basi hii ndiyo nafasi yako. Meridianbet imekuja na promosheni kali iitwayo Lucky...
READ MOREKocha wa Timu ya Taifa ya Mali, Tom Saintfiet ametangaza kikosi cha wachezaji 25 kwa ajili ya mechi mbili za...
READ MORENafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...
READ MORERais Mstaafu Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika...
READ MOREWaziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kuandaa maudhui yatakayowafikia na kuwagusa vijana kwa...
READ MORETume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imebaini kuwepo kwa taarifa zisizo sahihi zinazosambazwa mitandaoni zikidai kuwa kila mwenye kamera...
READ MOREJeshi la Magereza nchini Tanzania limetoa kanusho kali dhidi ya taarifa zilizoandikwa na baadhi ya magazeti zikidai kuwa hali ya...
READ MOREWaziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026. Waziri...
READ MORERais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William...
READ MOREKuna michezo na kisha kuna Vaso Psycho. Huu ndio mchezo mpya kutoka Expanse unaopatikana ndani ya Meridianbet, ukiwa umebeba kila...
READ MORERais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa nchi yake imepata ushindi mkubwa katika vita dhidi ya Iran, akidai kuwa uwezo...
READ MORE Kifo cha William Vangimembe Lukuvi kimeacha pengo kubwa katika uongozi na jamii ya Tanzania, huku akitambulika kama mmoja wa...
READ MOREMakamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Bara, John Heche, ameibua hofu kuhusu usalama wa Tundu Lissu, akisisitiza kuwa...
READ MORERais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Iran imekubali rasmi kutokuwa na silaha za nyuklia, akisema pia kuwa taifa hilo...
READ MOREMvutano kati ya Iran na Israel umeendelea kushika kasi baada ya pande hizo mbili kubadilishana mashambulizi ya anga siku ya...
READ MORE