×

Trump Ataka Kuuchukua Ukanda Wa Gaza

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameshitua watu duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza...

READ MORE

Idadi Waliyofariki Kwa Kupigwa Risasi Wafikia 10

Polisi nchini Uswidi wamethibitisha kuwa takriban watu 10 wamepoteza maisha katika shambulio la risasi lililotokea kwenye eneo la chuo katika...

READ MORE

Tanzia: Aga Khan Afariki Dunia

Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na Mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan, Mtukufu Aga...

READ MORE

Watu 67 Wauawa Katika Shambulizi Sudan

  Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza kuwa, takriban watu 67 wameuawa Jumapili katika shambulizi la mizinga lililofanywa na Vikosi vya...

READ MORE

Spin Spin Sugar Koleza Utamu wa Kasino kwa Sukari

Nauleta kwenu kwenu mchezo mwingine wa kasino ya mtandaoni wenye utamu kama pipi. Lengo lako ni kupangilia pipi hizo kwenye...

READ MORE

Mwanaume Aliyeachwa na Wanawake 23, Apata Suluhisho

Kwa miaka mingi, mahusiano ya David kutoka Arusha yalipitia changamoto nyingi, wanawake wengi (zaidi ya 23) kila mara walikuwa wakimuacha...

READ MORE

Yanga Yamtangaza Miloud Hamdi kocha mpya akichukua mikoba ya Sead Ramovic

Klabu ya Yanga Sc imemtangaza Miloud Hamdi ambaye alikuwa Singida Black Stars mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa kuwa kocha...

READ MORE

Video: Aunty Ezekiel Afunguka – “Wema Siyo Tasa Atapata Mtoto”

Msanii wa Bongo Movie, Aunty Ezekiel, ameweka wazi kuwa ujauzito wake wa sasa umemfanya baba wa watoto wake, Kusah, kumuonesha...

READ MORE

Rais Samia Atikisa Dodoma: Wananchi Wafurika Barabarani Kushuhudia Tuzo Yake! – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Februali 4, 2025 amewasili na kupokelewa na Viongozi mbalimbali...

READ MORE

ATCL Yatangaza Nafasi 59 Za Ajira Kwa Watanzania

Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imetangaza nafasi 59 za ajira kwa Watanzania wenye sifa, ikiwa ni sehemu ya juhudi...

READ MORE

Wanaofukuzwa Marekani Hatarini Kupelekwa Magereza Hatari

Serikali ya Marekani imefikia makubaliano ya ajabu na Serikali ya El Salvador ambayo yatairuhusu nchi hiyo kupokea wahamiaji wanaorejeshwa kutoka...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Februari 5, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

JWTZ Lapokea Ndege ya Kijeshi Kutoka Falme za Kiarabu (UAE)

Dar es salaam, 4 Februari 2025: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dk. Stergomena Lawrence Tax (Mb) leo...

READ MORE

Kijana Azindua Gari Lisilotumia Mafuta Wala Umeme, Aitwa Ikulu – Video

Zimbabwe inatarajia kuzindua gari lililopewa jina la Saith EV tarehe 10 Februari mwaka huu—gari linalojiendesha lenyewe, lenye kasi ya hadi...

READ MORE

Rais Samia Apokea Tuzo Ya Gates Goalkeeper Award, Hyatt Regency – (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akipokea Tuzo ya Gates Goalkeeper Awards Hyatt Regency Hotel...

READ MORE

Jeshi La Afrika Kusini Halitajitoa DRC

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameahidi kuendelea kuisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) licha ya wananchi wa Afrika...

READ MORE

Wanafunzi wawili Walijiteka na Kuomba Fedha Kwa Wazazi, Tunawashikilia

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia wanafunzi wawili kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo baada ya...

READ MORE

Early Payout Unyama Mwingine Wa Meridianbet

Meridianbet wanaendelea kuonesha wao ndio kampuni ya kubashiri ambayo ina machaguo mengi na ya kinyama zaidi, Kwani wamekujia na chaguo...

READ MORE

China Yatangaza kuongeza ushuru wa bidhaa zinazotoka Marekani

Serikali ya China leo, Jumanne Februari 4, 2025, imetangaza kuongeza ushuru wa bidhaa zinazotoka Marekani kwa wastani wa asilimia 10...

READ MORE

Wafanyabiashara Wawili kizimbani kwa kumiliki mijusi 226

WAFANYABIASHARA wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili za...

READ MORE