×

Trump Ajibizana Vikali Na Meya Kuhusu Janga La Moto Kwa Staili Ya Magufuli

Rais Donald Trump, usiku wa kuamkia leo Jumamosi, Januari 25, aliingia kwenye mjadala mkali na Meya wa Los Angeles, Bi....

READ MORE

Waziri Mkuu Kuzindua Kanzidata Na Mfumo Wa Taarifa Za Wenye Ulemavu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 25 2025 atazindua Kanzidata na Mfumo wa Taarifa za Watu Wenye Ulemavu Unaotokana Matokeo...

READ MORE

RC Chalamila Aongoza Wananchi Kufanya Usafi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Januari 25, 2025 ameongoza mamia ya wananchi wa Wilaya...

READ MORE

Trump Amtimua Mkuu wa Jeshi Kitengo cha Ulinzi wa Fukwe

Rais Donald Trump amemtimua aliyekuwa Mkuu wa Jeshi Kitengo cha Ulinzi wa Fukwe, Linda Fagan katika namna inayotajwa kuwa ya...

READ MORE

Vilio Vyatawala Mtoto Aliyetekwa Akirudishwa, Mama Yake Afunguka – Video

Vilio vizito vilitawala hapo jana, Januari 24, 2025 baada ya mtoto Merysiana Melkzedeck aliyekuwa ametekwa na wahalifu waliovamia nyumbani kwa...

READ MORE

Jaji Mkuu wa Kenya Aondolewa Ulinzi, Mawakili Walaani

Jaji Mkuu wa Kenya, Martha Koome, ameituhumu Serikali kwa kuondoa kikosi cha ulinzi wake, hatua aliyoiita kuwa shambulio kwa uhuru...

READ MORE

Asia Anayeishi Bila Figo Miaka 20 Atamani Kuonana Na Rais Samia – Video

Asia Mustapha ni binti ambaye ameishi kwa takribani miaka 20 bila figo zote mbili, akitegemea huduma ya kusafisha damu kwa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 25, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Trump aahidi kuzungumza na Putin hivi karibuni kuhusu vita vya Ukraine

Rais wa Marekani Donald Trump amesema Alhamisi kwamba hivi karibuni atazungumza na mwezake wa Russia Vladimir Putin ili kujaribu kumshinikiza...

READ MORE

Rais Samia Afanya uteuzi na uhamisho na mabadiliko ya viongozi mbalimbali

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho na mabadiliko ya viongozi mbalimbali kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu...

READ MORE

Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2024 Yapo Hapa – Video

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Said Mohamed ametangaza matokeo ya kidato cha nne ya mwaka...

READ MORE

ACT Yajibu Kuhusu Kuwa CCM B, Ushindi Wa Lissu Ni Ngumu – Video

Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kiliundwa kutokana na minyukano iliyotokea kwenye vyama vingine vya...

READ MORE

Jaji Mahakama Kuu Kutoa Uamuzi Dhidi ya Kesi ya Dkt. Slaa Jumatatu

Jumatatu Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam inatarajia kutoa uamuzi mdogo juu ya kesi ya Dk. Slaa aliyewahi kuwa...

READ MORE

Polisi Yatoa taarifa kuhusu kupatikana kwa mtoto Merysiana Melkzedeck

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limetoa taarifa kuhusu kupatikana kwa mtoto Merysiana Melkzedeck mwenye umri wa miezi saba, ambaye...

READ MORE

Nafasi ya Kuwa Milionea Unayo Leo Ijumaa

Ijumaa ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao...

READ MORE

Jokate Mwegelo Apongeza Ufaulu wa Shule Jina Lake

Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo, amepongeza wanafunzi, walimu, na uongozi wa Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani, kufuatia mafanikio...

READ MORE

Lissu Atoa Masharti Kwa Mdee na Wenzake Kurejea Chadema

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, ameweka wazi kuwa yuko tayari kuwapokea wabunge 19 wa...

READ MORE

Kutana Na Mwanafunzi Kipanga Aliyepiga Divisheni I Ya Pointi 7 Mtokeo Ya Form 4 – Aeleza Kwa Hisia – Video

Moses Mwaijande ni mwanafunzi kutoka Shule ya Sekondari ya Feza aliyeng’ara kwenye matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa hapo jana,...

READ MORE

Mtoto Aliyechukuliwa na Wasiojulikana Apatikana – Video

Habari zilizotufikia hii leo Januari 24, 2025 zinadai kuwa presha waliyokuwa nayo familia ya wanandoa Sosthenesi Melkizedeki Mrema na Joana...

READ MORE

NMB Mlipa Kodi Mkubwa Zaidi na Bora Zaidi Tanzania

Katika kuendelea kuwa mshirika mkubwa wa maendeleo nchini, Benki ya NMB imetunukiwa tuzo 3 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

READ MORE