×

Majaliwa: Tanzania Iko Tayari Kushirikiana Na Cuba Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Chanjo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania iko tayari kushirikiana na Serikali ya Cuba kujenga kiwanda kikubwa cha kuzalisha...

READ MORE

Wananchi Arusha Wamfungukia Makonda ”Akiondoka Awe Anaaga ” – Video

Wananchi Arusha wamemtaka Mkuu wa mkoa huo Paul Christian Makonda  akiwa anaondoka awe anaaga baada ya kupita ukimya wa takribani...

READ MORE

Shinda Mamilioni, Cheza Expanse Kasino

Safiria ndoto ya maisha yako kwa kucheza kasino ya mtandaoni, pale Meridianbet kuna promosheni ya Expanse ambayo inatoa mamilioni kwa...

READ MORE

Queen Mulerwa: Harmonize Alinipa Milioni Tano-Siwezi Kudate Na Wabongo Hawana Hela

Msanii wa Sanaa ya Uigizaji nchini @mulerwa_queen amefunguka kupitia @255globalradio na @globaltvonline kupitia kipindi cha Bongo 255 na kueleza kuwa...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Ameshiriki Mkutano wa Wakuu wa SADC-Organ Troika Summit

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 17, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Kapinga: Rais Samia Amefanya Umeme Kuwa Si Anasa

Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amejidhatiti vyema...

READ MORE

Makonda Aagiza Jengo Jipya la Abiria Uwanja wa Ndege Arusha Litumike Septemba

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo Ijumaa Agosti 16, 2024 ameagiza kukamilika haraka kwa ujenzi wa...

READ MORE

HAPA MAN UNITED PALE FULHAM EPL IMEREJEA RASMI

Leo ni sikukuu kwa wapenzi wote wa burudani ya mpira wa miguu duniani kwani ile ligi pendwa zaidi ulimwenguni inarejea...

READ MORE

Furahia Veni Vidi Vici ndani ya Meridianbet

Furahia Mamilioni ya kutosha ukicheza sloti ya Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza sloti ya Veni Vidi Vici!...

READ MORE

Dada wa Kazi za Ndani Anayetuhumiwa Kujeruhi Mtoto Goba Ashtakiwa Kwa Kosa la ‘Kujaribu kuua’

Mfanyakazi wa ndani, Clemensia Milembe (19) na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya hakimu mkazi Kinondoni, wakikabiliwa na shitaka moja la...

READ MORE

Namungo Almaarufu ‘Wauaji Wa Kusini’ Yatambulisha Jezi Mpya

Klabu ya Namungo FC almaarufu ‘Wauaji wa Kusini’ leo August 16, 2024 imetambulisha jezi mpya zitakazotumika kwenye msimu wa 2024/2025...

READ MORE

Makonda Arejea Afanya Ukaguzi wa Uwanja wa ndege Arusha – Video

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda leo Agosti 16, 2024 amefanya ukaguzi wa Jengo la abiria katika Kiwanja...

READ MORE

Watendaji Vilabu Vya Ligi Kuu Wanufaika na Elimu ya Hifadhi ya Jamii Kutoka NSSF

*Karia avitaka vilabu vyote ligi kuu kuchangamkia fursa ya kujiwekea akiba *NSSF waeleza namna  watakavyonufaika kupata mafao, matibabu Rais wa...

READ MORE

Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa Kufanyika Novemba 27, 2024 – Video

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI ) Mohamed Mchengerwa ameutangazia Umma wa...

READ MORE

RC Makonda Arudi Ofisini Arusha Kimyakimya Bila Mbwembwe – Video

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda Agosti 15, 2024 amerudi ofisini kwake kimyakimya baada ya tetesi kuwa kapewa...

READ MORE

CCM yachagishana sh.milioni 5.3 Lissu atengeneze gari lake

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa tamati ya Ziara yake katika mikoa ya Kanda ya...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Alivyowasili Zimbabwe Kushiriki Mkutano wa 44 wa SADC – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Agosti 15, 2024 ameshawasili Harare nchini Zimbabwe kwa ajilli...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 6,257 MDAs & LGAs Mwisho wa Maombi leo Agosti 16, 2024

  Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara, Idara zinazo jitegemea, Wakala za Serikali,...

READ MORE

WHO yatangaza mlipuko wa Mpox kuwa dharura ya kiafya duniani

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza mlipuko wa ugonjwa wa mpox katika baadhi ya maeneo ya Afrika kuwa dharura ya...

READ MORE