×

Saleh Aipa Moyo Simba Kabla ya Dabi ya Kariakoo ‘Wajiamini’ – Video

Mchambuzi nguli wa soka nchini, Saleh Jembe, amesisitiza kuwa hakuna sababu kwa Simba kuiogopa Yanga Machi 01, 2026 katika dimba...

READ MORE

Muinjilisti Mtoto Edwin Asimulia Alivyokamatwa Akiwa Anahubiri Stendi – Video

Muinjilisti Mtoto, Edwin Msigwa amefunguka kwa mara ya kwanza kupitia Global TV na kueleza kuwa aliwahi kukamatwa na Jeshi la...

READ MORE

Prof. Shemdoe Ataka Mageuzi Ya Uchumi Wa Vijijini Kuhusisha Uchumi wa Buluu, Ufugaji, Misitu Na Mazao yake

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema ili mageuzi ya uchumi wa vijijini...

READ MORE

Fahamu Kwa Nini Wataalamu wa Lishe Wanashauri Kula Korosho Mara kwa Mara

KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa...

READ MORE

Historia ya Karimjee Hall na Familia Iliyochangia Uhuru wa Tanganyika

UKUMBI wa bunge uliokuwa unatumika jijini Dar es Salaam kabla ya kuhamia Dodoma unaitwa Karimjee Hall. Kwa kifupi, majina hayo...

READ MORE

Usipuuze! Soma Hatari za Kulala na Hasira Ndani ya Ndoa Zafichuliwa

Wataalamu wa ushauri wa ndoa na mahusiano wanasema kuwa moja ya nguzo muhimu inayoweka msingi imara katika uhusiano wowote ni...

READ MORE

Aliyekuwa Anawauza Wakenya Kujiunga Na Jeshi Urusi Akamatwa

Idara ya Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya imemkamata mshukiwa mmoja anayedaiwa kuhusika katika mtandao wa kuwarubuni raia...

READ MORE

Msingwa: Hatutavumilia Matumizi Mabaya ya Usajili wa Meli – Video

Serikali imethibitisha kuwa meli iliyokamatwa nchini El Salvador ilikuwa imesajiliwa Tanzania kupitia upande wa Zanzibar, huku ikieleza kuwa tayari hatua...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 27, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Aongoza Futari ya NBC, Apongeza Kwa Mchango wa Maendeleo

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla jana aliwaongoza baadhi ya waislamu visiwani...

READ MORE

Puma Energy Tanzania Yaandaa Futari Lengo Ni Kuimarisha Ushirikiano Na Umoja

Dar-es-Salaam, 27 Februari 2026: Kampuni ya Puma Energy Tanzania imeandaa futari maalum kwa wateja na washirika wake ikiwa ni sehemu...

READ MORE

Video: Polisi Kuhusu Mwenyekiti BAVICHA Kupotea – ”Amekimbia Kesi ya Mauaji”

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limetoa ufafanuzi rasmi kufuatia taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa watuhumiwa wanne,...

READ MORE

Kafulila – ”Kardinali Pengo Aliamini Umoja wa Kitaifa Bila Kujali Upepo wa Kisiasa”

Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa...

READ MORE

Video: Serikali Ya Tanzania Yajibu Meli Iliyokamatwa Na Dawa Za Kulevya El Salvador

Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amezungumzia tukio la kukamatwa kwa meli ya FMS Eagle katika nchi ya El Salvador, baada...

READ MORE

Makamu wa Rais Nchimbi Awasili Songea kwa Maadhimisho ya Miaka 120 ya Mashujaa wa Majimaji

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 26...

READ MORE

Video: Maryam Bint Amran Foundation, Global Publishers Wazigusa Familia Zenye Uhitaji

Mkurugenzi wa Global Publishers na Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amekabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa vituo vya...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Takukuru Kuchunguza Ubadhirifu Wa Fedha Jengo La DC Kiteto

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemtaka Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Manyara, Bahati Haule, kufanya uchunguzi wa kina na kuwasilisha...

READ MORE

Beti Mechi za EUROPA na Odds Tamu za Meridianbet

Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo...

READ MORE

Video: Magari Yagongana Uso kwa Uso Na Kuwaka Moto, Mmoja Afariki

Mtu mmoja amefariki dunia na watu wawili kujeruhiwa baada ya magari mawili ya kubeba mizigo kugongana uso kwa uso na...

READ MORE

Magari Yaponea Chupu Chupu Kuzama Shimoni Baada ya Barabara Kupasuka – Video

 Magari mawili  yameponea chupuchupu  kuzama kwenye shimo kubwa lililopasuka mfuniko ghafla kwenye makutano ya barabara katika Jimbo la Nebraska,...

READ MORE