×

Simbachawene: Takukuru Zuieni Rushwa Kabla Haijatokea

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amewataka Wahitimu wa Mafunzo...

READ MORE

Kocha AS Vita Awapa Angalizo Simba, Yanga Michuano ya Kimataifa

KOCHA Msaidizi wa AS Vita ya DR Congo, Roul Shungu, amefunguka kuwa, Simba na Yanga zina uwezo wa kufika mbali...

READ MORE

Simba Yatamba Kuendeleza Rekodi Yake leo dhidi ya Singida Fountain Gate

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira, amesema kuwa wanahitaji kuendelea na rekodi zao za kupata matokeo mazuri kwenye mechi za...

READ MORE

Athanas Myonga Ashinda Tsh. Milioni 7 za Shindano la Stories Of Change 2023

Athanas Myonga amefanikiwa kuwa Mshindi wa kwanza katika Shindano hilo lililoandaliwa na Taasisi ya Jamii Forums ambapo Wananchi mbalimbali walipata...

READ MORE

Wanajeshi 6 wa Afrika Kusini wafariki katika ajali ya moto

Wanajeshi sita wa Afrika Kusini walifariki baada ya moto kuzuka katika kituo cha mafunzo cha jeshi kaskazini mashariki mwa nchi,...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu Biteko Atembelea Kaburi La Hayati Magufuli Chato Na Kutoa Salamu Za Heshima – Video

GEITA; Oktoba 7, 2023 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezuru na kufanya Sala kwenye kaburi...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumapili, Oktoba 8, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 8, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Ziara ya Rais Samia Nchini India Itaimarisha Utalii wa Kitiba na Kufungua Fursa za Masomo

WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) imetaja fursa kem kem ambazo Tanzania itanufaika nazo kupitia ziara...

READ MORE

Mhandisi Mshauri Wa Umeme Aishauri Jambo Zito Tanesco Kuhusu Changamoto Ya Uhaba Wa Umeme Na Majanga Ya Moto

Dar es Salaam, 7 Oktoba 2023: Mhandisi Mshauri wa masuala ya umeme, Mhandisi Ester William leo amelishauri jambo shirika la...

READ MORE

ARSENAL DHIDI YA MAN CITY KUKUPA MKWANJA WA KUTOSHA NA MERIDIANBET WIKIENDI HII

Wikiendi hii itapigwa mechi kali sana katika simba la Emirates ambapo klabu ya Arsenal washika mitutu kutoka jiji la London...

READ MORE

Maadhimisho ya Siku ya Walimu Duniani, Rais Samia Aahidi Kutatua Changamoto Kuleta Ufanisi

*️Maadhimisho yafanyika kitaifa wilayani Bukombe* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, Serikali itaendelea...

READ MORE

Jerry Silaa: Mipango ya Kupima Viwanja Iendane na Miundombinu

  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza wataalamu wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha mipango...

READ MORE

Mwandishi na Mhariri Mtendaji, Saleh Ally Aweka Rekodi Mpya FIFA

Mwandishi mkongwe wa michezo nchini na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally, maarufu kama Salehjembe, ameandika rekodi nchini ya...

READ MORE

Mke wa Sir Alex Ferguson Cathy Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 84

Lady Cathy Ferguson, mke wa meneja wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson, amefariki dunia akiwa na umri wa...

READ MORE

Mwanaharakati aliyeko kifungoni Narges Mohammadi ashinda tuzo ya Amani ya Nobeli

Anapigania wanawake dhidi ya ubaguzi wa kimfumo na ukandamizaji, alisema Berit Reiss-Andersen, mwenyekiti wa Kamati ya Nobel ya Norway ambaye...

READ MORE

Lavaud Agonga Kolabo ya Kibabe na Tiwa Savage, Reekado Banks, Patoraking Kwenye Roll On Me

STAA wa kike kwenye uwezo mkubwa katika kuimba na kutunga, Lavaud amerejea kwa kishindo baada ya kuachia singo kali inayokwenda...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumamosi, Oktoba 7, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 7, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

GGML waitia ndimu Geita Gold FC vs Yanga, basi jipya lawasili

NA MWANDISHI WETU HATIMAYE changamoto ya usafiri kwa timu ya Geita Gold FC. imetatuliwa baada ya basi jipya la timu...

READ MORE

Benki ya UBA Yahitimisha Wiki ya Huduma Kwa Wateja Kwa Kuwashukuru Na Kuwapongeza Wateja Na Watoa Huduma Wake

Dar es Salaam, 6 Oktoba 2023: Benki ya UBA imehitimisha ‘Wiki Ya Huduma Kwa Wateja’ kwa kuwapongeza wateja wake pamoja...

READ MORE